Nimepigwa na butwaa

Nimepigwa na butwaa

Mimi huwa natumia popopote pale siogopi kitu Kuna demu nae alikuwaga anapiga jicho akaona Id yangu akaaanza kusema kumbe wewe ndio Vincenzo 😀😀
Kutumia huu mtandao bila kujulikana kuna raha yake Mkuu

Imagine unairushia vocal PisiKali ambayo unadate nayo huko Mtaani lakini kupitia ID yake ya humu unajikuta unaiomba tena 😜

Vijana mna hatari nyie balaa 😅
 
Wasalam wakuu.

Katika hali ya kushtukiza na kuchanganya leo hii nimekuta application ya jf kwa simu ya mama..

I don't know ni nani kamwekea hii application au imekuaje kuaje.

Nimeshindwa hata kuifungua ila nime unstaill aiseee....

Yaani imekuaje kuaje wakuu..
Humu ndani humu umakini unatakiwa wa kutosha aiseee

Bado najiuliza kama anatumia jf au laah..
Nimepigwa na butwaa...

Wakuu mjiheshimu kuna watu mna assume ni mtu flani.. nimesema sijajua kama kajiunga au laa
Namkaribisha. Karibu Mama yetu
 
Usinitishe mkuu...
Kwanza sizani kama mada zangu anaonga yaani yeye na umri wake aanze fatilia nyuzi zangu za kusifia mishangzi are we real
Sasa si kuna mada zinatrend unaziona tu, mbona Mimi na huu umri wangu ila bado nazionaga mada zako hizo😅😅😅
 
Mbona natajwa sana jamani 🤣🤣🤣 kwani naandikaga maajabu gani humu 🤭
Weweeee!
20250512_174446.jpg
 
Nina mchepuko wangu mmoja ni mwalimu mkoa wa Pwani, wiki iliyopita nilimuwekea JF app na ku unistall Tik Tok na Instagram, ananishukuru kila siku kwani anakiri haboreki na data anatumia kidogo (3000 tsh. kwa wiki).
 
Back
Top Bottom