Nimepigwa na butwaa

Nimepigwa na butwaa

Ndiyo maana binafsi tangu nimeanza kuitumia JF tangu ikiitwa Jambo Forum, sijawahi kuifungua mbele za watu achilia mbali ku-download App yake

Kuna Siku nilikuwa nasafiri kwa basi kutoka Dodoma kuja DSM kabla ya SGR, kutokana na addiction ya kutumia JF nikajikuta nime-Login.

Nilikuwa nimekaa na binti fulani around 27-32 hivi, Baada ya kuona yupo busy kutaka kujua ID niliyokuwa naitumia ikabidi haraka ni-Logout

Hachelewi kuja kusema humu amekutana na Mzee Grahams bure, na hivi ninavyotumia mkongojo kutembea 😜
Mzee mjanja 😅😅
 
Kutumia huu mtandao bila kujulikana kuna raha yake Mkuu

Imagine unairushia vocal PisiKali ambayo unadate nayo huko Mtaani lakini kupitia ID yake ya humu unajikuta unaiomba tena 😜

Vijana mna hatari nyie balaa 😅
Mzee nilijua mambi ya hovyo ushaacha
 
Kwahiyo bi mkubwa huwa anamsoma jamaa anavotuita whatsapp atutapeli kwa kutupa njia za utajiri.

Anamsoma na anavojifanya mchawi wa yavuz yakuz

Poor Brain
Daaah ev mi sio tapeli hiyo ishu ya yakuz na yavuz mbona nilishaweka mpaka mashart huku
IMG_20250124_103709.jpg
 
Back
Top Bottom