Nimepigwa na butwaa

Nimepigwa na butwaa

Wasalam wakuu.

Katika hali ya kushtukiza na kuchanganya leo hii nimekuta application ya jf kwa simu ya mama..

I don't know ni nani kamwekea hii application au imekuaje kuaje.

Nimeshindwa hata kuifungua ila nime unstaill aiseee....

Yaani imekuaje kuaje wakuu..
Humu ndani humu umakini unatakiwa wa kutosha aiseee

Bado najiuliza kama anatumia jf au laah..
Nimepigwa na butwaa...

Wakuu mjiheshimu kuna watu mna assume ni mtu flani.. nimesema sijajua kama kajiunga au laa
Au ndo yule aliyesema yy ni tajiri wa kwanxa duniani
 
Nilikuwa nimekaa kwenye siti moja na jemba mara nikafungua app yangu penda ya jf jembaa ikaikodolea wee mara ikacheka huku ikisema kumbe ni wewe. Tukacheka nikamuuliza wewe unatumia ID ipi hakutaja jemba ilidai haina acc ila iko humu daily tulicheka sana
 
Nilikuwa nimekaa kwenye siti moja na jemba mara nikafungua app yangu penda ya jf jembaa ikaikodolea wee mara ikacheka huku ikisema kumbe ni wewe. Tukacheka nikamuuliza wewe unatumia ID ipi hakutaja jemba ilidai haina acc ila iko humu daily tulicheka sana
Mkuu umeona eeeh sasa hapa unapata picha harisi humu ndani tuwe makini..

Kuna siku niliwahi vamiana na shangazi an shangz kabisa na akawa ananisema live live ila ndo hv ilishapita
 
We jamaa kuwa na adabu na bi mkubwa
Sawa mkuu
b3d7211fc424b4151d691ef185c19d41.jpg
 
Nilikuwa nimekaa kwenye siti moja na jemba mara nikafungua app yangu penda ya jf jembaa ikaikodolea wee mara ikacheka huku ikisema kumbe ni wewe. Tukacheka nikamuuliza wewe unatumia ID ipi hakutaja jemba ilidai haina acc ila iko humu daily tulicheka sana
Duh! Ulikuwa unakomenti, hadi ikaonekana au
 
Mkuu umeona eeeh sasa hapa unapata picha harisi humu ndani tuwe makini..

Kuna siku niliwahi vamiana na shangazi an shangz kabisa na akawa ananisema live live ila ndo hv ilishapita
Mimi wala sikujari maana sijawahi kwazana na mtu humu kiasi cha kujificha sana...sema akiwa kwenye circle yako halafu mfahamiane uhuru unakosekana kifuatacho ni kubali ID tu
 
Back
Top Bottom