Nimepigwa na butwaa

Nimepigwa na butwaa

Wasalam wakuu.

Katika hali ya kushtukiza na kuchanganya leo hii nimekuta application ya jf kwa simu ya mama..

I don't know ni nani kamwekea hii application au imekuaje kuaje.

Nimeshindwa hata kuifungua ila nime unstaill aiseee....

Yaani imekuaje kuaje wakuu..
Humu ndani humu umakini unatakiwa wa kutosha aiseee

Bado najiuliza kama anatumia jf au laah..
Nimepigwa na butwaa...

Wakuu mjiheshimu kuna watu mna assume ni mtu flani.. nimesema sijajua kama kajiunga au laa
Inabidi usiandike tena kuhusiana na mambo ya kina Dori mkuu, usikute huwa anakutana nayo, halafu wazazi hata ufiche ID hadi miandiko wanaijua hata kama hawajawahi Iona hapo kabla😅😅😅😅
 
Wasalam wakuu.

Katika hali ya kushtukiza na kuchanganya leo hii nimekuta application ya jf kwa simu ya mama..

I don't know ni nani kamwekea hii application au imekuaje kuaje.

Nimeshindwa hata kuifungua ila nime unstaill aiseee....

Yaani imekuaje kuaje wakuu..
Humu ndani humu umakini unatakiwa wa kutosha aiseee

Bado najiuliza kama anatumia jf au laah..
Nimepigwa na butwaa...

Wakuu mjiheshimu kuna watu mna assume ni mtu flani.. nimesema sijajua kama kajiunga au laa
Una maana ya mama yako mzazi au Mama Samia Rais na kiongozi wetu.

Kama ni Rais mbona hakuna shida, lazima yupo kupata mrejesho wa wananchi.

Kama ni mama yako, inategemea labda unamchukulia mshamba (ignorant) flani hivi. Lakini sasa ujue hayupo kama umdhaniavyo.
 
Poor Brain Hofu ni nini, kwanini ushike simu ya mtu uDelete app pila ruhusa yake, ukiulizwa kwanini utajibuje? Umeandika ni kama JF kuna biashara haramu.
Ni mama angu..
Kataka awekewe muvi kama nafasi hakuna lazima nifute zile app ambzo unakuta zipo zipo tu
 
Back
Top Bottom