Nimepigwa na butwaa

Nimepigwa na butwaa

20250514_121506.jpg
 
Mkuu hapa nataka niongee na mdogo angu nijue je ni yeye kaweka au ni nani..

Alafu nifatilie je huwa ana log in au anaangalia habari mbali mbali
Mkuu mbona tiyar ulikua kwenye hiyo opportunity ukakimbilia kui uninstall?
 
Wasalam wakuu.

Katika hali ya kushtukiza na kuchanganya leo hii nimekuta application ya jf kwa simu ya mama..

I don't know ni nani kamwekea hii application au imekuaje kuaje.

Nimeshindwa hata kuifungua ila nime unstaill aiseee....

Yaani imekuaje kuaje wakuu..
Humu ndani humu umakini unatakiwa wa kutosha aiseee

Bado najiuliza kama anatumia jf au laah..
Nimepigwa na butwaa...

Wakuu mjiheshimu kuna watu mna assume ni mtu flani.. nimesema sijajua kama kajiunga au laa

Atakuwa ndo MamaSamia2025
 
Wasalam wakuu.

Katika hali ya kushtukiza na kuchanganya leo hii nimekuta application ya jf kwa simu ya mama..

I don't know ni nani kamwekea hii application au imekuaje kuaje.

Nimeshindwa hata kuifungua ila nime unstaill aiseee....

Yaani imekuaje kuaje wakuu..
Humu ndani humu umakini unatakiwa wa kutosha aiseee

Bado najiuliza kama anatumia jf au laah..
Nimepigwa na butwaa...

Wakuu mjiheshimu kuna watu mna assume ni mtu flani.. nimesema sijajua kama kajiunga au laa
Kosa lako niku Uninstall Poor Brain
 
Ndiyo maana binafsi tangu nimeanza kuitumia JF tangu ikiitwa Jambo Forum, sijawahi kuifungua mbele za watu achilia mbali ku-download App yake

Kuna Siku nilikuwa nasafiri kwa basi kutoka Dodoma kuja DSM kabla ya SGR, kutokana na addiction ya kutumia JF nikajikuta nime-Login.

Nilikuwa nimekaa na binti fulani around 27-32 hivi, Baada ya kuona yupo busy kutaka kujua ID niliyokuwa naitumia ikabidi haraka ni-Logout

Hachelewi kuja kusema humu amekutana na Mzee Grahams bure, na hivi ninavyotumia mkongojo kutembea 😜
 
Ndiyo maana binafsi tangu nimeanza kuitumia JF tangu ikiitwa Jambo Forum, sijawahi kuifungua mbele za watu achilia mbali ku-download App yake

Kuna Siku nilikuwa nasafiri kwa basi kutoka Dodoma kuja DSM kabla ya SGR, kutokana na addiction ya kutumia JF nikajikuta nime-Login.

Nilikuwa nimekaa na binti fulani around 27-32 hivi, Baada ya kuona yupo busy kutaka kujua ID niliyokuwa naitumia ikabidi haraka ni-Logout

Hachelewi kuja kusema humu amekutana na Mzee Grahams bure, na hivi ninavyotumia mkongojo kutembea 😜
Mimi huwa natumia popopote pale siogopi kitu Kuna demu nae alikuwaga anapiga jicho akaona Id yangu akaaanza kusema kumbe wewe ndio Vincenzo 😀😀
 
Mwache bi mdashi ajiachie wewe,ukute humu ndio anapata faraja ukikuta siku ana peruz app za porno si utajiua wewe!Halafu ukome kugusa simu ya mama yako hiki Kizazi sijui kikoje!!!
 
Ndiyo maana binafsi tangu nimeanza kuitumia JF tangu ikiitwa Jambo Forum, sijawahi kuifungua mbele za watu achilia mbali ku-download App yake

Kuna Siku nilikuwa nasafiri kwa basi kutoka Dodoma kuja DSM kabla ya SGR, kutokana na addiction ya kutumia JF nikajikuta nime-Login.

Nilikuwa nimekaa na binti fulani around 27-32 hivi, Baada ya kuona yupo busy kutaka kujua ID niliyokuwa naitumia ikabidi haraka ni-Logout

Hachelewi kuja kusema humu amekutana na Mzee Grahams bure, na hivi ninavyotumia mkongojo kutembea 😜
Nikiwa maeneo ya karibu na watu huwa natumia ile ID yangu nyingine ila nikiwa alone natumia hii ya kubwa la maadui mr machale.
 
Back
Top Bottom