Mpyena
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 993
- 1,272
Na lazima alishakutafutia baba zako wa kufikia upo nao humu unawajibu vibayaMkuu sasa kwa hali ya humu jf kweli bi mdashi et awe ana log in...
Imagine tuu
Hii hapana sitaki iwe hvo mkuu
Na lazima alishakutafutia baba zako wa kufikia upo nao humu unawajibu vibayaMkuu sasa kwa hali ya humu jf kweli bi mdashi et awe ana log in...
Imagine tuu
Hii hapana sitaki iwe hvo mkuu
Mkuu mbona tiyar ulikua kwenye hiyo opportunity ukakimbilia kui uninstall?Mkuu hapa nataka niongee na mdogo angu nijue je ni yeye kaweka au ni nani..
Alafu nifatilie je huwa ana log in au anaangalia habari mbali mbali
Noma sana ule uzi wa kimasihara😀😀😀Alikuwa nae anataka akale tunda kwa mwanakondoo wake
Wasalam wakuu.
Katika hali ya kushtukiza na kuchanganya leo hii nimekuta application ya jf kwa simu ya mama..
I don't know ni nani kamwekea hii application au imekuaje kuaje.
Nimeshindwa hata kuifungua ila nime unstaill aiseee....
Yaani imekuaje kuaje wakuu..
Humu ndani humu umakini unatakiwa wa kutosha aiseee
Bado najiuliza kama anatumia jf au laah..
Nimepigwa na butwaa...
Wakuu mjiheshimu kuna watu mna assume ni mtu flani.. nimesema sijajua kama kajiunga au laa
Kabisa.Ukamtega bana...
😂😂😂😂🙌🙌🙌 Sasa hv naapa takua mstaarabu
Utanipa pesa 🤭?Nije pm 😎
Na nitaenda na wewe Zanzibar 😎Utanipa pesa 🤭?
Zanzibar kufanyaje?Na nitaenda na wewe Zanzibar 😎
Kosa lako niku Uninstall Poor BrainWasalam wakuu.
Katika hali ya kushtukiza na kuchanganya leo hii nimekuta application ya jf kwa simu ya mama..
I don't know ni nani kamwekea hii application au imekuaje kuaje.
Nimeshindwa hata kuifungua ila nime unstaill aiseee....
Yaani imekuaje kuaje wakuu..
Humu ndani humu umakini unatakiwa wa kutosha aiseee
Bado najiuliza kama anatumia jf au laah..
Nimepigwa na butwaa...
Wakuu mjiheshimu kuna watu mna assume ni mtu flani.. nimesema sijajua kama kajiunga au laa
Kutalii hautaki tunaenda na ndege au hautaki 😎Zanzibar kufanyaje?
Mimi huwa natumia popopote pale siogopi kitu Kuna demu nae alikuwaga anapiga jicho akaona Id yangu akaaanza kusema kumbe wewe ndio Vincenzo 😀😀Ndiyo maana binafsi tangu nimeanza kuitumia JF tangu ikiitwa Jambo Forum, sijawahi kuifungua mbele za watu achilia mbali ku-download App yake
Kuna Siku nilikuwa nasafiri kwa basi kutoka Dodoma kuja DSM kabla ya SGR, kutokana na addiction ya kutumia JF nikajikuta nime-Login.
Nilikuwa nimekaa na binti fulani around 27-32 hivi, Baada ya kuona yupo busy kutaka kujua ID niliyokuwa naitumia ikabidi haraka ni-Logout
Hachelewi kuja kusema humu amekutana na Mzee Grahams bure, na hivi ninavyotumia mkongojo kutembea 😜
Exactly 💯Watu wenye akili wote wapo jf
Nikiwa maeneo ya karibu na watu huwa natumia ile ID yangu nyingine ila nikiwa alone natumia hii ya kubwa la maadui mr machale.Ndiyo maana binafsi tangu nimeanza kuitumia JF tangu ikiitwa Jambo Forum, sijawahi kuifungua mbele za watu achilia mbali ku-download App yake
Kuna Siku nilikuwa nasafiri kwa basi kutoka Dodoma kuja DSM kabla ya SGR, kutokana na addiction ya kutumia JF nikajikuta nime-Login.
Nilikuwa nimekaa na binti fulani around 27-32 hivi, Baada ya kuona yupo busy kutaka kujua ID niliyokuwa naitumia ikabidi haraka ni-Logout
Hachelewi kuja kusema humu amekutana na Mzee Grahams bure, na hivi ninavyotumia mkongojo kutembea 😜