Nimepigwa na butwaa

Nimepigwa na butwaa

Hapitii na hazingatiii mkuu...
Bi mdashi ni mtu na heshima zake ujue sasa wewe endelea kusema bi mdashi ni mtu wa hovyo takublok mkuu..

Kwanza naona unataka tugombane hapa maana wewe unashawishi wenzako humu wasema bi mdashi kajiunga
Haha sawa mkuu heshima mbele, bi mdashi hapitii na hajajiunga tuache kufikiria negatively, YAKUZ YAVUZ.
 
Wasalam wakuu.

Katika hali ya kushtukiza na kuchanganya leo hii nimekuta application ya jf kwa simu ya mama..

I don't know ni nani kamwekea hii application au imekuaje kuaje.

Nimeshindwa hata kuifungua ila nime unstaill aiseee....

Yaani imekuaje kuaje wakuu..
Humu ndani humu umakini unatakiwa wa kutosha aiseee

Bado najiuliza kama anatumia jf au laah..
Nimepigwa na butwaa...

Wakuu mjiheshimu kuna watu mna assume ni mtu flani.. nimesema sijajua kama kajiunga au laa
Beki tatu wenu humu unamuita BossLady na anakutumia na vocha mnazigombania 🤣
 
Paka umefanikiwa kuona app ya jf umeshindwa nini kuangalia user name yake profile
 
Back
Top Bottom