Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 14,929
- 20,979
Hutaki iwe hivyo au hupendi iwe hivyo, embu fafanua kidogo!Mkuu sasa kwa hali ya humu jf kweli bi mdashi et awe ana log in...
Imagine tuu
Hii hapana sitaki iwe hvo mkuu
Wenzake wa 70+yrs old tupo humu na ninyi tukihangaika, kwani shida iko wapi?
Na ukianza tu ubaguzi wa umri mwisho wa siku utakuja kujinyanyapaa wewe mwenyewe na habari yako itaishia hapo.