Nimepigwa na butwaa

Nimepigwa na butwaa

Nilikuwa nimekaa kwenye siti moja na jemba mara nikafungua app yangu penda ya jf jembaa ikaikodolea wee mara ikacheka huku ikisema kumbe ni wewe. Tukacheka nikamuuliza wewe unatumia ID ipi hakutaja jemba ilidai haina acc ila iko humu daily tulicheka sana
Alikujuaje sababu hata akikodolea macho hawezi kukujua mpaka ufungue profile?
 
Back
Top Bottom