Nimepigwa na butwaa

Nimepigwa na butwaa

Unaona kama JF sasahivi imejaa wahuni, naweza nikakuunga mkono maana leo nimekutana na mada inabeza walimu na kuwachulia kama si watu wanaofaa kuoa mabinti wazuri.
Hii ndio JF ya sasahivi
Ya hovyo sana watu wenyewe ndo hawa kutwa kutafuta mishangazi kutwa story za ajabu ajabu mkuu
 
Bi mdashi ajajiunga humu acha mambo yako ww
haha Bi mkubwa huenda kajiunga au hajajiunga, na kama kajiunga huenda anapitia nyuzi ya madini au nyuzi za hovyo, na kama anapitia nyuzi za hovyo huenda anazingatia ama hazizingatii, na kama hazizingatii mambo yako shwari kwahio chill mwanetu.
 
haha Bi mkubwa huenda kajiunga au hajajiunga, na kama kajiunga huenda anapitia nyuzi ya madini au nyuzi za hovyo, na kama anapitia nyuzi za hovyo huenda anazingatia ama hazizingatii, na kama hazizingatii mambo yako shwari kwahio chill mwanetu.
Hapitii na hazingatiii mkuu...
Bi mdashi ni mtu na heshima zake ujue sasa wewe endelea kusema bi mdashi ni mtu wa hovyo takublok mkuu..

Kwanza naona unataka tugombane hapa maana wewe unashawishi wenzako humu wasema bi mdashi kajiunga
 
Inabidi usiandike tena kuhusiana na mambo ya kina Dori mkuu, usikute huwa anakutana nayo, halafu wazazi hata ufiche ID hadi miandiko wanaijua hata kama hawajawahi Iona hapo kabla😅😅😅😅
Usinitishe mkuu...
Kwanza sizani kama mada zangu anaonga yaani yeye na umri wake aanze fatilia nyuzi zangu za kusifia mishangzi are we real
 
Kwani wewe JF unaichukuliaje?
Mkuu hii ya leo imenistukiza ujue...
Yaani kwanza kukutana na mtu tuu wa jf humu inakuaga mara chache sana..

Alafu pap nakuta bi mdashi ana app
 
Back
Top Bottom