Rais Dkt. Samia Akiwaapisha Viongozi Wateule, Ikulu Ndogo Ya Tunguu, Zanzibar | 02 Septemba, 2026
Monkey See
Monkey Do

Pombe aliapishia watu Chato
Samia anaiga, na anasema why not me.

Kanali Jakaya alipotemea makohozi Katiba ya CCM alikiri akasema, watu woooote wamepata miaka 10, 10, why not Samia ??? Monkey See Monkey Do.

Hata Warioba aliposema haamini Nchimbi amepigwa telo huko aliko chini ya ulinzii kwa sababu huo sio utaratibu, hakuwa sahihi

Jumbe alipojiuzulu alipigwa telo na Nyerere. Warioba was there. He was the attorney General. Next year, 1985 akawa Vice President, highest security clearance next to President's. Alijua Jumbe kapigwa telo wapi. He knows historical state secrets as good as anybody alive.

Sawa. Samia ana kisasi cha wazi wazi lakini ya unyama wa Samia si mapya!

Hata hili la former presidents ku commandeer mkutano wa kumpata mrithi JULIUS NYERERE ndio aliyaanzisha. Jakaya aliiga tu.

OUR FOUNDING FATHER JULIUS NYERERE ALITUFANYIA MEMA YASIYO NA KIPIMO. LAKINI NI SAWA NA MJOMBA ALIYEKUSOMESHA, LAKINI AKAKU MOLESTI.
 
Screenshot_20260902-120602~2.png


Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwaapisha Wakuu wa Mikoa na Katibu Tawala wa Mkoa, Ikulu Ndogo ya Tunguu, Zanzibar Septemba 02, 2026.
 
MANENO MAKALI SANA
SIJAJUA MAASKOFU WANATUMIA VIPIMO VIPI KUTAKA BWANA NYERERE ATANGAZWE MTAKATIFU.

Ndio ilivyo.

Mengi wanaiga watangulizi.
Hatuna visionaries wa kubadlisha mazoea.

Brigedier General Hashim Mbita aliandika "Ripoti ya Chande" over 20 years ago mauaji ya Zanzibar.

Nani aliamuru kusema ua hapo panya ??

Ripoti ya Mbita ilisema nini ? Hili la kuficha ripoti kaanza Samia?

Mkapa anakuja baadae anaandika kitabu anasema mimi sikuwepo. Hukuwepo mtaani Zanzibar ki shuti watu au hukuwepo Tanzania? Hajasema.


Samia anaiga kina Magu na Mkapa, na Kikwete nae anaiga Nyerere!

Kila anaeingia Ikulu amekaririshwa toka kazaliwa kwamba Nyerere was the greatest leader in world history. Lazima utamwiga tu.

OOOH... MNA KATIBA MBAYA SANA MIMI NIKITOKA MKIPATA WAHUNI HAPA MTAKIONA CHA MTEMA KUNI.

SASA, KWANI NANI ALITUPATIA HIYO KATIBA YENYE LOOPHOLES KWA WAHUNI, SIO WEWE??? KAMA ULIKOSEA NA UMELIONA HILO, KWA NN BASI USIIDILISHE KABLA HUJAONDOKA ILI TUSIANGAMIZWE NA POTENTIAL WAHUNI??? TUJIBU KUTOKEA KABURINI WEWE NYERERE MEATHEAD MKUBWA, TYPICAL PRIMITIVE TYPES RUNNING AFRICA, SHENZ TYPE!
 
Habari wana bodi,
Husika na kichwa cha habari hapo juu,
Jana tar 02/09, Rais Samia alipokua anawaapisha wakuu wa mikoa wateule pale katika ikulu Ndogo ya Tunguu Zanzibar alizungumza mengi pamoja na kuwasihi wakuu wa mikoa wapya kufanya kazi kwa bidii na kuwatumikia wananchi.

Pamoja na mengi mazuri ambayo Rais wa JMT aliyozungumza, aligusia pia swala la mvua za el nino ambazo zinatarajiwa kuanza hivi karibuni. Rais alieleza juu ya swala la usafi katika maeneo mbalimbali ambalo ni jukumu letu sisi wananchi wote, kuhakikisha mitaro ya maji taka inakua safi ili mvua zitakapoanza maji yaweze kutiririka vizuri bila kuathiri miundombinu mengine kama vile barabara pamoja na makazi ya watu.

Kupitia Hutuba ile ya Rais wa JMT, nipende kuwakumbusha watu wa @Tanroads na @Tarura pamoja na mamlaka nyingine kufanya ukarabati wa barabara zetu kama vile kufukia mashimo na kusawazisha barabara pamoja na madaraja yote ambayo yanaunganisha vijiji, Kata, Mitaa ,Wilaya na Mikoa ili kuepuka adha ama usumbufu au kukatisha shughuli kwa wafanyakazi na wanafunzi katika kipindi cha mvua.

Mfano kuna ile Barabara inayotoka Madale mwisho kupita njia panda ya msumi kuelekea Mbopo, Kinondo mpaka Bunju Mvua zinaponyesha hua ni kero na mara zote hukatisha hata shughuli za maendeleo katika vipindi vya mvua kwa utelezi mzito ulioambatana na mashimo makubwa pamoja na mitaro hafifu ya maji ambayo yanapelekea kuchimbika kwa barabara.
Nichukue fursa hii kuiomba serikali kupitia Tanroads na Tarura kufanya marekebisho ya barabara zetu zote ambazo ni korofi pamoja na madaraja katika maeneo yote ya nchi ili kufanya shughuli ya kujenga taifa kipindi cha mvua za el nino ziendelee kama kawaida.

Mungu ibariki Tanzania,
JMT ..............................................
 
Back
Top Bottom