Mchelea Mwana
Member
- Apr 21, 2008
- 83
- 0
Bwana ametoa bwana ametwaa, nimwanajashi tuliempenda sana hapa JF , lakini mungu kampenda zaidi yetu.
mapenzi ya bwana jatimizwe
Emen
mapenzi ya bwana jatimizwe
Emen
Kweli kabisa mkuu Roya,Pole Maxe - marehemu alikua zaidi ya mwana JF kwako, alikugusa moja moja,