Gamba la Nyoka
JF-Expert Member
- May 1, 2007
- 7,022
- 9,285
hii analogy ya muungano na ndoa sijui inatoka wapi!, iwapo muungano kati ya tanganyika na zanzibar ni kama ndoa,basi ni nani dume na ni nani jike?.
hii analogy ya muungano na ndoa sijui inatoka wapi!, iwapo muungano kati ya tanganyika na zanzibar ni kama ndoa,basi ni nani dume na ni nani jike?.
Muungano ni kama ndoa..na kama ikishindikana kuishi pamoja basi tupeane talak kila mmoja atazame ustaarabu wake.
Muungano haukuwepo na unaweza usiwepo.Kwa wazanzibari wengi wao be it CUF au CCM deep down wanaamini kuwa muungano hauna faida kwao, na zaidi ule mkutano wa Butiama ambao CCM ZNZ walimtisha JK kuwa kama anataka kuwasikiliza hao CUF basi na wao watarudi ZNZ kivyao.Na hapo bado hatujazungumzia 60/40
Bara nao wanaona kuwa watu wa ZNZ wanaishi kwa income support ya kodi wa watu wa Bara sasa je mnasemaje wana JF tuuvunje huu muungano?
Maoni yenu Tafadhali
JAMBO FORUMS WHERE WE DARE TALK OPENLY
Hivyo visiwa ni viwili sasa lipi ndio dume akina sabri Bachan ni wako upande gani.Visiwani dume, Tanganyika jike. No doubt about that!
hii analogy ya muungano na ndoa sijui inatoka wapi!, iwapo muungano kati ya tanganyika na zanzibar ni kama ndoa,basi ni nani dume na ni nani jike?.
Wenye uwezo wa kufanya hili ni serekali ya CCM iliyopo madarakani and we all know what they will say, we have heard it before- 'tupate ridhaa ya wananchi!' as if wakati wa kuunda huo muungano kulikuwa na kitu kama hicho.
kwanza hatuwezi kuufananisha muungano na ndoa.
ndoa kuvunjwa mungu hapendi, lakini mungu hajasema anachukia kuvunja muungana wa tanganyika na zanzibar.
muungano una dis-advantages nyingi kwa bara kama ilivyo kwa visiwani.
watu wa visiwani wengi kwa kweli muungano hawautaki, kwa vile wanaona hawawezi kuamua kitu chao mpaka kipitishwe na bara.
watu wa bara cha kwanza wamekosa identity yao. mtanganyika sasa hayupo tena, wakati mzanzibari japo ndani ya tanzania tu anatambulika.
muungano kama hauwezi kutatuliwa kirahisi, basi kusipotezwa pesa nyingi na energy nyingi kutafuta ufumbuzi, na uvunjwe.
Solution ndogo tu,
Referendum on both sides, simple majority on both sides wins.
No takes precedent over yes.If Zanzibar says No to the union by 51% and the mainland votes yes 80% then the union is off, for the union to continue it needs to have more than 51% on both sides.
Hii referendum both sides wakati tunajua wa Bara ndio wanaon ungangania unategemea mimi yaani 40 million vs 1 million?
Ipigwe Kura ya maoni!Kama wananchi wanataka Muungano au viongozi
Muungano si vizuri kuuvunja ila tunahitaji kurekebisha katiba na muundo wa muungano ili uendane na hali ya sasa ya siasa. Tutahitaji seikali tatu na hilo liko wazi na nilazima litakuja kuwa ila kwa sasa tunaliahirisha tu.
Actually Bara ndio wanaongangania Muungano..wenyewe kule visiwani hawautaki na walimwambia JK juzi kule butiama
Watu wengi wabara wanaamini wananchi wa kule wanaishi kwa INCOME SUPPORT au wana wa SUBSIDIES za wabara..hivi kama mngesikia maneno waliyokuwa wakitamka wajumbe wa CCM ZNZ kule Butiama ndio mtaamini kuwa bara kwenye hili ni ma SIMPS
Wenye uwezo wa kufanya hili ni serekali ya CCM iliyopo madarakani and we all know what they will say, we have heard it before- 'tupate ridhaa ya wananchi!' as if wakati wa kuunda huo muungano kulikuwa na kitu kama hicho.