Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 2,786
- 7,567
Kuhusu serikali kufanya uhakiki wa ripoti ya CNN, Msigwa amesema:
Uhakiki wa makala unaendelea, lakini hawajafuata weledi na uadilifu kwenye uandishi wa habari.
Si kweli CNN ilishindwa kupata upande wa serikali, akisema inashangaza chombo kama CNN kufanya makosa ya kiweledi kama hayo.
Serikali inatoa wito kwa CNN kuzingatia maadili na weledi na kujiepusha kuchapisha habari bila kufuata vyanzo halali na rasmi, kupotosha na kuzua taharuki.
Uhakiki wa makala unaendelea, lakini hawajafuata weledi na uadilifu kwenye uandishi wa habari.
Si kweli CNN ilishindwa kupata upande wa serikali, akisema inashangaza chombo kama CNN kufanya makosa ya kiweledi kama hayo.
Serikali inatoa wito kwa CNN kuzingatia maadili na weledi na kujiepusha kuchapisha habari bila kufuata vyanzo halali na rasmi, kupotosha na kuzua taharuki.