Msaada wenu tafadhali kama una stress don't comment. Nahitaji ushauri

Msaada wenu tafadhali kama una stress don't comment. Nahitaji ushauri

Nimeonhea nae amenielewa na nilimsisitizia kuchunguza wanae kwa sababu miaka hii hali sio nzur kwa baba,kaka,mjomba. Nk ameelewa na kwa kweli wanaume tukae mbali na watoto wetu wa kike na wamajirani, uaminifu haupo tena
Kwani Nini kimesababisha mkewe kukutuhumu unamla mtoto hili swali mbona hatupati majibu yake
 
Uzur hana access na nje na amehojiwa upya amekiri hajafanyiwa. Na mamaake ameamini hivyo. Na nimezidi kumshauri kuhakikisha anawachunguza Wanaweka mara kwa mara kuondoa hofu na mashaka ya aina hiyo
Kwahiyo mtoto wenu muda wote anakaa ndani?
 
Dah ila kuna vitu vinaumiza sana!hali tunayopitia ya kukosa uaminifu kwenye jamii ndio matokeo yake haya tunaishi kwa mashaka sana,imefikia hatua hata mume au kaka akibeba mtoto wako akaenda nae dukani huku nyuma tunakaa roho juu....
Lazima ujue mama hakuna mtu anatoa tuhuma nzito hiyo kwa bahati mbaya inaonesha Kuna mazingira kayaona ndio maana katoa hizo shutuma sema jamaa anatuficha
 
Wewe maungo ya mtoto kubwa makubwa kama mama yake umeyonaje na ukathibitisha
Jamaa anatupa tabu sana kumuelewa anamuelezeaje mtoto wake kiasi hicho? Na kwanini anashindwa kutuelezea kwanini mkewe amtuhumu shutuma hizo nzito from no where
 
Jamaa anatupa tabu sana kumuelewa anamuelezeaje mtoto wake kiasi hicho? Na kwanini anashindwa kutuelezea kwanini mkewe amtuhumu shutuma hizo nzito from no where
Kashamla huwezi kuelezea maungo ya mwanamke kama haujamla
 
Naona Kama jamaa anatuficha kiaina haiwezekani mke wako atoe tuhuma nzito kama hiyo from no where tu lazima kuwe na mazingira kayaona ndio maana kaongea hivyo jamaa anapaswa atuambie Nini kimepelekea mkewe kuhumtumu yeye kaongea kisimple simple tu Sasa sisi tunamsaidiaje bila kufunguka kwa kina
😅
 
Yaani una mtoto wa miaka ishirini ushindwe kutambua maumbile makubwa inatumikaje?
Hapa tumelambishwa nyasi na sisi hatukubali
Kusema ni mnene kama mama yake au ananyashi sawa na mama yake ni shida?

Na pombe imeingia ingiaaje hapo

Mnasingiziaga sana
 
Story of my life.😭😭
Kuna kitu watu wananihisi ktk jamii yangu na sina jinsi yakujitetea.🙁
Kuna point nilitamani kujiua.
Kama sio team ya wenye hekima kunipa miongozo kuna kabiashara kangu kangekufa kwa hizo tuhuma.

Mtoa mada asipotumia hekima heshima yake yote itapotea.
Ukute mkewe kuna watu keshaanza kuwaeleza hilo jambo
Mkuu acha tu. Kuna wakati watoto wakija nyumbani kwangu nawafukuza kuhofia kushutumiwa. Nimeona Bora nionekane mbaya kuliko kufedheheka, unakuta hata kwenye misiba unaona aibu kuhudhuria.

Kuhusu suala langu, anaeamini aamini, mwenye mashaka akae nayo.

Najua kwa uwezo la labana kuna Sababu ya jambo hili, hata ilifikia point nikaona ni Bora hata alivyofanya hivyo kwani tayar ameshaniepushia.

Mnaodai nimemuanaje anamaumbule, ni nyumbani kwangu na nasisitiza kufaa stara. Kwani ndio tabia Mjema. Wanaona mitandani mavaz ya ajabu wanavaa nikiwa sipo, nawaona, nawatengea MAENEO yao ya kuwa na faragha zao. So siajabu wengine wanaongea na hawana familia.
 
Tatizo wazazi wa siku hizi mnapenda sana kuwabebisha watoto...zamani mtoto kukukaribia afanye kazi ila siku hizi uzungu umewaharibu mtoto anavaa vimini mbele ya mzazi na mzazi anachukulia poa
 
Huyu kwa kwanza ni mkubwa ana miaka 23 ameumuka kama kama mamaake anaumbile kubwa na amefanana na mamaake, ni mnene na anakila kitu alichomacho mamamaake.

Umetomea ugonvi baina yangu na mamaake. Kwa kimaumbile mamamaake ana maungo makubwa Sasa mtoto amerithi kila kitu.
Wewe umejuaje mwanao kama ameumuka kama mama yake, na anakila kitu kama mama yake mpaka maungo makubwa kama mama yake...
Unasikitisha sana...


Cc: Mahondaw
 
Tatizo wazazi wa siku hizi mnapenda sana kuwabebisha watoto...zamani mtoto kukukaribia afanye kazi ila siku hizi uzungu umewaharibu mtoto anavaa vimini mbele ya mzazi na mzazi anachukulia poa
Pamoja na hivyo imekuaje mkewe ampe shutuma nzito kama hiyo from no where tu?
 
Back
Top Bottom