Msaada wenu tafadhali kama una stress don't comment. Nahitaji ushauri

Msaada wenu tafadhali kama una stress don't comment. Nahitaji ushauri

Mimi nimekuelewa vizur sana,na pole sana kwa changamoto yako,hii ishu pia nimeshahadithiwa na mtu wangu wa karibu kuhusiana na mtoto wa kike ambaye hayupo sawa kiakili kusingizia kwamba baba yake anatembea nae,tena hao walienda mpaka mahakamani,wao wana asili ya kihindi.

Baadhi ya watu wanakuhumu tu kwamba sijui umebaka mwanao,wahurumie tu,maana kuna watu kujaji mambo kwao ni kitu rahisi sana.

Nakubaliana na wewe huenda kuna siku labda aliona wewe na mama yake mnasex hivyo hiyo hali ikamwathiri na ukichukulia kwamba hayupo sawa kwa maana ana matatizo ya akili.

Inahitaji busara kubwa sana kuliendea hilo swala lako,kuwa mvumilivu na mwingi wa subira huku ukitafuta namna ya kutatua hiyo shida.
Mkuu hata wewe una akili kama mleta mada. Tafuteni daktari haraka sana.
 
Habarini wakubwa ninawasalimia.

Mimi Nina mke na watoto 03. Huyu kwa kwanza ni mkubwa ana miaka 23 ameumuka kama kama mamaake anaumbile kubwa na amefanana na mamaake, ni mnene na anakila kitu alichomacho mamamaake.

Umetomea ugonvi baina yangu na mamaake. Kwa kimaumbile mamamaake ana maungo makubwa Sasa mtoto amerithi kila kitu.

Mke wangu anahisi natoka na mtoto wangu. Umekuwa ugomvi mkubwa na kwa sababu mtoto anashida ya kiafya ya akili akiulizwa anadai anakutana naye kimeapenziz anasema baba. Japo sio kweli. Nili.pata hisia kuna muda alikuja chumbani kwetu akakuta tunasex na mama ake. So akiulizwa unafanya na nani anasema baba. Msaada jamani
Ulijuaje mtoto wako ana maumbile makubwa kama mama yake.? Tuanzie hapa kwanza
 
Kwanza pole sana kwa yaliyokukuta.

Umesema mtoto ana tatizo la Afya ya akili.

Hujasema mtoto ana umri Gani?

Anasoma?

Ilikuaje mkaanza kumuuliza maswali ya kuhusu kufanya mapenzi bila chanzo chochote kile.

Huko chumbani kwenu wazazi inakuaje mnafanya mapenzi bila kufunga mlango?

Na wewe baba kwa nini umekuwa mshukiwa namba Moja kama hujawai kumfanyia chochote huyo mtoto?
 
story yako umeikata vipande vipande, hujaelezea ilikuwaje mpaka mke wako akaanza kuhisi hivyo. na kwanini aanze kuhisi leo na siyo huko nyuma, badala yake umejikita kumsifia mwanao alivyoumbika. kwa namna unavyojitetea ni dhahiri mkuu umelamba sukari

Kwa nilichogundua,

Mtoto amerithi umbo la mama, pia
Mtoto amerithi akili za baba
 
Siwez kisex na mtoto wangu

Seqen kisex na mtoto wangu kamwe
kwa hivi unavyojitetea ni uhakika huyo mwanao umemla, tukiendelea kukubana vizuri hapa jukwaani utasema tu

maana unavyojitetea ni kama vilevile mimi nilivyokuwa nakataa kwa mama kuwa sijalamba sukari, kwanza siwezi kuingia jikoni bila ruhusa yake kwamwe

Kama hujamla usingekuwa unahaha hivi, hata usingefungua uzi jf
 
Hasara ya kukaa na mabinti zenu chumba kimoja, tukiwaambia jengeni mnatuita waoga

Anyways, jibu maswali ya waja tupate kukushauri, kuna mtu kauliza hapo kuwa ilikuwaje kuwaje hadi mkeo akafika kumuuliza mtoto suala la mapenzi na nani anamdinya? Toa jibu
 
Back
Top Bottom