Msaada wenu tafadhali kama una stress don't comment. Nahitaji ushauri

Msaada wenu tafadhali kama una stress don't comment. Nahitaji ushauri

Hapo ndipo tuna maswali juu ya mtoa mada yanapokuja na lingine kwanini mkewe amtuhumu shutuma hizo nzito from no where
Kwanza amejuaje huyo mtoto wake wa kike ana maungo makubwa kama ya mama yake, ina maana jamaa kala mzigo wa mtoto...
 
Hata Mimi Nina swali kama lako haiwezekani from no where Mke wako ahisi unatembea na mtoto Wanawake sio wajinga hii ni tuhuma nzito sana jamaa anapaswa afunge aelezee vizuri kwanini Mke wake ahisi anatembea na mtoto sema jamaa kaelezea kifupi sana bila kutupa picha halisi ikoje? Ili tujue tunamsaidiaje
ameelezea juu juu tu, tusikilize na upande wa pili
 
Mtoe mtoto hapo nyumbani kama una bibi au babu mpeleke mbaki wawili TU na mkeo!

Mwambie mtoto ukweli mama yako hanielewi!!

Halafu akishopaondoka ndio umwambie ukweli labda atakuamini akikaa sawa unaweza kumrudisha Binti yako!

Anamuonea wivu coz anahisi nafasi yake itachukuliwa na yeye na inawezekana wewe unampenda sana binti yako!!

Wivu kwa wanawake ni sumu mbaya sana!!

Iliwahi kutokea mama watoto na mdogo wake hapa kwangu walichapana viboko ikabidi mmoja nimuondoe kisayansi aende yaani mdogo mtu ili amani ipatikane!
 
Story of my life.😭😭
Kuna kitu watu wananihisi ktk jamii yangu na sina jinsi yakujitetea.🙁
Kuna point nilitamani kujiua.
Kama sio team ya wenye hekima kunipa miongozo kuna kabiashara kangu kangekufa kwa hizo tuhuma.

Mtoa mada asipotumia hekima heshima yake yote itapotea.
Ukute mkewe kuna watu keshaanza kuwaeleza hilo jambo
Naamini,kuna mtu anaweza kukutwisha kashfa nzito ukashindwa hata kujitetea,na binadamu ni watu wa kuamini bila uthibitisho...si unaona humu wanavyomkazania Kampala huyo binti tena wanaongea kwa kujiamini utadhani walikuwepo na waliona tukio Zuma!Fear humanbeing
 
Pamoja na hivyo imekuaje mkewe ampe shutuma nzito kama hiyo from no where tu?
Mkuu huamini kama uzushi upo duniani? Tukiacha uzushi, kuna changamoto za afya ya akili kama bipolar disorder ambazo mara moja moja zinaweza mfanya muhusika kuweweseka - kuwaza, kuhisi, na kuongea vitu ambavyo havina uhalisia au vina uhalisia mdogo sana. Unaweza kuta huyo mke wa jamaa pia na yeye ana tatizo alilonalo mwanawe ila kwa mbaali kiasi kwamba huwezi mtambua kama ana mental health disorder. Amesema mdau mmoja hapa "don't rush to judgement". Changamoto za kijamii zina vyanzo vingi.
 
Naamini,kuna mtu anaweza kukutwisha kashfa nzito ukashindwa hata kujitetea,na binadamu ni watu wa kuamini bila uthibitisho...si unaona humu wanavyomkazania Kampala huyo binti tena wanaongea kwa kujiamini utadhani walikuwepo na waliona tukio Zuma!Fear humanbeing
Maswali mengi yameibuka kulingana na maelezo yasiojitosheleza
1. Kwanza unawezaje kumuelezea mtoto wako wa damu kwa namna hiyo eti ana shape nzuri na maumbile yake ni makubwa kama mke wake hivi kweli unaweza kumuelezea mtoto wako kwa namna hii kweli??? Na hayo maelezo yalikuwa yana umuhimu gani wa kuweka unaona kabisa hakuna connection yoyote
2. Ameshindwa kutuambia mazingira gani mkewe ameyaona kiasi ampe hizo shutuma nzito kama hiyo, Hakuna mwanamke mjinga anaweza tu akakuambia hivyo bila kuwepo na sababu.
 
Mkuu huamini kama uzushi upo duniani? Tukiacha uzushi, kuna changamoto za afya ya akili kama bipolar disorder ambazo mara moja moja zinaweza mfanya muhusika kuweweseka - kuwaza, kuhisi, na kuongea vitu ambavyo havina uhalisia au vina uhalisia mdogo sana. Unaweza kuta huyo mke wa jamaa pia na yeye ana tatizo alilonalo mwanawe ila kwa mbaali kiasi kwamba huwezi mtambua kama ana mental health disorder. Amesema mdau mmoja hapa "don't rush to judgement". Changamoto za kijamii zina vyanzo vingi.
Huwezi kutuhumiwa bila sababu ingekuwa mkewe ana tatizo la akili jamaa angesema kwenye mada yake ndio maana akamtaja mtoto wake ndio ana Hilo tatizo kwahiyo unataka tukuamini wewe kuliko maelezo ya mtoa mada? Kwani mkuu wangapi Wana familia tena wanaishi chumba kimoja na mtoto wao wa kike na hawajawahi kukutana na hizo tuhuma? Kwanini iwe yeye? Na kwanini kaambiwa kipindi hiki na sio vipindi vya nyuma wakati wameishi muda mrefu? Hivi unawachukulia wanawake ni wajinga wasio na akili mpaka wakuambie hivyo
 
Huenda hisia za mkeo ni za kweli.
Kwani yeye mtoto wako anasemaje? Maana ndiye shahidi na huenda alishamtonya mama yake unachomfanyia!
 
Maswali mengi yameibuka kulingana na maelezo yasiojitosheleza
1. Kwanza unawezaje kumuelezea mtoto wako wa damu kwa namna hiyo eti ana shape nzuri na maumbile yake ni makubwa kama mke wake hivi kweli unaweza kumuelezea mtoto wako kwa namna hii kweli??? Na hayo maelezo yalikuwa yana umuhimu gani wa kuweka unaona kabisa hakuna connection yoyote
2. Ameshindwa kutuambia mazingira gani mkewe ameyaona kiasi ampe hizo shutuma nzito kama hiyo, Hakuna mwanamke mjinga anaweza tu akakuambia hivyo bila kuwepo na sababu.
Kumbe wewe hujawahi kukutana na wanawake wajinga wanaoweza kumuonea wivu hata mama wa kumzaa mumewe,akahisi mama na mwana wanadinyana....To me it's okay kutoa wasifu wa mtoto, sio ubaya mzazi kumsifia mwanae,Nadhani kila mmoja ana mtazamo wake katika hili sema kwa watanzania mara nyingi mawazo yetu yamejaa ngono
 
Kumbe wewe hujawahi kukutana na wanawake wajinga wanaoweza kumuonea wivu hata mama wa kumzaa mumewe,akahisi mama na mwana wanadinyana....To me it's okay kutoa wasifu wa mtoto, sio ubaya mzazi kumsifia mwanae,Nadhani kila mmoja ana mtazamo wake katika hili sema kwa watanzania mara nyingi mawazo yetu yamejaa ngono
Kama angekuwa anamuonea wivu mtoto wake si wameishi muda mrefu pamoja na huyo mtoto wao kwanini hizo tuhuma hajapewa vipindi vya nyuma kwanini kipindi hichi?
 
Huwezi kutuhumiwa bila sababu ingekuwa mkewe ana tatizo la akili jamaa angesema kwenye mada yake ndio maana akamtaja mtoto wake ndio ana Hilo tatizo kwahiyo unataka tukuamini wewe kuliko maelezo ya mtoa mada? Kwani mkuu wangapi Wana familia tena wanaishi chumba kimoja na mtoto wao wa kike na hawajawahi kukutana na hizo tuhuma? Kwanini iwe yeye? Na kwanini kaambiwa kipindi hiki na sio vipindi vya nyuma? Hivi unawachukulia wanawake ni wajinga wasio na akili mpaka wakuambie hivyo
Kwa kifupi ni kwamba mimi na wewe hatuna taarifa za kutosha kufikia hitimisho kuhusu jambo lilimtokea mleta mada. Hayo niliyosema kwenye comment yangu unayoijibu hapa niliyasema kama vigezo ambavyo vinaweza kuwa vilichangia. Mwisho, narudia tena: huamini kwamba hapa duniani tuhuma za uongo zipo? Kumbuka pia mtu anaweza danganya bila kukusudia kwasababu mbali mbali.
 
Huwezi kutuhumiwa bila sababu ingekuwa mkewe ana tatizo la akili jamaa angesema kwenye mada yake ndio maana akamtaja mtoto wake ndio ana Hilo tatizo kwahiyo unataka tukuamini wewe kuliko maelezo ya mtoa mada? Kwani mkuu wangapi Wana familia tena wanaishi chumba kimoja na mtoto wao wa kike na hawajawahi kukutana na hizo tuhuma? Kwanini iwe yeye? Na kwanini kaambiwa kipindi hiki na sio vipindi vya nyuma? Hivi unawachukulia wanawake ni wajinga wasio na akili mpaka wakuambie hivyo
Kwa hiyo unadhani huyu mpaka kaja kuomba ushauri yeye ni kichaa?huna utashi wa kujiuliza kwa nini kaleta hili jambo hapa?kama angekuwa anafanya hayo mambo kweli angekaa zake kimya ni dhahiri hili jambo limemtatiza usipende kufanya conclusion kwenye mambo ambayo hukuwepo!sisi wakristo tuna amri inatukataza kabisa kushuhudia uongo.."USIMSHUHUDIE JIRANI YAKO UONGO"..yaani mtu kama wewe unaweza fanya binadamu mwenzio anyongwe
 
Kwa kifupi ni kwamba mimi na wewe hatuna taarifa za kutosha kufikia hitimisho kuhusu jambo lilimtokea mleta mada. Hayo niliyosema kwenye comment yangu unayoijibu hapa niliyasema kama vigezo ambavyo vinaweza kuwa vilichangia. Mwisho, narudia tena: huamini kwamba hapa duniani tuhuma za uongo zipo? Kumbuka pia mtu anaweza danganya bila kukusudi kwasababu mbali mbali.
Ngoja siku limfike jambo zito ndipo atakumbuka kwamba duniani unaweza singiziwa jambo ambalo hujafanya...Huyu hajui kuna watu hadi wameshanyongwa ndio ukweli unakuja julikana mtuhumiwa was innocent!
 
Back
Top Bottom