Nigga what?
Unamuelezea mtoto maungo yake sexually kama malaya fulani hivi,nigga what?
Common decency ya kusitiri viungo vya mtoto,tena wa kike just like your mother huwezi?Nigga what?
Molesters wakubwa
Molesters wote wana micro penises ndio maana wana find kids desirable
Punguani kabisa nyie
Kwanini usielezee wasifu wa huyo binti bila kutaja maungo yake kama wewe si molester?
Mama yake yupo sahihi,he is a molester,na huyo mama apaze sauti afungue kesi kabisa this motherfvcker is a motherfvcker kabisa!
Yall are molesters
What are we doing kama sensible men and women on this planet given custody of defenseless kids?Nigga what?
“Huyu kwa kwanza ni mkubwa ana miaka 23 ameumuka kama kama mamaake anaumbile kubwa na amefanana na mamaake, ni mnene na anakila kitu alichomacho mamamaake.“
Chief hakuna sehemu imeelezewa maungo sexually hapo labda kama neno MAUMBILE ndio linakuhemsha.
Sasa ngoja nikurudishe darasani KILAZA wewe ili siku nyingine usihemkwe kama unavyofanya hapa , haya soma hapa chini
BIOLOJIA, maumbile (genetics) ni tawi la sayansi linalochunguza jinsi sifa za viumbe hai zinavyorithiwa kutoka kwa wazazi kwenda kwa watoto kupitia jeni zilizomo kwenye DNA.
Mifano ya sifa zinazoweza kurithiwa:
• Rangi ya macho
• Rangi ya ngozi
• Aina ya nywele
• Urefu (kwa kiasi fulani)
• Baadhi ya magonjwa ya kurithi
Kwa mfano, mtoto anaweza kufanana na mama au baba kwa sababu amerithi baadhi ya jeni zao.
Kwa ufupi, maumbile ni sayansi ya urithi wa sifa za viumbe hai kutoka kizazi kimoja hadi kingine.
Mikono, miguu, macho, masikio na sehemu nyingine za mwili ni sehemu za maumbile ya mwili wa mtu. Ukisema “maumbile ya mtu,” unaweza kuwa unazungumzia umbo au muundo wa mwili wake.
NARUDIA TENA ACHA KUHEMKA, ZIMA HISIA WASHA AKILI