Msaada wenu tafadhali kama una stress don't comment. Nahitaji ushauri

Msaada wenu tafadhali kama una stress don't comment. Nahitaji ushauri

Kama kuna mwenye akili timam amenielewa ndio aseme.wenginenajibu.ujinga
Mimi nimekuelewa vizur sana,na pole sana kwa changamoto yako,hii ishu pia nimeshahadithiwa na mtu wangu wa karibu kuhusiana na mtoto wa kike ambaye hayupo sawa kiakili kusingizia kwamba baba yake anatembea nae,tena hao walienda mpaka mahakamani,wao wana asili ya kihindi.

Baadhi ya watu wanakuhumu tu kwamba sijui umebaka mwanao,wahurumie tu,maana kuna watu kujaji mambo kwao ni kitu rahisi sana.

Nakubaliana na wewe huenda kuna siku labda aliona wewe na mama yake mnasex hivyo hiyo hali ikamwathiri na ukichukulia kwamba hayupo sawa kwa maana ana matatizo ya akili.

Inahitaji busara kubwa sana kuliendea hilo swala lako,kuwa mvumilivu na mwingi wa subira huku ukitafuta namna ya kutatua hiyo shida.
 
mtoto anashida ya kiafya ya akili akiulizwa anadai anakutana naye kimeapenziz anasema baba. Japo sio kweli. Nili.pata hisia kuna muda alikuja chumbani kwetu akakuta tunasex na mama ake. So akiulizwa unafanya na nani anasema baba. Msaada jamani
Ukubwa wa hilo tatizo la afya ya akili upoje?

Nini kimepelekea mpaka mama yake amuulize kuhusu masuala ya kufanya mapenzi?

Eleza vizuri mkuu.
 
Back
Top Bottom