Msaada wenu tafadhali kama una stress don't comment. Nahitaji ushauri

Msaada wenu tafadhali kama una stress don't comment. Nahitaji ushauri

Nin) kwamba nimezeeka sana uwezo wa kusoma na kuelewa haraka unashuka!!
Uko vizuri tu mzee. Mleta mada tu ndio amezingua.

Kwanza ameleta uzi akiwa na stress,akiwa hayuko sawa. Pili anawajibia wengine wasicomment wakiwa na stress. Hajajitambua yeye ndio mwenye strees.

Tatu kala kuku na mayai yake,kala na mbegu zake yeye mwenyewe. Halafu anakuja kutaka ushauri kitu ambacho yeye mwenyewe haelewi apewe ushauri wapi,ipi,gani?
 
Ngoja siku limfike jambo zito ndipo atakumbuka kwamba duniani unaweza singiziwa jambo ambalo hujafanya...Huyu hajui kuna watu hadi wameshanyongwa ndio ukweli unakuja julikana mtuhumiwa was innocent!
Uko sahihi kabisa mkuu,mi nshawahi fukuzwa kazi kwa kosa la kusingiziwa,sikuwahi fanya kosa hilo,cha kuumiza zaidi almost my fellow staff members walifurahi kufukuzwa kwangu,hilo jambo limeniathiri sana mpaka leo sipendi kuajiriwa sehemu kuliko na watu wengi,angalau tuwe wawili au watatu tu,Ningekuwa na mtaji ningejiajiri .
Most people are too judgemental and sadist, wanafurahia anguko lako.
Kuna watu wako jela au wameuawa kwa makosa ya kusingiziwa, Mtu kama halijamkuta hawezi kumuelewa vizuri mleta mada
 
Habarini wakubwa ninawasalimia.

Mimi Nina mke na watoto 03. Huyu kwa kwanza ni mkubwa ana miaka 23 ameumuka kama kama mamaake anaumbile kubwa na amefanana na mamaake, ni mnene na anakila kitu alichomacho mamamaake.

Umetomea ugonvi baina yangu na mamaake. Kwa kimaumbile mamamaake ana maungo makubwa Sasa mtoto amerithi kila kitu.

Mke wangu anahisi natoka na mtoto wangu. Sio kweli. Msaada jamani
1. Hakikisha unamfikisha mkeo nchi ya ahadi (peak) walau ×3/wiki
2. Mazoea, mapenzi viwe na mipaka kwa binti wenu.
 
Kwa hiyo unadhani huyu mpaka kaja kuomba ushauri yeye ni kichaa?huna utashi wa kujiuliza kwa nini kaleta hili jambo hapa?kama angekuwa anafanya hayo mambo kweli angekaa zake kimya ni dhahiri hili jambo limemtatiza usipende kufanya conclusion kwenye mambo ambayo hukuwepo!sisi wakristo tuna amri inatukataza kabisa kushuhudia uongo.."USIMSHUHUDIE JIRANI YAKO UONGO"..yaani mtu kama wewe unaweza fanya binadamu mwenzio anyongwe
Hakuna sehemu nimehitimisha kuwa kafanya ila nimeuliza maswali kuhusu hiyo situation yake huwezi kumshauri mtu bila kujua mazingira yake
 
Kuna Yule mwamba aliamua kumfungia binti Yake na kuanza kumla hadi kuzalisha.

Hakika Dunia haina huruma
 
Pole sana kwa changamoto hiyo inavyoonekana huyo mwanao unampenda sana kama mtoto ila mkeo anatafsiri vibaya upendo wako kiasi cha kuhisi unalala naye
Kuendelea kujitetea sana kwa maneno haitasaidia maana atahisi ni kweli na kukaa kimya atajua ni kwel hivyo kuwa na kiasi mweleze ukweli kuwa hujawah hata kuwaza kufanya naye ngono wew mke wang licha ya umri kwenda bado unabaki mrembo kuliko wanawake wote najua unanipenda sana ila kunifikilia vibaya unanikosea
 
Habarini wakubwa ninawasalimia.

Mimi Nina mke na watoto 03. Huyu kwa kwanza ni mkubwa ana miaka 23 ameumuka kama kama mamaake anaumbile kubwa na amefanana na mamaake, ni mnene na anakila kitu alichomacho mamamaake.

Umetomea ugonvi baina yangu na mamaake. Kwa kimaumbile mamamaake ana maungo makubwa Sasa mtoto amerithi kila kitu.

Mke wangu anahisi natoka na mtoto wangu. Sio kweli. Msaada jamani
Laana hizi

Yaani baba utamuongeleaje mtoto sexually namna hii?

Takataka kabisa wewe!

Laana.....Ptuuuu mbakaaa kabisa!
 
Laana hizi

Yaani baba utamuongeleaje mtoto sexually namna hii?

Takataka kabisa wewe!

Laana.....Ptuuuu mbakaaa kabisa!
Wewe nawe ni Kizibo kweli na. akili inaonekana ina ujinga mwingi
Laana gani sasa wakati mtu anatafuta ushauri kwa kusingiziwa jambo ambalo hajalifanya! Sasa ulitaka aliwasilishe vipi ili aeleweke na apate ushauri!!
Aya tuambie uyo jamaa mke na mtoto unawafaham?
 
Huwezi kutuhumiwa bila sababu ingekuwa mkewe ana tatizo la akili jamaa angesema kwenye mada yake ndio maana akamtaja mtoto wake ndio ana Hilo tatizo kwahiyo unataka tukuamini wewe kuliko maelezo ya mtoa mada? Kwani mkuu wangapi Wana familia tena wanaishi chumba kimoja na mtoto wao wa kike na hawajawahi kukutana na hizo tuhuma? Kwanini iwe yeye? Na kwanini kaambiwa kipindi hiki na sio vipindi vya nyuma wakati wameishi muda mrefu? Hivi unawachukulia wanawake ni wajinga wasio na akili mpaka wakuambie hivyo
Wewe nae ni kizibo kweli, yani forum kama hii mtu afanye jinai kama hio halafu aje kujifanya hajafanya na kutafuta ushauri unadhani guilty inaweza ikakuruhusu ufanye kitu kama hicho? !!

Embu usijifanye unajua kinachoendelea wakati mtu humjui unaanza kumshambulia kwa kutaka ushauri ambao yeye mwenyewe nafsi yake imeshajithibitisha hajafanya.

Kenge wewe toa ushauri kama huna kaa oemben
 
Wewe nawe ni Kizibo kweli na. akili inaonekana ina ujinga mwingi
Laana gani sasa wakati mtu anatafuta ushauri kwa kusingiziwa jambo ambalo hajalifanya! Sasa ulitaka aliwasilishe vipi ili aeleweke na apate ushauri!!
Aya tuambie uyo jamaa mke na mtoto unawafaham?
kichaa wewe

mtu anamuongelea mtoto too sexually namna hiyo ni mtu ana akili salama kweli?

eti mtoto ana umbo hili,kiuno hiki,shepu hili,mara lile....mtu mzima unamuongelea your own child sexually graphic namna hii halafu wewe unaona ni sawa mpaka unaita wakosoaji "vizibo"?

molesters wakubwa nyie.....lugha ya staha kwa mtoto huna?

yaani unaongelea mtoto wako kama lidemu hivi la kutomba tu,shenzi wahedi nyie molesters
 
kichaa wewe

mtu anamuongelea mtoto too sexually namna hiyo ni mtu ana akili salama kweli?

eti mtoto ana umbo hili,kiuno hiki,shepu hili,mara lile....mtu mzima unamuongelea your own child sexually graphic namna hii halafu wewe unaona ni sawa mpaka unaita wakosoaji "vizibo"?

molesters wakubwa nyie.....lugha ya staha kwa mtoto huna?

yaani unaongelea mtoto wako kama lidemu hivi la kutomba tu,shenzi wahedi nyie molesters
Alafu wanataka tumuamini mtoa mada? yaani wanaleta past zao experience walizokutana nazo za kusingiziwa kwenye hoja ya mtoa mada bila kupima uwasilishaji wake ukoje
 
Habarini wakubwa ninawasalimia.

Mimi Nina mke na watoto 03. Huyu kwa kwanza ni mkubwa ana miaka 23 ameumuka kama kama mamaake anaumbile kubwa na amefanana na mamaake, ni mnene na anakila kitu alichomacho mamamaake.

Umetomea ugonvi baina yangu na mamaake. Kwa kimaumbile mamamaake ana maungo makubwa Sasa mtoto amerithi kila kitu.

Mke wangu anahisi natoka na mtoto wangu. Sio kweli. Msaada jamani
Kama sio kweli hakuna haja ya kujistress, usibishane nae. Vinginevyo kama mambo ya uchumi yako vibaya lazima atautumia kama mwanya wa kukupelekea moto na mpaka ukome. Ikiwezekan hama nyumba kwa muda.
 
Si useme tu uliilamba kabisa?🤣🤣🤣🤣

Mke wako ambaye ndio mama wa mtoto lazima kuna viashiria ameona
 
Habarini wakubwa ninawasalimia.

Mimi Nina mke na watoto 03. Huyu kwa kwanza ni mkubwa ana miaka 23 ameumuka kama kama mamaake anaumbile kubwa na amefanana na mamaake, ni mnene na anakila kitu alichomacho mamamaake.

Umetomea ugonvi baina yangu na mamaake. Kwa kimaumbile mamamaake ana maungo makubwa Sasa mtoto amerithi kila kitu.

Mke wangu anahisi natoka na mtoto wangu. Sio kweli. Msaada jamani
Kesi imefika Kwa mjumbe kama bado chukua tahadhari ya kupiga magote maana kifuatacho n kuhaibika hapo
 
Back
Top Bottom