Msaada wenu tafadhali kama una stress don't comment. Nahitaji ushauri

Msaada wenu tafadhali kama una stress don't comment. Nahitaji ushauri

We chizi Nini Toka umejiunga JF umeona lini mada Kama hizi ukasaidiwa kweli?
Hapo aliyepost ndo mwenye stress me namuongezea stress kwakua hajitambui
Kama mtu akiomba ushauri ni kutokujitambua basi una tatizo wewe, na je kama mtu hajitambu afaa kufahamishwa au kubezwa kwa maneno mabaya na kejeli? Asiyejitambua ni nani hapo sasa
 
Kama mtu akiomba ushauri ni kutokujitambua basi una tatizo wewe, na je kama mtu hajitambu afaa kufahamishwa au kubezwa kwa maneno mabaya na kejeli? Asiyejitambua ni nani hapo sasa
Mkuu unaweza mbali, kikubwa umetambua watu wengi tuna tatizo afya ya akili. Binafsi nimeona naongeza tatizo katika mazingira ya nyumbani kwangu. Yaani nimemuelewesha wife akanielewa.leo.anaona aibu yeye. Nikifadhaika.sana.
 
Kwa upole na hekima endelea kumsistizia mkeo kwamba hujafanya hicho kitendo. Kama kweli huna hatia hupaswi kuwa na wasiwasi.
Nimeshafanya mkuu asante, amenielewa na kwa kuwa sina tabia hizi za kishenzi, nilimhoji kuwa sina historia ya uzinzi na anajua hivyo. Na kwa kweli niwashaur wanaume wenzangu kukaa mbali na watoto wetu wa kike na WA majirani pia
 
Nimeshafanya mkuu asante, amenielewa na kwa kuwa sina tabia hizi za kishenzi, nilimhoji kuwa sina historia ya uzinzi na anajua hivyo. Na kwa kweli niwashaur wanaume wenzangu kukaa mbali na watoto wetu wa kike na WA majirani pia
Dah ila kuna vitu vinaumiza sana!hali tunayopitia ya kukosa uaminifu kwenye jamii ndio matokeo yake haya tunaishi kwa mashaka sana,imefikia hatua hata mume au kaka akibeba mtoto wako akaenda nae dukani huku nyuma tunakaa roho juu....
 
Kwa hesabu ya haraka you are above 40yrs lakin kwa hiyo kauli ya "mtoto kaumuka ana kila kitu alichonacho mamake" surely hiyo ni level nyingne.
Kwenye coments umesema kuwa umeongea na mkeo ameelewa kuwa hujafanya na nafikiri yaliisha. Sasa ndugu yangu ulikuwa unataka ushauri wa 'endelea kula kifaranga chako, au kama hujala uanze tu maana hapo ni kama unataka tick tu.
Ushauri ndio huu; kama mtoto hayupo shule mtafutie kazi afanye asiwe anakaa hapo nyumbani mda wote hadi umegundua kuwa ana kila kitu. Au mwambie aolewe atoke hapo kwenu aende kwake na kama unajiweza umpe mtaji waanze maisha na mme wake. Acha niendelee @kujikonyaginize
 
Habarini wakubwa ninawasalimia.

Mimi Nina mke na watoto 03. Huyu kwa kwanza ni mkubwa ana miaka 23 ameumuka kama kama mamaake anaumbile kubwa na amefanana na mamaake, ni mnene na anakila kitu alichomacho mamamaake.

Umetomea ugonvi baina yangu na mamaake. Kwa kimaumbile mamamaake ana maungo makubwa Sasa mtoto amerithi kila kitu.

Mke wangu anahisi natoka na mtoto wangu. Sio kweli. Msaada jamani
Kabla sijakushauri ningependa nikuulize swali Kwanza kama ujafanya hicho kitu na Binti yako Nini kimepelekea mke wako ahisi kuwa unatembea na mtoto wako?
 
story yako umeikata vipande vipande, hujaelezea ilikuwaje mpaka mke wako akaanza kuhisi hivyo. na kwanini aanze kuhisi leo na siyo huko nyuma, badala yake umejikita kumsifia mwanao alivyoumbika. kwa namna unavyojitetea ni dhahiri mkuu umelamba sukari

Kwa nilichogundua,

Mtoto amerithi umbo la mama, pia
Mtoto amerithi akili za baba
Hata Mimi Nina swali kama lako haiwezekani from no where Mke wako ahisi unatembea na mtoto Wanawake sio wajinga hii ni tuhuma nzito sana jamaa anapaswa afunge aelezee vizuri kwanini Mke wake ahisi anatembea na mtoto sema jamaa kaelezea kifupi sana bila kutupa picha halisi ikoje? Ili tujue tunamsaidiaje
 
Habarini wakubwa ninawasalimia.

Mimi Nina mke na watoto 03. Huyu kwa kwanza ni mkubwa ana miaka 23 ameumuka kama kama mamaake anaumbile kubwa na amefanana na mamaake, ni mnene na anakila kitu alichomacho mamamaake.

Umetomea ugonvi baina yangu na mamaake. Kwa kimaumbile mamamaake ana maungo makubwa Sasa mtoto amerithi kila kitu.

Mke wangu anahisi natoka na mtoto wangu. Sio kweli. Msaada jamani
Duuh,nenda nae Kwa watu wa dini yenu, ikishindikana peleka Kwa Dr waafya ya Akili!
 
Kwanza pole sana kwa yaliyokukuta.

Umesema mtoto ana tatizo la Afya ya akili.

Hujasema mtoto ana umri Gani?

Anasoma?

Ilikuaje mkaanza kumuuliza maswali ya kuhusu kufanya mapenzi bila chanzo chochote kile.

Huko chumbani kwenu wazazi inakuaje mnafanya mapenzi bila kufunga mlango?

Na wewe baba kwa nini umekuwa mshukiwa namba Moja kama hujawai kumfanyia chochote huyo mtoto?
Naona Kama jamaa anatuficha kiaina haiwezekani mke wako atoe tuhuma nzito kama hiyo from no where tu lazima kuwe na mazingira kayaona ndio maana kaongea hivyo jamaa anapaswa atuambie Nini kimepelekea mkewe kuhumtumu yeye kaongea kisimple simple tu Sasa sisi tunamsaidiaje bila kufunguka kwa kina
 
Back
Top Bottom