antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 44,804
- 120,600
Kwa hiyo cdm wakiwapa tenda wataenda kuwandishia bendera??Wale wafungwa NI wafanyakazi wa magereza....na tenda walipewa magereza.....
Mbona hushangai SUMA JKT kupewa tenda za ulinzi makao makuu ya CCM?!!!