Ni yapi hayo magwanda ya mlinzi wa rais unayoyaongelea.Hii mpya, mlinzi yule yuko pale kumlinda Raisi wa Tanzania hata kama pia ni mwenyekiti wa CCM. Anaelindwa ni Raisi na mlinzi yule anatakiwa awe kwenye magwanda yake ya mlinzi wa Raisi ambayo tunayafahamu, hizo nyingine ni mbwembwe za kishamba tu.
Chunguza utayajua.Ni yapi hayo magwanda ya mlinzi wa rais unayoyaongelea.
Kwamba wanauniform huwa wanavaa kila Siku?
Hamn aissue hapa; kama watu wote wamevaa ngu za CCM inabidi naye awe kama wao ili asitofautiane nao. Akijitofautisha anaweza kuwa target ya kukwepwa na wenye nia mbaya. Kumbuka yeye ndiye mlinzi wa rais , yule mwanajeshi ni mpambe wa rais siyo mlinzi wake.Wanajukwaa naomba kuuliza hili la walinzi wa Rais Magufuli kuvaa sare za CCM limekaaje?
View attachment 1502844
Mbona uraiani wakiwa wanamlinda raisi wanavaa magwanda , Broo huelewi chochote kuhusu katiba ya jamuhuri , ni vyema tu ungendelea na post zako za uzinzi tuLengo la Ulinzi ni nini? Utajuaje kama hayo mavazi waliyovaa iliwalazimu kufanya hivyo ili kujiweka sawa na wengine ili wao wasitambulike kirahisi waweze kufanya kazi yao kwa uhuru na umakini
Tuombe Mungu atupe uhai ili tujionee mengi.Hii awamu ya 5 vituko kibao Mara wafungwa kupandisha bendera za ccm
Kwa hiyo wewe unafikiri hizo sheria za watumishi wa Umma zinaaply kila sehemu?Mbona uraiani wakiwa wanamlinda raisi wanavaa magwanda , Broo huelewi chochote kuhusu katiba ya jamuhuri , ni vyema tu ungendelea na post zako za uzinzi tu
Laki nne per month.Hivi walinzi wa Rais kama huyo apo wanalipwa sh ngapi?
Mtu mwenyewe umeshajiita zeroIQ , kuna nn tena hutaki hata kusoma katiba ya Tanzania kuhusu utumishi wa umma, ieleweke kua mlinzi Wa raisi anatambulika kisheria .Kwa hiyo wewe unafikiri hizo sheria za watumishi wa Umma zinaaply kila sehemu?
Unadhani maundercover wanaopenyezwa mpaka kwenye Vyama vya siasa wanavaa sare mpaka kumiliki kadi za vyama ili kutafuta taarifa na kuzifikisha serikarini sio wafanyakazi wa umma?
SHERIA ZINAZOKUBANA WEWE SIYO KILA MTU ZITAMBANA HIVYO HIVYO inategemea wakati,Mazingira na umuhimu wa kitu kwa wakati husika.
KATIBA ni Muongozo na ndio maana kuna kanuni.
Wanajukwaa naomba kuuliza hili la walinzi wa Rais Magufuli kuvaa sare za CCM limekaaje?
View attachment 1502844
Mtu mwenyewe umeshajiita zeroIQ , kuna nn tena hutaki hata kusoma katiba ya Tanzania kuhusu utumishi wa umma, ieleweke kua mlinzi Wa raisi anatambulika kisheria .
Kwani mlinzi wa raisi sio mtumishi Wa umma? Nadhani jibu unaloOk. Katiba inasemeje kuhusu mlinzi wa Rais kuvaa mavazi ya Chama husika? Katiba inazuia WATUMISHI WA UMMA KUJIHUSISHA NA SIASA...!!Unalijua Hilo?
Hii awamu ya 5 vituko kibao Mara wafungwa kupandisha bendera za ccm
Acha bla bla zako kwani hao undercover hawatambuliki kama ni watumishi wa UMMA?Mtu mwenyewe umeshajiita zeroIQ , kuna nn tena hutaki hata kusoma katiba ya Tanzania kuhusu utumishi wa umma, ieleweke kua mlinzi Wa raisi anatambulika kisheria .
Bla bla zipi mkuu, mtumishi wa umma haruhusiwi kujihusisha na siasa kisheria , ndio nakwambia nenda kasome katiba ya Nchi yakoAcha bla bla zako kwani hao undercover hawatambuliki kama ni watumishi wa UMMA?
Kafie mbele.Tangu lini TissCcm wawe proffesional?
Mnakera
Siyo Double Standard(ila kwa kauli nyingine unaweza kusema hivyo),Kwahiyo sheria za nchi ni DOUBLE STANDARD?
#YNWA
Nipe tafsiri ya kujihusisha na Siasa(kama hana kadi ya chama utasemaje ni mwanasiasa? Kama hujawahi kumuona akihutubia kwenye jukwaa la siasa, kuhudhuria vikao kama mjumbe mwanasiasa utasemaje anajihusisha na siasa.)Bla bla zipi mkuu, mtumishi wa umma haruhusiwi kujihusisha na siasa kisheria , ndio nakwambia nenda kasome katiba ya Nchi yako
camouflagingWanajukwaa naomba kuuliza hili la walinzi wa Rais Magufuli kuvaa sare za CCM limekaaje?
Basically sheria haziruhusu taasis yoyote inauohusika na usalama kufangamana na chama chochote kile. Au upande wowote wa siasa.Wenzako wako ki professional, wewe unatema pumba. Hivi Rais angekuwa wa Chadema, na hao walinzi wakavaa jezi ya Chadema ungelalamika?