Chivundu
Platinum Member
- Dec 17, 2012
- 13,041
- 26,145
Mi nae issue za ndoa wapi na wapi
Mimi sifai hata mkuu🤣🤣
Ndoa ni taasisi, watu wanajengana humo humo, kila taasisi ila "organization behaviour". Utafurahia tuu, kikubwa jamaa awe mtu mwema. 😁
Mi nae issue za ndoa wapi na wapi
Mimi sifai hata mkuu🤣🤣
Maelezo ya nini watu tunawaza pesa tu🤣
Pesa mkononi mguu begani😁
Aah hapana aisee ndoa tena🤣Aah sasa pesa na ndoa, havikai nyumba moja. Pesa ni matokeo tuu katika ndoa. Mkubalie kijana, mjenge familia, pesa itakuja tuu. 😁
Jamaa gani sasa 🤣Ndoa ni taasisi, watu wanajengana humo humo, kila taasisi ila "organization behaviour". Utafurahia tuu, kikubwa jamaa awe mtu mwema. 😁
Don't take it personal,sijaoa bado natafuta😂😂😂😂.Duhh mkuu! Basi utakuwa una mke perfect ever! Yaani mpaka flat foot ina affect ndoa!!🫢 sawa bana wafupi kama stuli na wenye sura pana kama pazia tumekaa pembeni, watakao baki watatukuta😥
Aah hapana aisee ndoa tena🤣
Yakimshinda atanitafuta tumalize issue ndogondogo 😅
Jamaa gani sasa 🤣
Halafu nimeshindwa kujijua kama mimi nipo kundi gani la wenye sura nzuri shape au tabia mbaya
Heheheh
Nimekwambia nimelala wapi jana sasa hapa sielewi hata 🤣🤣🤣Sasa mbona unajihukumu, wakati hujijui!
kabsa bwashee mwanamke wa maonesho kwa ndugu na marafk hafai kuoa, ni stress.Mkuu, usioe mke ambae kila mtu anamtamani ni mtego, mimi nakumbuka sista angu alikuwa mzuri sana enzi akiwa anavunja ungo. Form three, pale home palikuwa watu wanapishana, yaani ilikuwa vurumai pale. Nakumbuka mshua aliwahi sema, kinachomponza tembo ni pembe zake.
Kweli haikupita muda, sista walimpiga mimba!
Nilikuwa nikiongozana na sista yangu sokoni, ni kero, hatufiki, kila huyu anataka msemesha, miruzi, mwingine anakuja na gari, pandeni twende!
Kwa hiyo bwashee, ukioa mwanamke mzuri sana, miruzi inakuwa kibao, sio salama sana kindoa hasa ukiwa una unga unga life! Watakupigia tuu wenye saundi kali.
Sikio la mwanamke limeumbwa kusikia vitu vizuri, akisikia vitu ambavyo wewe huna anakuwa njia panda.
Nimekwambia nimelala wapi jana sasa hapa sielewi hata 🤣🤣🤣
Nikuulize swali moja. Je, umeoa?Hapana. Ukijuja kuishi mke huwezi kupata machungu.
Ila kabla ya yote, tatizo ni moja. Vijana wanaingia kwenye ndoa kwa hisia, na sio akili.
kabsa bwashee mwanamke wa maonesho kwa ndugu na marafk hafai kuoa, ni stress.
Na kizaz chako unakua umekiharibu.
Mim huwa namwonea huruma mwanangu kulelewa tofaut, atakuwa kama mtoto wa nje
🤣🤣 sawa platinum ngoja tuoneIshu sio kulala, ishu ni kwamba, unaweza kubadirika kama ukipata "perfect match"?
🤣🤣 sawa platinum ngoja tuone
Wewe umeoaSawa, kila la kheri Platinum. 😁
Na kama ameoa ni ndoa changa au haina idadi ya watoto ambao mke wake anapenda kuzaa.Swali zuri.. Emily magnus
sina hizo sifa nimeona nitoe tangazo,mapema aache kuniwazia tofauti😆Pisi kali hutaki mazoea🤣
Na kama ameoa ni ndoa changa au haina idadi ya watoto ambao mke wake anapenda kuzaa.