Mjadala huru: Utaoa sura au tabia?

Mjadala huru: Utaoa sura au tabia?

Mim natamani nimpate bint mweny heshima/good manner

Sura ya kati tu asiwe mzuri sana, na awe maji ya kunde
Na nyashi iwe imebalance kidogo ili dog style niwe naiona dunia yote.

Wazuri sana hapana, kwakwel naushuhuda nao
 
Kama anaeleweka! Dizaini mamanzi wengi wakali wana mindset mbovu!
Mke ni mindset, awe anaweza kuambiwa kwa masikio yote matatu, akaelewa. Sasa pisi kali miruzi waga mingi, masikio yao pamoja la la chini, linapata miruzi mingi. 😁
Sasa hao hawaangalii miruzi wanaangalia maslahi! Kama unaye means unammudu basi mweke kati😃
 
Back
Top Bottom