Mfanyabiashara Ramadhan Hamis Ntunzwe, adai TRA hawajatekeleza agizo la Rais. Je, Kamishna Mkuu TRA afukuzwe kazi na Yono ifilisiwe mali zake?

Huyu bwana Ramadhani ndio Yule mfanyabiashara ambae rais aliagiza alipwe na kwa maelezo haya inaonekana hajalipwa mpaka Leo.
Hapa sasa ndio hawa TRA wanaonyesha wananguvu kuliko rais kwamba maagizo ya rais kwao sichochote.
Kuna Kitu wanamtafuta Magufuli atakapoanza kula nao Sahani Moja Tutaona wanatia huruma kwa wananchi tuwatetee.
TRA mmeshamsababishia baba wa Watu kifo cha Dada yake, mkewe kaugua kichaa kwasababu yenu, hamuwezi rudisha uhai wa ndugu Zake basi mlipeni fedha anazodai walau apunhuze machungu nalo hamtaki? Kuweni basi hata na utu

Sent using Jamii Forums mobile app

Jamaa hua hawana huruma


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
KAMISHNA MKUU hafai kuwa kiongozi mkuu wa trakwani analinda wenzake wezi huku snajua ni ishu siriasi na raisi anajua
 
KAMISHNA MKUU hafai kuwa kiongozi mkuu wa trakwani analinda wenzake wezi huku snajua ni ishu siriasi na raisi anajua

Wanaviburi sana nachofahamu kwa usumbufu anaopitia Ramadhan naamini kwa mwingine angeshahama nchi mapema sana na kufanyia shughuli zake huko nchi nyingine


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Watoza ushuru hata kwenye bible wameandikwa wamejaa laana.
Huu mfumo wa zulma uliasisiwa na CCM kwa hiyo TRA, POLISI TZ, MAGEREZA ,Na taasisi chungu mzima zimepewa nguvu na hii awamu ya tano ya muheshimiwa

Ili tuondokane na haya mateso ni lazima tung'oe CCM na tuitokomezee mbali na makazi ya Watanzania.
 
Ndio yeye yule wa mtaa wa congo na kariakoo ambae walimuomba rushwa akakataa


Sent from my iPhone using JamiiForums
nilivyosoma nilimuonea huruma anadai alishalipa kila kitu na risiti alikuwa nazo lakini wao hawakumsikiliza
 


Anajua sana kujieleza lakin nimeamiani,watendaj wengi sana wanaishi kwa uonevu,haki haipo.

Kwanini serikali imenyamaza kutatua tatizo lake?
Wakat ushahid wote upo?
Ningekuwa rais hakika hawa wote waliomfanyia hivi huyu jamaa wote jera kwanza...
 
Huyu bwana Ramadhani ndio Yule mfanyabiashara ambae rais aliagiza alipwe na kwa maelezo haya inaonekana hajalipwa mpaka Leo.
Hapa sasa ndio hawa TRA wanaonyesha wananguvu kuliko rais kwamba maagizo ya rais kwao sichochote.
Kuna Kitu wanamtafuta Magufuli atakapoanza kula nao Sahani Moja Tutaona wanatia huruma kwa wananchi tuwatetee.
TRA mmeshamsababishia baba wa Watu kifo cha Dada yake, mkewe kaugua kichaa kwasababu yenu, hamuwezi rudisha uhai wa ndugu Zake basi mlipeni fedha anazodai walau apunhuze machungu nalo hamtaki? Kuweni basi hata na utu

Sent using Jamii Forums mobile app
uwiii! Lazima mke apate kichaa jaman, kuna watu wanapenda kuwaharibia watu maisha, wamemfanyia dhuluma baba wa watu
 
Huyu bwana Ramadhani ndio Yule mfanyabiashara ambae rais aliagiza alipwe na kwa maelezo haya inaonekana hajalipwa mpaka Leo.
Hapa sasa ndio hawa TRA wanaonyesha wananguvu kuliko rais kwamba maagizo ya rais kwao sichochote.
Kuna Kitu wanamtafuta Magufuli atakapoanza kula nao Sahani Moja Tutaona wanatia huruma kwa wananchi tuwatetee.
TRA mmeshamsababishia baba wa Watu kifo cha Dada yake, mkewe kaugua kichaa kwasababu yenu, hamuwezi rudisha uhai wa ndugu Zake basi mlipeni fedha anazodai walau apunhuze machungu nalo hamtaki? Kuweni basi hata na utu

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanasemaga kamata mkubwa wao. Rais apige tu lile baba lao huku chini watajipanga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu
Huyu jamaa Ramadhani Ntunzwe ananyanyasika katika nchi yake, ni Mlipa kodi na kodi anazolipa ndio hao maafisa wa TRA Hulipwa huu uonezi wanafanyiwa watu wengi hii haikubaliki kabisa mtu mmemsababishia hasara bado mnataka kuendelea kumletea madhara hii haikubaliki hata kidogo mwisho wa siku nadhani ni afadhali mkatafutana juu kwa juu maana mkifuatwa ofisini mnajawa viburi sana sijui kwa nini.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Punguza jazba,amefanya nini huyo bosi wako
 
rais wetu mpendwa ameonyesha dhairi vile ambavyo anataka uchapakazi, weredi, uadilifu na uaminifu kwa watendaji wake.

ntunzwe ameonyesha uungwana na uzalendo wa hali ya juu, kwa masaibu aliyopitia ni sawabu kwa yeyote atayekaye hakikisha hili jambo lina mwisho mzuri.

ni imani yangu rais hatokubali agizo lake lidharauliwe kwa kiwango hiki, nina uhakika waziri mkuu hatokubali kudharirishwa kiasi hiki na watendaji wake


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa Jamaa wapuuzi sana.... Ndio maana kazi ya TRA naiona kama kazi ya laana.

Sent using Jamii Forums mobile app
mamlaka ya mapato ipo kwaajili ya kunyonya wafanya biashara,Yani hata wakikupa makadirio hawakushirikishi na hata ukiwauliza mbona wamekupa makadirio makubwa yani hawakuskilizi wala hawakuangalii wanakuona kama takataka,
Leseni yangu ilikua ya R/shop lkn wakanipa makadirio makubwa utadhani ni hard ware,yani duka limejaa jick tu na dawa za miswaki alafu nilipe mapesa yote hayo,,nikauza duka pamoja na mlango wake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom