Huyu bwana Ramadhani ndio Yule mfanyabiashara ambae rais aliagiza alipwe na kwa maelezo haya inaonekana hajalipwa mpaka Leo.
Hapa sasa ndio hawa TRA wanaonyesha wananguvu kuliko rais kwamba maagizo ya rais kwao sichochote.
Kuna Kitu wanamtafuta Magufuli atakapoanza kula nao Sahani Moja Tutaona wanatia huruma kwa wananchi tuwatetee.
TRA mmeshamsababishia baba wa Watu kifo cha Dada yake, mkewe kaugua kichaa kwasababu yenu, hamuwezi rudisha uhai wa ndugu Zake basi mlipeni fedha anazodai walau apunhuze machungu nalo hamtaki? Kuweni basi hata na utu
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa hua hawana huruma
Sent from my iPhone using JamiiForums