Imany John
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 2,930
- 1,165
Hajalipwa mpaka leo,analalamika sana jaman,ila kuna watu watafutwa kazi kwa jambo lake likifwatiliwa vzr.
Mkuu nilitaka kukupita hivihivi kwasababu ya avatar Picha yako mpya. Iyo ova ikanishtua
Wanaishi kwaa dhuluma sanaHawa Jamaa wapuuzi sana.... Ndio maana kazi ya TRA naiona kama kazi ya laana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu
Unatakiwa kua mpole tu solve nao hili tatizo
Pia tumia wataalamu wa hesabu
TRA wafanyakazi wanasomeka at some point
Usipaniki mpaka unakuja kuwaweka huku
Watakuumiza sana
Ukisema unapambana na mmoja sijui umchome,wao TRA wote wana stand na mtu wao,u will never win!
Tulia,check hesabu zako vizuri,chukua mtaalamu,chekecha hizo namba upate haki bin haki,then una solve na muhusika
Kitu unawavutia kidogo mambo yanakaa sawa
Leo unaweza bwata namna hii labda ukafanikiwa,ila next year watakuua
Hua wana mark majina na sura,sasa usijitie kama ume-win leo ukaona namna gani
Wale was3ng3 watakutafuta next year au two years from now wakakutoa ngozi
Karma itafanya kaziHABARI YA KUSIKITISHA SANA TENA SANA, KATIKA MAISHA YANGU SIJAFIKIRIA KAMA KUNA WATU WANA ROHO MBAYA NA NGUMU KIASI HICHI KUWAFANYIA BINAADAMU WENZAO, HABARI YA HUYU MZEE RAMADHAN INASIKITISHA SANA, KAMA MAMBO YAPO HIVI, BASI TUSAHAU KABISA KAMA KUNA KITU KINACHOITWA MAENDELEO KWA AJILI YA NCHI YETU.
Hii
Hii case ya bwana Ramadhani hamisi Imeniuma maana na mim ni mojawapo wa mhanga ukiwa unatenda haki na kufika wakati kudai system ya mfumo utasumbuka saaana
Nampa Pole Ramadhani mimi nilidai mpaka nikamwachia Mungu
Hawa Jamaa wapuuzi sana.... Ndio maana kazi ya TRA naiona kama kazi ya laana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama hawatimiza amri ya Majaliwa na kumdharau Amri jeshi mkuu hapa wakulaumiwa ni Makonda na IGP Siro.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ramadhan ni yule waliochukua mzigo wake kama nilisoma habar yake kweny gazet?