Mfanyabiashara Ramadhan Hamis Ntunzwe, adai TRA hawajatekeleza agizo la Rais. Je, Kamishna Mkuu TRA afukuzwe kazi na Yono ifilisiwe mali zake?

TRA walimfirisi na wakamuibia, Dada yake alifariki kwa mshtuko baada ya tukio hilo, na mke wake huyu jamaa alipata kichaa baada ya tukio hilo, ukienda kumuona Muhimbili anachoongea ni ''TRA wametuibia, TRA wametufirisi'' kaehuka kichwa kime stack. Maana pesa walizo dhulumiwa ni karibu Mil 980.. karibu Billion 1. Watoto waliokuwa wakisoma shule walisimama kwa kukosa ada. Dhambi hii haita waacha salama. Hiyo yote kisa jamaa alikataa kuwapa TRA rushwa ya Mil 2
Ubishi tu, angewapa hiyo million mbili angeokoa billion yake.
 
Kuna mchezo anachezewa,viongozi wa juu wa nchi hawaujuwi

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Hawaujui?kivipi wkt jamaa ameshaelezea kila kitu anachofanyiwa na video zake zina muda wa kutosha tu hewani hao viongozi hawajaziona tu?

Au maana yake ni Kwamba rais anasema mtu huyu alipwe then hua hafuatilii kama agizo lake lilitekelezwa sio?
 
Huyu jamaa ni wa kitambo na sijui mambo yake yanaendeleaje.

Jamaa anadai karibu bilioni moja sasa kwa awamu hii ni nani aingie hazina achote bilioni moja ampe?...yaani ni bora ibaki hivyo kwamba maagizo ya Wakubwa hayajatekelezwa kuliko hiyo pesa itoke.
Na wanasemaga wao ni watetezi wa wanaoonewa sio?
 
Kuna unyama kwa wafanyabiashara nchi nzima
Hapa Ars kuna Kampuni kama mbili za maua wawekezaji wamekimbia kodi za kubambikwa!!
Wafanya kazi zaidi ya 600 wamerudi mtaani hawana kazi, biashara zimekufa, wamezalisha vibaka saSa mjini!!
Utawala wa mabavu kazi kudhulumu watu eti kodi na uhujumu uchumi!!
 
Na wanasemaga wao ni watetezi wa wanaoonewa sio?
Hakuna mtetezi wa wanyonge kutoka CCM hayo ni mambo ya majukwaani, mioyoni mwao ni ma-iblis wakubwa...oooh mtetezi wa wanyonge blah blah tu na upuuzi mwingi sijui tuimeibiwa wakati waliofanya nchi kuibiwa unawajua unashindwa kuwachukulia hatua ..CCM hakuna sharifu hata mmoja wote muumiani tu....Mungu anasema tusichukiane lakini CCM nisiwe mnafiq huwa siwapendi sana..miaka 59 wanashindwa kutatua kero ya maji kweli?
 
Hakuna mtetezi wa wanyonge kutoka CCM hayo ni mambo ya majukwaani, mioyoni mwao ni ma-iblis wakubwa...oooh mtetezi wa wanyonge blah blah tu na upuuzi mwingi sijui tuimeibiwa wakati waliofanya nchi kuibiwa unawajua unashindwa kuwachukulia hatua ..CCM hakuna sharifu hata mmoja wote muumiani tu....Mungu anasema tusichukiane lakini CCM nisiwe mnafiq huwa siwapendi sana..miaka 59 wanashindwa kutatua kero ya maji kweli?
mtetezi wa wanyonge katu asomeshi namba watu wake wala kujipendelea kwao
 
You are running out of ideas

since cdm mmeanza kuflood na posts hakuna cha maaana mnachoongea hatujui ata nchi mnaenda kufanya nn, yaan hata ACT wanawashinda, wenzenu wanapokelewa na maelfu ya watu nyie mnapungia miti, mnamtishia nan sasa na mikawara yenu, imefika sehem sasa forum inaboa kila sehem cdm na hakuna cha maana cha kusoma!

watu wamondoka mmebaki mnapeana moyo kila thread mean while viongozi wenu wanapokea kipigo kutoka kwa wananchi
 
Rais wangu ingilia kati hapa tena kwa mara ya pili. Huyu mfanyabiashara pamoja na utajiri wake sasa amekua mnyonge.
 
Hivi hawa usalama wa taifa kazi zao ni nini? Kwanini wanaruhusu uchafu kama huu kufanyika katika chombo muhimu kama TRA?

Huyu mzee apewe ulinzi. TRA is a MOB within the government. Kuna cases nyingi sana za wao kunyang'anya watu mali zao
 
Je Rais Unahalalisha Hujuma za TRA au Imekushinda? Maana huyu ni mtu mmoja jasiri, je wengne wanaopigwa chinichini ni wangapi?

Hii chombo cha umma (TRA) imelalamikiwa sana kuua biashara kwa kushiriki matendo mengi sana ya kihuni; hasa kubambikia watu kodi zisizokuwepo. Wafanyabiashara au wawekezaji wa ndani na wa nje wamelia kila mara na hizi ujumbe Rais na viongozi waandamizi wamezipokea lakini ni kama vile hawsikii. Biashara nyingi zimefungwa na serikali imkosa mapato

Ambacho hakiingii akilini ni swala la Rais/Uongozi kutoa maagizo ya TRA kumlipa mfanyabiashara kwa uharibifu lakini taasisi inagoma, matokeo yake wanambambikia kesi ambayo haikuwepo. Hii inadhiirisha kwamba, either Rais ameshindwa au anahalalisha uhuni wa TRA

Hivi hawa TISS wanayaona haya mambo yanayoichafua nchi?

 
Hii case ya bwana Ramadhani hamisi Imeniuma maana na mim ni mojawapo wa mhanga ukiwa unatenda haki na kufika wakati kudai system ya mfumo utasumbuka sana

Nampa Pole Ramadhani mimi nilidai mpaka nikamwachia Mungu
Kesi iliyofika kwa Rais, Waziri Mkuu, Mambo Sasa, Paul Makonda ma bado watu wakadnda kulipa fidia yake. Inamaana nchi hii kuna watu wemhine wababe kuliko Rais Mh John Pombe Magufuli??
 
Hivi hawa usalama wa taifa kazi zao ni nini? Kwanini wanaruhusu uchafu kama huu kufanyika katika chombo muhimu kama TRA?

Huyu mzee apewe ulinzi. TRA is a MOB within the government. Kuna cases nyingi sana za wao kunyang'anya watu mali zao
Watu wengi wanalipa kodi za kubambikiza lakini zinaensa mifukoni mwa maafisa TRA
 
Mi nmejifunza kwamba hata agizo la Mh. Rais kuna seem linadunda.
Agizo la Waziri Mkuu ndo kabisaaa.
Iyo ndo Tz
Shkamoo TRA
 
Na uchaguzi mlangoni, hawa TRA inabidi waanze kuondoa samani zao maofisini. Kayombo, Mhende et al....anzeni kufunga virago. Huu ni mwaka wa uchaguzi.

Poleni sana
 
Back
Top Bottom