Mjasiria Akili
JF-Expert Member
- Sep 24, 2012
- 823
- 372
Mkuu edit habari yako kama unajifunza kuandika!!!
Hata katanga nae kasepa mkuu
Mkuu edit habari yako kama unajifunza kuandika!!!
Hiyo picha ya Kitenge kama isingekuwa na maelezo mimi ningejuwa anasaini fomu za kuichezea Yanga.
Hata huko BBC sijaona ulimbukeni huu wa kusaini mkataba wa kazi mbele ya media, haya mambo yanawahusu wacheza mpira tu ili kudraw attention ya mashabiki.
Hivi hiyo redio frequence zake ni ngapi maana nasikia makele yake tu sijawahiwhata kuisikiliza.
Hata katanga nae kasepa mkuu
Mtu unaoa wake wanne halafu unategemea ulipwe sh ngapi ikutoshe?
Kitenge huwa anahongwa hajui kuhudumia mwanamke kwa kumpa fedha. na hao wake zake wana mkwanja mnene sana. Yuko kijasiriamali zaidi kwa watoto wa kike
Ndiye huyo huyo mkuu. unafiki wake ni nini hasa? kama kuna mifano tafadhali.Pale Radio One/ITV hakuna mtu mnafiki kama Deo Rweyunga...nafikiri ndio huyo unayemtaja kama m'bichwa
Wenzake walitangaza kwa hali ngumu iliyokuwepo na wakafanikiwa now wako bbc, voa, na kungineko,, kikeke, chaz hilari, nk. Yeye alioa wake kadhaa, angetoka kweli utaendaje ulaya na wake wote hao?
Inawezekana sababu ikawa ni njaa aiseee....nasikia moja wapo ya makampuni yanayolipa kiwango kidogo cha mishahara ni ITV. nakumbuka yule dada mmoja aliyekufa hapo ITV hakuwa na mkataba
Nyinyi ndo mnaishi dunia ya kukariri! kuna sheria ya
uwekaji wa tarehe? ndo maana bongo hakuna maendeleo
nyinyi ndo mmekariri barua za darasa la tano?
hihuhihuhu tarehe hata zikiwekwa mata.koni si inshu
inshu je zitaonekana na msomaji? wengine huweka chini
ya saini kabisa! msiwe limited kishamba jaribuni na
kugoogle
Unasema kweli mkuu?Hata katanga nae kasepa mkuu
Mkuu hiyo ni inchi gani?Kwa taarifa nilizopata kwa kupitia masafa ya Ungo ni kwamba.
Maulidi Baraka wa Kitenge anafanya kama ya Juma Nkamia.
Yaani alitoka utanganzaji akasepa ungune leo Waziri.
Sasa Maulidi Kitenge anatarajia kugombea Ubunge,sasa ameamua kutoka mapema ili ajipange.
Atakuwa mgombea wa chama cha wakulima TPP
Hiyo picha ya Kitenge kama isingekuwa na maelezo mimi ningejuwa anasaini fomu za kuichezea Yanga.
Hata huko BBC sijaona ulimbukeni huu wa kusaini mkataba wa kazi mbele ya media, haya mambo yanawahusu wacheza mpira tu ili kudraw attention ya mashabiki.
Hivi hiyo redio frequence zake ni ngapi maana nasikia makele yake tu sijawahiwhata kuisikiliza.
Pengo kubwa kabisa...anaenda wapi huyu jamani isije ikawa clouds atapotea mbaya kama regina mziwanda.
Wabongo bwana nani kakwambia ameondoka sababu ya kulipwa kidogo lakini mbona kilakitu ameweka wazi katika barua yake , lazima muwe waelewa na sio kupamba mambo amewaambia anakwenda kufanya kazi zake binafsi!!
Mkuu edit habari yako kama unajifunza kuandika!!!
Nikiangalia huyu mtangazaji anavyo andika naishia kucheka tuu!
Kuna mambo najiuliza kwanini ameamua kutangaza ameondoka? kulikuwa kuna ulazima wa kusema hayo yote?
Ni wazi MTU akisoma alivyo andika atajua fika huyu mtu analengo Fulani na anataka watu wamuone mwajiri wake mbaya au kumuaribia biashara.
Pamoja na umahiri wa kitenge kwenye utangazaji wa habari za michezo kwa sisi wasikilizaji wa radio one na watazamaji wa ITV bado kumebaki watangazaji wazuri kama Amri masali,Katanga hi yo sikweli patapwaya!
Hivi kumbe busara aliyonayo Millard Ayo imewashinda wengi kiasi hiki? Hivi ukiondoka kimya kama ulivyo ajiriwa kimya kuna kosa? IPP media naona ndio kiwanda cha kuzalisha watangazaji Tanzania na ni ngumu kuwalipa kila mtu kulingana na matakwa yake!
Hivi kuondoka kwa matangazo ni busara?hadi Leo pamoja na Allan laki,Adrian stepp kuondoka kwa kuutangazia umma sikuwai kuona mapengo yao mpaka Leo, kuondoka kwa matangazo mengi kunachukuliwa kama njia ya kutaka kuharibu.
Ngoja twende kwenye kiingereza unachokitaka. Kwa kizungu angetumia neno 'terminate' siyo 'resign'. Elewa kwamba kwenye utumishi kuna cheo cha 'muundo' na cheo cha 'madaraka'.Na wewe tulia sasa upewe darasa, hakuna tafsiri ya kingereza kuja kwenye kiswahili yenye maneno kuacha kazi.
Kwa kingereza sahihi na kupata tafsiri sahihi ya kiswahili basi madeiwaka watumie neno Terminate = kusitisha pale wanapoandika barua za kuacha kazi.
Kumbe katimkia E FM dooh homa ya jiji ila kusema ukweli hizi radio zinazoishia magomeni zinaua fame zao ambazo nazo kwa kiasi zingewasaidia au zina wasaidia katika kuongeza kipato.
Naamini jamaa atakuwa "hajanyea kambi".
umeandika kiswahili ama kihaya?