Mkuu abdalah majura anakituo cha radio? Kinaitwaje? Maana kuna ck nlikutana nae kwenye mizinguko ya mjin, yupo kawaida sana tena kwa miguu!
Nifahamishe hicho kituo cha radio plz
Mkuu So Notorious, asante kwa kumtambulisha Kitenge kama mate wangu TSJ, kiukweli sio mate wangu TSJ bali colleague kwenye fani!. Mimi ni wa TSJ ile ya Tanzania School of Journalism sasa (IJMC) na Kitenge ni wa TSJ hii ya sasa ya Time School of Journalism. Mimi na Maulid tuna gap ya kama miaka 10!, ila tunachofana ni idadi ya wake na tofouti ya watoto, yeye watoto ni wawili, mimi 7!.uandishi wake wa barua hauna tofauti na Pasco mate wake wa TSJ, hiko chuo walishindwa hata kumualika Asha Mtwangi awafundishe kuandika barua wanafunzi wake.
Pitapita zangu sehemu nimeinasa hii....
Anayekimbia bila taarifa ndio sio muungwana lkn huyo kaacha kazi na barua kaandiks mshahara karudisha na shukrani ametoa kwa mwajili wake.unataka awe mstaarabu wa aina ipi tena
Nimependa uandikaji wa barua, tarehe inawekwa kwenye anuani ya anayepewa barua!!!!!!
Akili za kijinga hizi ulitaka kila kona umuone na gari? anamiliki radio station Dodoma.
Hio Message yake amekosea ama ?
Sababu anasema baada ya kutumika kwa miaka 14... hii inatoa maana nyingine kabisa ukilinganisha na kutumikia
Hapo kwenye red color nami pamenipa ukakasi kidogo. Naomba labda wajuzi wa lugh watuwekee sawa maana yake kimantiki.
Kuajiriwa siku zote ni KUTUMIKA, believe it or not, TULIOAJIRIWA WOTE TUNATUMIKA! Tena tunatumika kisawa sawa! Asiyetumika ni yule tu ALIYEJIARIRI! Nampa HONGERA kama amejikomboa na kuamua 'kutotumika' hivyo amejijengea misingi ya kujiajiri! Lakini kama anaenda kuajiriwa kwingine na bado anasema ametumika IPP basi ataendelea kutumika kama alivyotumika mwanzo (akiwa IPP), there will be no any difference!kutumika?
kutumikia?
Watangazaji wana umuhimu gani si kila mtu anaweza kuwa mtangazaji? Ukiona kada ambayo kila mtu anaweza akaifanya tu vizuri awe amesoma ama hajasoma jua kazi hiyo siyo ya mhimu mfano polisi, watangazaji si watu mhimu kihivo maana leo hii hata wewe unaweza ukawa mtangazaji hata kama si kwa viwango vya kiutangazaji ila ukitangaza watu watakusikia tu
Usiombe kufanya kazi katika makampuni mya IPP, mshahara uchukua miezi miwili ndio mnapata, kwa hiyo jamaa kaona mbali sana sana.
Swahiba na wewe upo chama cha waajili? hivi mkifukuzaga watu huwa mnawapa muda wa kupata replacement job?
Mimi enzi za utumwa wa kuajiliwa niliacha kazi effectively same day kutokana na personal reason ila kwa kuwa muajili tuna historia naye fulani aliniita ofisini kwake akaniuliza tatizo hasa ni nini nilimweleza mimi na mtoto wake wa kiume ambae alikuwa acting General Manager hatuelewani kabisa na nilitaka kumpa kichapo ila nilitunza heshima ya chairman wa group of companies.
Basi yule Chairman akamuuru niandikiwe certificante of service nzuri na nilipwe haki zote anazolipwa mtu aliyeachishwa kazi.
mimi sipo chama cha waajiri ila napinga kumuita muungwana mtu anaeacha kazi ndani ya 24hrs. kwa maslahi binafsi sawa, unasepa tu hata kimya kimya ila wote tunajua kama kitendo hicho si cha kiuungwana.
Inaonekana IPP inawalipa kidogo sana wafanyakazi wake.
Pia wengi wanamlalamikia mtu mmoja wanayemwita kwa jina la utani la 'm'bichwa' kuwa hawatendei haki.
Kwenye kumwagana hakuna uungwana labda iwe unaenda kusoma ndio utatoa taarifa hata miezi mitatu kabla.
Waswahili tuna roho mbaya unaweza kutoa taarifa mapema kwa nia njema kumbe wenzio wakatumia muda huo kukumaliza.