Maulidi Kitenge aacha kazi ITV/Radio one

Maulidi Kitenge aacha kazi ITV/Radio one

ntamkumbuka akimchokoa WAMBURA...na makocha wengine....?

akisomea SHERIA atakuwa mchokonoaji mzuri zaidi...huenda kapata shavu mahali
 
Ntamiss kwakweli.... Kitenge na Katanga... Na jezi number 9 mgongoni. Maswali yake akifanyia -interview kwene kipindi chao cha michezo yananiacha hoi... Katanga atabaki na nani sijui..
 
Bila shaka yatakuwa ni maandalizi ya ile ndoto yake ya kuingia mjengoni.
 
Au itv inalipa ujira wa kurusha yale mambo,hawakawii kuibomoa kama cdm na kina mchange
 
Aina kwele ngoja akanyoe viduku huko aendako.
 
Kitenge said:
Kwa kuwa nimefanya kazi kwa nusu mwezi kwa mwezi huu wa Agosti, ninarejesha pia fedha sehemu ya mshahara wangu kwa mujibu wa sheria ya kazi
Huo mshahara wa IPP/ITV ni prepaid hadi aseme kuwa anarejesha? I mean, wanalipwa kwanza kabla ya kufanya kazi? Na kama ni kwa ajili ya notisi ya masaa 24, kwa nini aseme 'sehemu ya mshahara', kwa nini isiwe mshahara wote wa mwezi? Inawezekana huyu jamaa hajui anachokifanya?
 
Kama anasema alitumika kwa miaka 14 huko ITV je kama anakwenda Azam TV hatatumika? Je haiwezekani kuwa kibarua kimeota nyasi huko ITV?
 
Huo mshahara wa IPP/ITV ni prepaid hadi aseme kuwa anarejesha? I mean, wanalipwa kwanza kabla ya kufanya kazi? Na kama ni kwa ajili ya notisi ya masaa 24, kwa nini aseme 'sehemu ya mshahara', kwa nini isiwe mshahara wote wa mwezi? Inawezekana huyu jamaa hajui anachokifanya?

Unapoacha kazi bila kutoa notice, unapaswa kulipa mwezi mmoja mbele. Na kwakua amefanya kazi kwa nusu mwezi, ndiomana amwahinisha wazi kwamba atalipa nusu ya mshahara wake kwakua tayari amwtumikia nusu mwezi
 
Back
Top Bottom