Maulidi Kitenge aacha kazi ITV/Radio one

Maulidi Kitenge aacha kazi ITV/Radio one

Kaacha kazi siyo kujiuzulu kwani aliajiliwa na Umma?huko ni kuacha kazi wala haina haja ya sisi kujua.

quote_icon.png
By Polisi
Hakuna ujuaji hapa. Fact ni kwamba heading si sahihi. Kuna nafasi ya kuajiriwa (ajira)na nafasi ya kuteuliwa. Watu huwa wajiuzulu kwenye nafasi za kuteuliwa. Kumbuka kitenge alikuwa kwenye chombo cha mawasiliano ambacho kinasaidia kukuza kiswahili, sasa kama mkuza kiswahili hajui je mtu wa kawaida kutoka Iselamagazi itakuwaje? Tukimwita ni kanjanja tutakosea?

Resign.jpg
Resign-Kujiuzulu
 
no big deal, people always change work places for greener pastures!!!

Absolutely right. LAKINI, kaondokaje? Kwa kunyea kambi, this is not proper- kutumika connotes what? What impression does one get from that word anyway!
 
I can guess ni elimu ndogo (sijui ana elimu ya kiwango gani, but can guess kwa hicho alichokifanya). As long as you are employed, you are under impoverishment. What matters is the degree of impoverishment- relative or absolute impoverishment. Ndio maana nasema elimu yake ya ku-intergrate na ku-differentiate mambo ni questionable!
Asante kwa kufafanua vizuri! Watu huwa wanajua 'kutumika' ni kufanya kazi na kulipwa masilahi kidogo wakati ukiwauliza masilahi/mshahara kidogo ni kiasi gani na ule mshahara mkubwa ni kiasi gani bado hawatakupa jibu sahihi! Siku mtu yeyote atakapogundua mshahara/masilahi makubwa anayostahili ni kiasi gani mara moja atagundua ya kuwa 'ANATUMIKA' na atakachofanya ni kutengenezea mipango ili baadaye 'AJITUMIKIE!'
 
Ngoja twende kwenye kiingereza unachokitaka. Kwa kizungu angetumia neno 'terminate' siyo 'resign'. Elewa kwamba kwenye utumishi kuna cheo cha 'muundo' na cheo cha 'madaraka'.
Yani mimi ndio niliyekupa tafsiri ya maneno halafu unaleta ujuwaji tena? au wewe ni mwimba Bongo fleva mmezoea kucopy kazi za wenzenu?
 
Yeye kasema na wewe ukasisitiza kwamba Kitenge anatoka IPP ili afanye kazi zake binafsi, sasa mimi nauliza pale E Fm ndio kazi zake binafsi? au yeye ndio mmiliki wa redio.
ehee kumbe wewe unajua mpaka alipo bc tusibishane labda lady jd kamuakikishia maslai bora zaidi
 
Kaona mbali! Mtu kakaa miaka 14 unasema kaona mbali? You must be kidding bro!
 
Mkuu Kama wanalipa mishahara mikubwa mbona watu wanahamahama sana?? By the way unajua mishahara ya AZAM media???

Nitaijua nikifuatilia, lakini ukubwa wa mshahara haulinganishwi na anaopokea jirani yako ila ni ule unaozingatia hali harisi ya maisha, kwa hii kauli huenda hamna sehemu duniani mshahara umepata kuwa mkubwa
 
Wee kweli zuzu , unasema kitu usichokijua , hiv unajua wafanyakazi wa ipp wengi ni vibarua hawana mikataba, unajua milad alikuwa analipwa tsh? Poor you

Kama ww ndiye Milad punguza jazba kidogo, niambie mdogo wangu ulikuwa unalipwa sh. ngapi?
 
Mshahara wa kampun kama IPP hautakiwi kuwa sawa na mtendaj wa kata.
IPP inaingiza faida tena kubwa hivyo maslah ni vyema yawe mazuri.. Tofauti na mtendaj kata ambye kimsingi anafanya kaz ya kutoa huduma ambyo ndyo lengo la msingi la utumishi wa umma.....

na ndyo mana mashirika ya umma yanayojitegemea wana maslahi mazuri kulinganisha na taasisi za kawaida za serikali ikiwemo serikali za mitaa.. Mfn. MHASIBU wa TANESCO mshahara wake ni mkubwa kuliko mhasibu wa halmshauri ya wilaya.. Kwa sabababu TANESCO inatengeneza faida...

Hivyo ht mshahara wa mtangazaji wa ITV ulitakiwa huendane na faida inayopata IPP.. mbona hatusikii wafanyakaz wa makamun mengine ya habari kama CLOUDS au azam wakilalamika salary ndogo...

bila.shaka IPP kutakuwa na tatzo

Ni kweli mkuu uliyo sema pale IPP kuna tatizo sio dogo ndiyo maana nikasema vyomba vya habari vya kwetu vina muogopa baba wawil havisemi ukweli kuhusu hiyo ipp
Mfano jamaa anakampuni inayoitwa Tanzanite Africa watu wanafanya kazi kama kibarua halufu analipwa tsh 2500 kwa siku halafu sijawahi sikia hata siku moja media zikiongelea hili swala
 
Kuna mfanyakazi dada mmoja alikuwa mtangazaji mashuhuri ITV alikufa . Moja wapo ya sad stories about her ni kuwa alikuwa hana mkataba pamoja na kufanya kazi muda mrefu pale!

Is it Rehema Mwakangale?
 
Exactly, Rehema Mwakangale. It was said that she had no contract! Whether this is true or not no body can tell, but that is the story anyway
Kuhusu mikataba sekta binafsi kibao wafanyakazi hawana mikataba, kuna kampuni flani mtu anapewa kazi bosi kasimama mlangoni anamwambia muhasibu, huyu bwana nimemuajiri mshahara wake kiasi flani basi unaelekezwa sehemu yako ya kazi imetoka hiyo, kuna watu wapo 20yrs hawana mkataba wala nini, na kufukuzwa unafukuzwa hata na mototo wa bosi na kazi inaisha kweli. Tanzania bado kuna matatizo mengi kwenye baadhi ya sekta za ajira.
 
Acha kukariri wewe,ulivosoma Jana usidhani ndivo atasoma mdogo wako kesho.hivi wajua kuwa siku hizi hata no ya simu inatakiwa kuandikwa kwenye barua ya ofisi?nikiuliza wengi humu watakuwa hawajui inaandikwa upande gani hivo usikomalie vitu kwa kukariri soma...

Wewe ndio wale wale, kwanza jua kukariri ni moja wapo ya njia ya kuelewa, kuna vitu havibadiliki hata aliyesoma miaka 100 itabakia hivyo hivyo, barua ya kikazi lazima anuwani yako iwe upande wa kulia juu na hapo kwenye anuwani yako ndio utaongezea email na namba za simu zako. Sasa hapo unapotetea saini kuwa chini ya jina, mtu mwingine anaweza akaja kuandika jina lake chini yake, saini itakuwa siyo yake tena.

Jaribu kutofautisha kukariri na kufuata utaratibu
 
Kuhusu mikataba sekta binafsi kibao wafanyakazi hawana mikataba, kuna kampuni flani mtu anapewa kazi bosi kasimama mlangoni anamwambia muhasibu, huyu bwana nimemuajiri mshahara wake kiasi flani basi unaelekezwa sehemu yako ya kazi imetoka hiyo, kuna watu wapo 20yrs hawana mkataba wala nini, na kufukuzwa unafukuzwa hata na mototo wa bosi na kazi inaisha kweli. Tanzania bado kuna matatizo mengi kwenye baadhi ya sekta za ajira.

sawakuna tatizo
ila kwa mtu Kampuni km IPP wanapaswa wawe mfano wa kuigwa ktk mambo km hayo ya kuajiri
Maana mmliki wake kutwa kucha kuto misaada nakuonyesha yeye ndo katibu wa haki za binadamu TANZANIA
Alipaswa awe mstari wa mbele kuajiri ,kipandisha vyeo nk
Ila mambo km haya yanafanya tuanze kumuangalia kwa jicho la tatu
 
Anawaharibia hata watoto wake maana kwa mtindo huo hata watoto wake hawawezi pokelewa ITV! Dunia iko hivyo mtu anaweza akakupa kazi kwa vile amefanya kazi vizuri na baba/mama/kaka/dada yako etc

Very True Mdau ....Mbwembwe za nini ? badala ya kutoa zile sababu za kidhungu ( I'm looking for a new challenge ) yeye anatangaza Njaa lol ! Ajira zenyenye za Bongo ni Last Name yako au kujuana nina Mtoto wangu kahiti...hata hujamaliza utasikia Kamlete , tena mlete kesho asubuhi , Mahusiano Mazuri ni Muhimu sana... acha kazi kistaarabu tu ...
 
Back
Top Bottom