The Teacher
Senior Member
- Feb 2, 2013
- 176
- 82
Hakupaswa kuandika jina juu ya address yake, tar.imeandikwa mahala c pake, kwenye signature kakosea, inatakiwa ianze then a type jinale
Nimependa uandikaji wa barua, tarehe inawekwa kwenye anuani ya anayepewa barua!!!!!!
Nimependa uandikaji wa barua, tarehe inawekwa kwenye anuani ya anayepewa barua!!!!!!
Huyu kijana kinda kabisa ana zaidi ya mke mmoja ?dunia inakwenda wapi ?
Huo mshahara wa IPP/ITV ni prepaid hadi aseme kuwa anarejesha? I mean, wanalipwa kwanza kabla ya kufanya kazi? Na kama ni kwa ajili ya notisi ya masaa 24, kwa nini aseme 'sehemu ya mshahara', kwa nini isiwe mshahara wote wa mwezi? Inawezekana huyu jamaa hajui anachokifanya?
IPP media ndio wanaoongoza kwa kulipa vizuri kati ya media zote Tanzania, kima cha chini ni laki nne tangu 2011
Nyinyi ndo mnaishi dunia ya kukariri! kuna sheria ya
uwekaji wa tarehe? ndo maana bongo hakuna maendeleo
nyinyi ndo mmekariri barua za darasa la tano?
hihuhihuhu tarehe hata zikiwekwa mata.koni si inshu
inshu je zitaonekana na msomaji? wengine huweka chini
ya saini kabisa! msiwe limited kishamba jaribuni na
kugoogle
Huo ni utashi wake. Hakutaka kuwafurahi watu kama wewe kwa kuonekana ana mke 1, then pembeni ana nyumbandogo kadhaa
Huo mshahara wa IPP/ITV ni prepaid hadi aseme kuwa anarejesha? I mean, wanalipwa kwanza kabla ya kufanya kazi? Na kama ni kwa ajili ya notisi ya masaa 24, kwa nini aseme 'sehemu ya mshahara', kwa nini isiwe mshahara wote wa mwezi? Inawezekana huyu jamaa hajui anachokifanya?
Nimependa uandikaji wa barua, tarehe inawekwa kwenye anuani ya anayepewa barua!!!!!!
Nyinyi ndo mnaishi dunia ya kukariri! kuna sheria ya uwekaji wa tarehe? ndo maana bongo hakuna maendeleo nyinyi ndo mmekariri barua za darasa la tano? hihuhihuhu tarehe hata zikiwekwa mata.koni si inshu inshu je zitaonekana na msomaji? wengine huweka chini ya saini kabisa! msiwe limited kishamba jaribuni na kugoogle
du, hivi utangazaji nao unajiuzulu? du naona anawaza siasa, au amepata na yeye post serikalini ya upande wa habari nini? angeandika yah: kuacha kazi basi.