qn of sheba
JF-Expert Member
- Sep 13, 2011
- 3,230
- 1,382
- Thread starter
- #381
Sijui kwanini watanzania hatupendi kuondoka sehemu kwa amani na bila kurusha mane no? Hivi ninani aliyemlazimisha kusign mkataba name IPP miaka yote hiyo?
Hivi kwanini tusiondoke kimya kama tulivyo ajiriwa kimya?kwanini tusishukuru? Kwakweli haya matangazo ni kukosa busara kabisa.
Si alisema anakwenda kujiajiri? Mbona Millard na Salama waliacha bila maneno? Kwani alilazimishwa kuendelea na ITV miaka yote hiyo?
Hivi ni mshahara gani utamtosha kwa hao wake wote+watoto?
Kutaka attention tu na kuandikwa kama hivi kuna watu huwa wanapenda sana. Miaka yote aliyokaa sikuwahi kuwaza jana alupoweka barua yake ya kuacha kazi kwenye media hata Kayanda na Regina walienda BBC ndio tulijua ila hatukuona wakirusha mambo yao binafsi na waajiri wao kwenye media this is awful sikuwahi kuwaza kabisa mtu unaweka hadi barua hadharani duh.