Maulidi Kitenge aacha kazi ITV/Radio one

Maulidi Kitenge aacha kazi ITV/Radio one

MTANGAZAJI wa michezo wa Radio One Stereo na ITV, Maulid Kitenge kupitia akaunti yake ya Twitter hivi punde ametangaza kuondoka rasmi katika kampuni hiyo ya IPP baada ya kuitumikia kwa miaka 14. Je, nini maoni yako.

Kwa hiyo!
 
Atakuwa amepata kazi sehemu nyingine ama ashajipanga maana kulisha wake watatu mjini Dar es Salaam halafu kuacha kazi bila kujipanga unaweza ukashangaa kesho kajitundika

Kitenge huwa anahongwa hajui kuhudumia mwanamke kwa kumpa fedha. na hao wake zake wana mkwanja mnene sana. Yuko kijasiriamali zaidi kwa watoto wa kike
 
Nahisi harufu ya Azam Tv. Ni juzi tu tumeona Adrian na Zainabu Chondo wakiondoka IPP media na kuhamia Azam Tv. Sasa sijui ni ule ule mwendelezo au mengine.
 
Utasikia muda si mrefu anatangazia redio ya Joe Kusagga halafu BBC!
 
Pitapita zangu sehemu nimeinasa hii....
 

Attachments

  • 1408373273329.jpg
    1408373273329.jpg
    42.8 KB · Views: 6,768
Inaonekana IPP inawalipa kidogo sana wafanyakazi wake.
Pia wengi wanamlalamikia mtu mmoja wanayemwita kwa jina la utani la 'm'bichwa' kuwa hawatendei haki.
 
Polygamist while living expenses are hiking is suicide!!
 
Kusomesha watoto ni jambo zuri sana..yaani jitu zima na akili zake eti linasema limejiuzulu!!!! Mxxxxxx halijui tofauti ya kujiuzulu na kuacha kazi!!
 
Back
Top Bottom