Montserrat
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 10,286
- 13,858
Nilisema hapa uwanja wa Luton kuna timu nyingi within top 6, wataacha point
Hata tukikaza utumbo hakuna jipya zaidi ya kichapoTunafuata na aston villa kheee tukaze moyo tu.
Rashford na Bayindir wanastahili kubaki. Rashford uzawa unambeba kukamilisha idadi ya wazawa kwenye kikosi, pia quality yake kama squad player ni nzuri.Hao walio sub woteee wanatakiwa wasiwepo Manchester
Nyumbu someni hii article muone jinsi timu yenu wahuni wanavyoichezea.
Game ijayo wanacheza na Villa pale Old Trafford...kwahakika ntakuwa na Manunu washinde hii game...ni heri kuwa na kipara baba Ubaya kama kocha maana tunajua atacheza mechi 2 vzuri then 5 zinazofata atabutuliwa kuliko kuletewa kocha mwingine halafu akabadilisha mambo wakawa wanaleta upinzani tena hawaErik 7 hag alishatimiza vigezo vya kufukuzwa
Kwasasa naomba asifukuzwe na apewe mkataba mrefu
Napenda Sana kuona mnacheza pira magimbi pira makande
View attachment 2851372
Mkuu habari yako....mimi naswali hivi unaona kipara tutafika nae nchi ya ahadi?? Je unaona majeruhi na kukosa ubora ni chanzo cha sisi kuwa wabovu namna hii??..Baada ya mechi ya brentford kufunga magoli 2, licha ya hayo majeruhi unayoyaongelea huyo bwana hajawahi kuanzia benchi.
Wachezaji wanaofanyiwa rotation ni mainoo, eriksen before injury na amrabat.
Imefikia hatua Scott anachezeshwa AM, kipara anatoa mhanga vipaji vya wengine kwa ajili yake.
UTD ina Changamoto nyingi sana kabla ya Kumfikia Mwalimu! Kumeshakuwa na Kila aina ya Mwalimu kuanzia anayeanza safari ya Ualimu mpaka waloshinda kila kitu. Uongozi umekwamisha Mambo mengi na ukitaka Jua hayo niletee timu yeyote inafanya POA huku ikiwa na Changamoto katika Muundo wa UONGOZI.Mimi kazi yangu yakuwaambia ukweli kuhusu 7hag nilishaimalizaga
Kwasasa nakula popcorn tu
Na mambo mengi ,sikupata mudaUTD ina Changamoto nyingi sana kabla ya Kumfikia Mwalimu! Kumeshakuwa na Kila aina ya Mwalimu kuanzia anayeanza safari ya Ualimu mpaka waloshinda kila kitu. Uongozi umekwamisha Mambo mengi na ukitaka Jua hayo niletee timu yeyote inafanya POA huku ikiwa na Changamoto katika Muundo wa UONGOZI.
EMERY anamzidi ARTETA kila kitu mpaka Hata Namba zake akifananishwa kwa Muda wa miezi 18 Alokuwa nao sawa na ARTETA anamzidi kila kitu.
Ulidai EMERY ni Mwalimu mbovu kuliko wote waliowahi Pita ARSENAL. Wewe umemwona Mwalimu Yupi wa kudumu Arsenal nje ya WENGER tangu Uanze ushabiki wa Mpira?
Nilikwambia Ukija na TAKWIMU Zako za Ubaya EMERY unitag we na Mwenzako lembu ni WIKI karibu ya Pili Mmekaa Kimya.
Una Chuki na EMERY, nambie ARTETA lini kashawahi kuwa na Mfumo mmoja kwa kipindi cha Misimu 3 ya kwanza.Emery hakuwahi kuwa na mfumo mmoja ,alikuwa kila mechi ana mfumo wake , alitumia mifumo yote unayoijua 4-4-2,4-3-3,3-4-3,4-2-3-1
Alipofika Arsenal alimkuta DoF anaitwa Sven mislitant kutoka BVB
Yani EMERY NI POOR Kwenye TALENT ID! Naweza ingia Imani hili neno unapenda litumia lakini Labda unalielewa Tofauti. EMERY ndo Mwalimu aliemsajili SALIBA, LENO , TIERNEY, CEBALLOS, MARTINELLI, ambao alikuwa anaanza tengeneza timu. Amemtoa SAKA, SMITH ROWE academy. Nitajie Jina moja mpo nalo kwenye KIKOSI Chenu cha kwanza ARTETA amemtoa ACADEMY, Kingine nitajie Mchezaji ARTETA kamsajili hana Jina kamfanya kuwa WORLD CLASS.Kwenye upande wa Talent ID hapa alikuwa poor Sana
Huyo hamis ni cha-goat tapeliUna Chuki na EMERY, nambie ARTETA lini kashawahi kuwa na Mfumo mmoja kwa kipindi cha Misimu 3 ya kwanza.
ARTETA ndo Huyu alikuwa anaitwa BUSTETA kwa kucheza na Mabeki 5, na alikuwa anamtumia SAKA kama Wingback na alikuwa anataka Muuza mpaka Klopp alikuwa Moja ya watu walomtaka.
Hamisi Mbona UNAONGOPA ndugu yangu?? ARSENAL ya WENGER ilikataaga Nafasi ya Mkurugenzi wa Michezo "DOF" na WENGER alipendekezewa Jina la GAZIDIS akamkataa MICHAEL ZORC, na Hamjawahi kuwa na Wachezaji hao wazuri unaosema. SVEN alikuwa ni "HEAD OF SCOUTING" Arsenal wewe unatuambia ni DIRECTOR OF FOOTBALL" Wa ARSENAL ipi Hiyo?
Yani EMERY NI POOR Kwenye TALENT ID! Naweza ingia Imani hili neno unapenda litumia lakini Labda unalielewa Tofauti. EMERY ndo Mwalimu aliemsajili SALIBA, LENO , TIERNEY, CEBALLOS, MARTINELLI, ambao alikuwa anaanza tengeneza timu. Amemtoa SAKA, SMITH ROWE academy. Nitajie Jina moja mpo nalo kwenye KIKOSI Chenu cha kwanza ARTETA amemtoa ACADEMY, Kingine nitajie Mchezaji ARTETA kamsajili hana Jina kamfanya kuwa WORLD CLASS.
Najua Wengi wenu Mliitelekeza ARSENAL, Nikwambie tu Sajili ya PEPE ni ya Bodi yenu sababu za Kibiashara ila EMERY alimtaka ZAHA. Kuuzwa kwa SAKA ilikuwa ishu ya BODI na masuala ya mkataba.
ARSENAL Haikumtaka ZAHA ila Mwalimu EMERY ndo alikuwa anamtaka ZAHA ila Bodi ya ARSENAL Ikasema PEPE atakuwa na thamani zaidi kwenda Mbele, EMERY Alikuwa anaamini ZAHA ni EPL Proven na angeongeza Nguvu kwenda Mbele.Arsenal haijawahi kumtaka Zaha tangu Zaha alivyochagua kwenda United akaikataa Arsenal