hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,622
- 27,310
Nimekupa ushahidi wa Fabregas akiwasiliana na Cagigao kuhusu amuangalie SalibaTizama Kauli zako namna zinakinzana. Wewe ndo Umesema ARTETA katumia Mifumo Mitatu tu, Wewe umekuja sema ARTETA katumia Mifumo Miwili tu. KIPI ni KIPI.
Hakuna Skauti yeyote Ulimwenguni anayeweza fanya USAILI Wa Mchezaji. Akishamaliza fanya Utafiti wake huwa anakabidhi ripoti ya Mchezaji kwa Mtendaji wa Michezo na Meneja wa Timu. WEWE unasema SKAUTI WENU KAMSAJILI SALIBA, MARTINELLI & co.
HAMISI kumkataa kwako EMERY haiondoi Ubora wake, Msimu wake wa Kwanza kamaliza na ARSENAL nafasi ya 5, Msimu wa Pili kaiacha timu nafasi ya 8 na ndo nafasi ARTETA kamaliza misimu miwili ilofata, Msimu wa 5 Huu wa ARTETA kombe Yupo nalo Ni Moja tu!
Nimerudia kwambia katika Michezo 78 ya EMERY ARSENAL na Michezo 78 ya ARTETA Niletee takwimu zinazoonyesha kuwa ARTETA alikuwa bora ila unaruka tu nakuja na taarifa zako za kina Daily Mirror. Mwaka Jana GK alokuwa na thamani zaidi ni Ramsdale. Hizi taarifa zisikufumbe macho Jamaa, Leo Mkipewa 30-45 mnabeba.
ARSENAL Haijawahi kuwa na D.O.F Mpaka mwaka 2022. Ila WEWE Ulikuwa unaye DIRECTOR WAKO!
ODE Madrid kacheza sehemu kubwa Castilla, na nikwambie tu Madrid ya sasa hachezi. Unitajie nani anakaa nje mpisha ODE.
Emery hajawahi kusajili mchezaji Arsenal ,na aliowapendekeza hawakuletwa akiwepo Nzonzi ,Pepe
Kwahiyo usiongee uongo
Hata kwa Arteta Kuna wachezaji ni report ya Cagigao akiwepo Partey
Madrid hii ambayo Hadi kina Kepa ,Ceballos ,camavinga wanacheza ndio unauliza ode anacheza wapi
Bro hata ETH ana takwimu nzuri za mwanzo ila performance mbovu
Emery hakuhukumiwa kwa matokeo ,Ni Hadi performance kitu ambacho kwa Arteta , graph ilikuwa inapanda
Ndio maana mm nilimkataa ETH humu humu kwa Mara ya kwanza,mnacheza Vs Arsenal mwaka Jana mnashinda 3-1
Nilisema humu mmeshinda ila kwa performance hii hapa Hakuna kocha ,
Nakuwekea hapa chini uone EMERY alivyokuwa hana mifumo Wala first eleven
Narudia Tena Kushinda mechi za awali 78 sio kigezo au sample size
Emery ndiye kocha wa ovyo kupita Arsenal
Wachezaji wa PSG walikiri akiwepo Motta ,Thiago Silva walisema hana mbinu
Mimi naishia hapa nadhani ukweli utakuwa umeupata ,ukikaza fuvu sawa
Hata mwanzo wakati mnashinda ,niliposema ETH sio kocha Ni average nilibishiwa ,Leo kila kitu kipo wazi

pesa mingi san glazzers wame mwaga ila amna kitu pale 