Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kiongozi nyie katika Uzi wa Arsenal mnaingiaje wazee, Nina mwezi wa 4 sasa kwangu Uzi wa Arsenal na zingine hazifunguki kabisa

Kama kuna link ya jamii forum ingine yenye unafuu Naomba uniwekee hapa ili niendelee kupitia mitaa ya nyumbani
 
Mbona bado unadanganya ,Emery alifanya kazi na Edu na hawakuendana kabisa kiamono


Edu kafanya kazi na Emery labda Kama hujui
Hakuna NILIPODANGANYA Wewe umesem kwamba MILISTANT alikuwa ni DIRECTOR OF FOOTBALL nasubiri hiyo sehemu inayoonyesha Hivyo!
EMERY Hajawahi kuwa na DOF Arsenal na ARTETA ameanza kuwa na DOF Msimu wake wa 3! EDU Hakupewa Maamzuzi Yote ya Kuwa DOF mpaka msimu 2022, Kabla alikuwa kama Mkurugenzi Masuala ya Ufundi.

Nataka Unitajie Mwalimu wa ARSENAL aliyemsajili SALIBA, MARTINELLI, Ni mwalimu Yupi. Na Ngoja Nikwambie Hakuna Scout anasajili Mchezaji hizo ni ripoti wanaleta tu.
EMERY ndo kamtengeneza Aliemtengeza ALBA, ISCO, ALCACER, PINO na wengine wengi na akiwa na Umri wa ARTETA alikuwa ni Bingwa wa Michuano ya Ulaya.

Unajaza Articles za Magazeti bila Kunambia MAFANIKIO ya Mwalimu wako ni yapi? Nje ya PEP na KLOPP hakuna anayefika mafanikio ya EMERY Kwa walimu wote walobaki. Michezo 78 yake alokuwa kama mwalimu wa ARSENAL na Michezo 78 ya ARTETA, kamzidi ARTETA kila Kitu. Kitu pekee ARTETA anachomzidi ni kuzuia kwa sababu alikuwa anacheza na Mabeki 5, Mfumo wa 3~4 ama 3~5 ni wa kuwa na walinzi 5.
 
mzalendo bwenyenye jipya Sir jim ndani ya nyumba aaaah

Tunaanza

Upyaaaaaaaaaaaa
Screenshot_20231224-192012.jpg
 
Sijaicheki, soka la kitabuni?

Sio la kitabuni tu Jamaa ni tafsiri halisi ya Mwalimu wa Mpira Yule dogo Zirkzee kampika haswa. Nadhani Bayern Sijui kama wana "Buy Back Clause" Mana anaanza pata hali ya kujiamini, Wana winga Ile ORSOLINI afu UTD ina Antony Mpira Haupo Fair.

Afu Motta kachukua Reject Moja EPL ila ukimwangalia jamaa anapiga Vibuyu kweli kweli Freuler.
Nadhani wana Mwendelezo Mzuri wa sajili za Kiingereza kuna Ferguson Mscot na kuna dogo lao nadhani wamemuuza Brentford ni muda tu Klopp ataruka nae maana ni sajili zake Aaron Hickey!
 
Unawezaje Mhukumu EMERY Kwa Msimu mmoja na Nusu dhidi ya Mtu aliye na Misimu 5!? Kingine umezungumza Kuhusu IDENTITY lakini Umekwepa Hoja yangu Juu pale Kuhusu EMERY kufanya kazi bila Mtendaji wa Michezo.

IDENTITY ni Ipi unaisemea wewe na Misimu karibu Miwili ARTETA Kacheza na Beki watano? Kitu Kimoja kinachomfanya ARTETA Kuyajenga yote hayo ni watu kutokuwa na Mategemeo naye makubwa na kuwa na Uongozi wenye Malengo sawa hasa Kumpa EDU, EMERY sajili zake asilimia kubwa zilikuwa ni Ripoti ya Mkuu wenu wa Scouting na yeye ilikuwa kupitisha tu, Targets zake nyingi hajapata sababu ya kutokuwa na Mtu wa Kumsaidia kama ARTETA na EDU.

SALIBA alikuwa anatakiwa na UTD, BVB, SEVILLA, ROME, hili Dili EMERY alilifanya na Yeye ndo alietaka kuwepo na Kipengele cha yeye kubaki ST. ETIENNE, ARTETA hana say kwenye Hilo.

Mnasema Kuhusu TALENT ID, Mzee kuna mchezaji gani umenitajia hapo amekuja akiwa Unproven? ODE yupo na Miaka 15 Kila timu kubwa ilikuwa inamtaka, MADRID mwisho wa siku ikikuuza haina Uhitaji na wewe na hata Leo ODE hana namba kwenye MD ya Madrid.

KIZURI UMEKUWA NA KAULI NZURI KWAMBA EMERY HAKUWA MBAYA, ILA ARTETA UME-OVERRATE MENGI, EMERY Ni Mwalimu haswa Hakuaminiwa na Kupata Muda wa kutosha ARSENAL na kuwa na watu sahihi.

Bado narudia unadanganya Tena Sana

Emery amefanya kazi na huyo huyo Edu na hawakuendana ,nimekupa takwimu unasema za magazeti


Majukumu ya Edu yalikuwa hayo hayo aliyofanya na Emery


Kwanza kubali umedanganya Emery hakuwasajili Saliba, Martinelli,hata Pepe


Nimekupa Hadi aliowasajili Ni Fransis Cagigao



Unasema Øde hapati namba Madrid hii ?

Unatumia ubongo kweli ?


Ødegaard alishakuwa flop Madrid ndio maana aliuzwa €30m kwasasa Hana tjaman hiyo ,nimekuwekea na Value ya transfermarket ,

Kwenye wachezaji 20 most valuable duniani Øde humkosi ,10 most valuable EPL humkosi

Midfield hii ya Madrid wanacheza Hadi kina Ceballos , thaman ya Øde sokon Ni €100m

Unadhani kwa kiwango alicho nacho Sasa Madrid wangekuuzia €30m?


Emery ndiye kocha wa ovyo kupita Arsenal


Emery anabaki kocha wa timu ndogo tu Kama alivyo Erik 7 hag


Arteta ndiye kamfanya saka kuwa moja ya RW Bora duniani , Martinelli moja ya LW Bora duniani

Ødegaard moja ya AM Bora duniani

Hata Declan Rice unayemuona anakiri game yake imekuwa developed under Arteta

William Saliba , Magalhaes,


Au unadhani hao wachezaji wa Arsenal wamekuja wakiwa vzr ,80% wamekuja wakawaida tu na wao wanakiri hivo ukitaka ushahidi nakupa


Emery Ni kocha wa timu ndogo, wachezaji wa PSG walimkataa , Wachezaji wa Arsenal akiwepo Ozil alisema kabisa EMERY sio kocha


Unasema mafanikio yake Ni kweli sababu hata kiumri Ni Rika la kina Pep ,klopp na ETH


EMERY kamfunga Pep kwa Mara ya kwanza ndani ya miaka 15



20231219_201356.jpg
 
Unawezaje Mhukumu EMERY Kwa Msimu mmoja na Nusu dhidi ya Mtu aliye na Misimu 5!? Kingine umezungumza Kuhusu IDENTITY lakini Umekwepa Hoja yangu Juu pale Kuhusu EMERY kufanya kazi bila Mtendaji wa Michezo.

IDENTITY ni Ipi unaisemea wewe na Misimu karibu Miwili ARTETA Kacheza na Beki watano? Kitu Kimoja kinachomfanya ARTETA Kuyajenga yote hayo ni watu kutokuwa na Mategemeo naye makubwa na kuwa na Uongozi wenye Malengo sawa hasa Kumpa EDU, EMERY sajili zake asilimia kubwa zilikuwa ni Ripoti ya Mkuu wenu wa Scouting na yeye ilikuwa kupitisha tu, Targets zake nyingi hajapata sababu ya kutokuwa na Mtu wa Kumsaidia kama ARTETA na EDU.

SALIBA alikuwa anatakiwa na UTD, BVB, SEVILLA, ROME, hili Dili EMERY alilifanya na Yeye ndo alietaka kuwepo na Kipengele cha yeye kubaki ST. ETIENNE, ARTETA hana say kwenye Hilo.

Mnasema Kuhusu TALENT ID, Mzee kuna mchezaji gani umenitajia hapo amekuja akiwa Unproven? ODE yupo na Miaka 15 Kila timu kubwa ilikuwa inamtaka, MADRID mwisho wa siku ikikuuza haina Uhitaji na wewe na hata Leo ODE hana namba kwenye MD ya Madrid.

KIZURI UMEKUWA NA KAULI NZURI KWAMBA EMERY HAKUWA MBAYA, ILA ARTETA UME-OVERRATE MENGI, EMERY Ni Mwalimu haswa Hakuaminiwa na Kupata Muda wa kutosha ARSENAL na kuwa na watu sahihi.
Chini ya Arteta msimu wake wa mwanzo tumecheza sana back 3. Na sababu ni ile ya kwamba defense yetu ilikua ina sifa ya kua mbovu. Arteta ilibidi aadopt mfumo ambao utamsaidia kua compact kwenye defense.

Akaanza na back 3. Akaja na 4231. Akasema lengo ni 433 ila bado hana wachezaji wa hivyo.

Chini ya Emery tumecheza formation ya back 3 na 4231 ila Emery hakuonyesha kwanini tunacheza back 3 au baada ya sajili zake lengo ni timu iweje.

Saliba kaenda loans mbili. Moja ni hiyo ya mkataba ya pili ni Arteta ndiye aliamua aende.

Ikiwa Ode alikua proven Madrid isingekua na haja ya kumuachia. Muangalie Takefusa, zao la Madrid, alibatizwa jina the next Messi, leo yuko wapi baada ya loan spells zake?

Haujawahi ona kocha analetewa mchezaji proven ila mchezaji anaflop? Klopp aliletewa Carvalho. Barca walipelekewa Dembele na Coutinho. United walipelekewa Sanchez, Pogba, Antony, Di Maria, Maguire, Telles, Cavani n.k nini kikatokea?

Ni kama namaanisha hata kama mchezaji ni proven kama kocha hana uwezo ataua kipaji cha mchezaji. Arteta kafanya kazi nzuri kumaintain uwezo wa hao proven, kuimarisha uwezo wa walioonekana hawafai.

Kipindi kile Arteta alikua anashindanishwa na Lampard na Ole kuna kipindi walianza kumshindanisha na Erik. Mshindi hapa anajulikana.

Emery alijiweka wazi kwamba hajali kuhusu clean sheet ndiyo maana defense kwake haikua option. Kwa ligi ambayo Luton ananyima clean sheet top four wote kisha kwa Arsenal ile ya Emery ingechukua muda kidogo kua laughingstock wa ligi.

Kama nilivyosema Emery siyo mbaya. Ni mzuri kuliko Pochettino
 
Hakuna NILIPODANGANYA Wewe umesem kwamba MILISTANT alikuwa ni DIRECTOR OF FOOTBALL nasubiri hiyo sehemu inayoonyesha Hivyo!
EMERY Hajawahi kuwa na DOF Arsenal na ARTETA ameanza kuwa na DOF Msimu wake wa 3! EDU Hakupewa Maamzuzi Yote ya Kuwa DOF mpaka msimu 2022, Kabla alikuwa kama Mkurugenzi Masuala ya Ufundi.

Nataka Unitajie Mwalimu wa ARSENAL aliyemsajili SALIBA, MARTINELLI, Ni mwalimu Yupi. Na Ngoja Nikwambie Hakuna Scout anasajili Mchezaji hizo ni ripoti wanaleta tu.
EMERY ndo kamtengeneza Aliemtengeza ALBA, ISCO, ALCACER, PINO na wengine wengi na akiwa na Umri wa ARTETA alikuwa ni Bingwa wa Michuano ya Ulaya.

Unajaza Articles za Magazeti bila Kunambia MAFANIKIO ya Mwalimu wako ni yapi? Nje ya PEP na KLOPP hakuna anayefika mafanikio ya EMERY Kwa walimu wote walobaki. Michezo 78 yake alokuwa kama mwalimu wa ARSENAL na Michezo 78 ya ARTETA, kamzidi ARTETA kila Kitu. Kitu pekee ARTETA anachomzidi ni kuzuia kwa sababu alikuwa anacheza na Mabeki 5, Mfumo wa 3~4 ama 3~5 ni wa kuwa na walinzi 5.
Ukitaka mafanikio ya Arteta subiri afike umri wa Emery uwapime ,


Emery umri wake Ni Rika la kina ETH ,klopp na Pep

Cha kushangaza Sasa kamfunga Pep kwa Mara ya kwanza juzi ndan ya miaka 15


Unasema Arteta anamzidi Emery kuzuia ,una utani wewe


Arteta alitumia mfumo wa 3-4-3 kwa sababu wachezaji wale aliowakuta hawakuwa wanaendana na Falsafa yake ,na baada ya hapo aliingia kwenye 4-3-3 mpaka Leo hajawahi kubadilika


Arteta hajawahi kubebewa MABANGO na mashabiki Kama Emery ,sababu Arteta timu ilionesha ku progress kila siku


Wakati Emery timu ilikuwa inazama kadri siku zinavyoenda


Mashabiki walijaa uwanjani na UJUMBE usemao


NO TACTIC NO FORMATION


Ndio maana nakuambia hakuwahi kuwa na mfumo mmoja Kama upo utaje ,hakuwahi kuwa na first eleven Kama unaweza itaje


download%20(11).jpg
download%20(10).jpg
 
Sir jim kaja muda muafaka january alete hata wachezaji wawili tu wa maana
 
Sio la kitabuni tu Jamaa ni tafsiri halisi ya Mwalimu wa Mpira Yule dogo Zirkzee kampika haswa. Nadhani Bayern Sijui kama wana "Buy Back Clause" Mana anaanza pata hali ya kujiamini, Wana winga Ile ORSOLINI afu UTD ina Antony Mpira Haupo Fair.

Afu Motta kachukua Reject Moja EPL ila ukimwangalia jamaa anapiga Vibuyu kweli kweli Freuler.
Nadhani wana Mwendelezo Mzuri wa sajili za Kiingereza kuna Ferguson Mscot na kuna dogo lao nadhani wamemuuza Brentford ni muda tu Klopp ataruka nae maana ni sajili zake Aaron Hickey!
Dah kweli makocha wakali wanaongezeka
 
Unawezaje Mhukumu EMERY Kwa Msimu mmoja na Nusu dhidi ya Mtu aliye na Misimu 5!? Kingine umezungumza Kuhusu IDENTITY lakini Umekwepa Hoja yangu Juu pale Kuhusu EMERY kufanya kazi bila Mtendaji wa Michezo.

IDENTITY ni Ipi unaisemea wewe na Misimu karibu Miwili ARTETA Kacheza na Beki watano? Kitu Kimoja kinachomfanya ARTETA Kuyajenga yote hayo ni watu kutokuwa na Mategemeo naye makubwa na kuwa na Uongozi wenye Malengo sawa hasa Kumpa EDU, EMERY sajili zake asilimia kubwa zilikuwa ni Ripoti ya Mkuu wenu wa Scouting na yeye ilikuwa kupitisha tu, Targets zake nyingi hajapata sababu ya kutokuwa na Mtu wa Kumsaidia kama ARTETA na EDU.

SALIBA alikuwa anatakiwa na UTD, BVB, SEVILLA, ROME, hili Dili EMERY alilifanya na Yeye ndo alietaka kuwepo na Kipengele cha yeye kubaki ST. ETIENNE, ARTETA hana say kwenye Hilo.

Mnasema Kuhusu TALENT ID, Mzee kuna mchezaji gani umenitajia hapo amekuja akiwa Unproven? ODE yupo na Miaka 15 Kila timu kubwa ilikuwa inamtaka, MADRID mwisho wa siku ikikuuza haina Uhitaji na wewe na hata Leo ODE hana namba kwenye MD ya Madrid.

KIZURI UMEKUWA NA KAULI NZURI KWAMBA EMERY HAKUWA MBAYA, ILA ARTETA UME-OVERRATE MENGI, EMERY Ni Mwalimu haswa Hakuaminiwa na Kupata Muda wa kutosha ARSENAL na kuwa na watu sahihi.
Eti Emery hakupewa muda ,unajua unachokiongea Lakini


Emery hata alipofeli kushindwa kuingia top 4 kwa kukosa points 2 katika mechi 5 ,yaani alikosa points 2 katika points 15 ,


Akaenda Baku akamchezesha Cech ambaye tayari aliajiliwa na Chelsea


Bado akasamehewa akapewa muda na kipind chote hicho klabu imetumia £200m ,hakufukuzwa akapewa Muda

Anaanza msimu unaofata anavurunda kuanzia matokeo Hadi performance


Arsenal fans Ni WAVUMILIVU Lakini kwa Emery waligoma ,Ni kocha wa ovyo kupita Arsenal


Uwanja mzima ulijaa na Mabango NO TACTIC NO FORMATION,


Ujinga unaotumia unatembea na takwimu za mechi za mwanzo za Emery

Bro hata ETH ana takwimu nzuri za mwanzo ila performance mbovu


Emery hakuhukumiwa kwa matokeo ,Ni Hadi performance kitu ambacho kwa Arteta , graph ilikuwa inapanda

Ndio maana mm nilimkataa ETH humu humu kwa Mara ya kwanza,mnacheza Vs Arsenal mwaka Jana mnashinda 3-1


Nilisema humu mmeshinda ila kwa performance hii hapa Hakuna kocha ,


Nakuwekea hapa chini uone EMERY alivyokuwa hana mifumo Wala first eleven


skysports-unai-emery-arsenal_4847232.jpg
 
Saliba unayedai alisajiliwa na Emery wakati uongo

Arsenal ya Arteta Ni ya 2 duniani kwa Most valuable squad

Edu kafanya kazi na Emery labda Kama hujui

Kwanza kubali umedanganya Emery hakuwasajili Saliba, Martinelli,hata Pepe


Nimekupa Hadi aliowasajili Ni Fransis Cagigao

Arteta alitumia mfumo wa 3-4-3 kwa sababu wachezaji wale aliowakuta hawakuwa wanaendana na Falsafa yake ,na baada ya hapo aliingia kwenye 4-3-3 mpaka Leo hajawahi kubadilika
Tizama Kauli zako namna zinakinzana. Wewe ndo Umesema ARTETA katumia Mifumo Mitatu tu, Wewe umekuja sema ARTETA katumia Mifumo Miwili tu. KIPI ni KIPI.

Hakuna Skauti yeyote Ulimwenguni anayeweza fanya USAILI Wa Mchezaji. Akishamaliza fanya Utafiti wake huwa anakabidhi ripoti ya Mchezaji kwa Mtendaji wa Michezo na Meneja wa Timu. WEWE unasema SKAUTI WENU KAMSAJILI SALIBA, MARTINELLI & co.

HAMISI kumkataa kwako EMERY haiondoi Ubora wake, Msimu wake wa Kwanza kamaliza na ARSENAL nafasi ya 5, Msimu wa Pili kaiacha timu nafasi ya 8 na ndo nafasi ARTETA kamaliza misimu miwili ilofata, Msimu wa 5 Huu wa ARTETA kombe Yupo nalo Ni Moja tu!

Nimerudia kwambia katika Michezo 78 ya EMERY ARSENAL na Michezo 78 ya ARTETA Niletee takwimu zinazoonyesha kuwa ARTETA alikuwa bora ila unaruka tu nakuja na taarifa zako za kina Daily Mirror. Mwaka Jana GK alokuwa na thamani zaidi ni Ramsdale. Hizi taarifa zisikufumbe macho Jamaa, Leo Mkipewa 30-45 mnabeba.

ARSENAL Haijawahi kuwa na D.O.F Mpaka mwaka 2022. Ila WEWE Ulikuwa unaye DIRECTOR WAKO!
ODE Madrid kacheza sehemu kubwa Castilla, na nikwambie tu Madrid ya sasa hachezi. Unitajie nani anakaa nje mpisha ODE.
 
Hakuna NILIPODANGANYA Wewe umesem kwamba MILISTANT alikuwa ni DIRECTOR OF FOOTBALL nasubiri hiyo sehemu inayoonyesha Hivyo!
EMERY Hajawahi kuwa na DOF Arsenal na ARTETA ameanza kuwa na DOF Msimu wake wa 3! EDU Hakupewa Maamzuzi Yote ya Kuwa DOF mpaka msimu 2022, Kabla alikuwa kama Mkurugenzi Masuala ya Ufundi.

Nataka Unitajie Mwalimu wa ARSENAL aliyemsajili SALIBA, MARTINELLI, Ni mwalimu Yupi. Na Ngoja Nikwambie Hakuna Scout anasajili Mchezaji hizo ni ripoti wanaleta tu.
EMERY ndo kamtengeneza Aliemtengeza ALBA, ISCO, ALCACER, PINO na wengine wengi na akiwa na Umri wa ARTETA alikuwa ni Bingwa wa Michuano ya Ulaya.

Unajaza Articles za Magazeti bila Kunambia MAFANIKIO ya Mwalimu wako ni yapi? Nje ya PEP na KLOPP hakuna anayefika mafanikio ya EMERY Kwa walimu wote walobaki. Michezo 78 yake alokuwa kama mwalimu wa ARSENAL na Michezo 78 ya ARTETA, kamzidi ARTETA kila Kitu. Kitu pekee ARTETA anachomzidi ni kuzuia kwa sababu alikuwa anacheza na Mabeki 5, Mfumo wa 3~4 ama 3~5 ni wa kuwa na walinzi 5.
Natamani ujue tofauti ya back 3 na back 5.

Ikichezwa back 3 means kuna LWB na RWB hawa wataassist kutrack back na kupeleka mbele mashambulizi mara nyingi wana spid na skills.

Back 5 ni 3 CBs na fullbacks kabisa na siyo wingbacks. Formations za mabeki 5 ni 5 2 1 2, 5 3 2, 5 4 1 n.k

Sasa ni lini Arteta kachezesha 3 CBs na 2 full backs kisha akacheza hizo variations za back 5?

Sasa hivi Pep anacheza back 3. Formation yake ni 3 2 4 1. 3 CBs na 2 CBs ndiyo anawafanya DM, huyu ukisema anachezesha mabeki 5 utakua sahihi.

Sasa lete mechi Arteta aliingiza mabeki 5
 
Tizama Kauli zako namna zinakinzana. Wewe ndo Umesema ARTETA katumia Mifumo Mitatu tu, Wewe umekuja sema ARTETA katumia Mifumo Miwili tu. KIPI ni KIPI.

Hakuna Skauti yeyote Ulimwenguni anayeweza fanya USAILI Wa Mchezaji. Akishamaliza fanya Utafiti wake huwa anakabidhi ripoti ya Mchezaji kwa Mtendaji wa Michezo na Meneja wa Timu. WEWE unasema SKAUTI WENU KAMSAJILI SALIBA, MARTINELLI & co.

HAMISI kumkataa kwako EMERY haiondoi Ubora wake, Msimu wake wa Kwanza kamaliza na ARSENAL nafasi ya 5, Msimu wa Pili kaiacha timu nafasi ya 8 na ndo nafasi ARTETA kamaliza misimu miwili ilofata, Msimu wa 5 Huu wa ARTETA kombe Yupo nalo Ni Moja tu!

Nimerudia kwambia katika Michezo 78 ya EMERY ARSENAL na Michezo 78 ya ARTETA Niletee takwimu zinazoonyesha kuwa ARTETA alikuwa bora ila unaruka tu nakuja na taarifa zako za kina Daily Mirror. Mwaka Jana GK alokuwa na thamani zaidi ni Ramsdale. Hizi taarifa zisikufumbe macho Jamaa, Leo Mkipewa 30-45 mnabeba.

ARSENAL Haijawahi kuwa na D.O.F Mpaka mwaka 2022. Ila WEWE Ulikuwa unaye DIRECTOR WAKO!
ODE Madrid kacheza sehemu kubwa Castilla, na nikwambie tu Madrid ya sasa hachezi. Unitajie nani anakaa nje mpisha ODE.
Nimekupa ushahidi wa Fabregas akiwasiliana na Cagigao kuhusu amuangalie Saliba


Emery hajawahi kusajili mchezaji Arsenal ,na aliowapendekeza hawakuletwa akiwepo Nzonzi ,Pepe


Kwahiyo usiongee uongo


Hata kwa Arteta Kuna wachezaji ni report ya Cagigao akiwepo Partey


Madrid hii ambayo Hadi kina Kepa ,Ceballos ,camavinga wanacheza ndio unauliza ode anacheza wapi


Bro hata ETH ana takwimu nzuri za mwanzo ila performance mbovu

Emery hakuhukumiwa kwa matokeo ,Ni Hadi performance kitu ambacho kwa Arteta , graph ilikuwa inapanda

Ndio maana mm nilimkataa ETH humu humu kwa Mara ya kwanza,mnacheza Vs Arsenal mwaka Jana mnashinda 3-1

Nilisema humu mmeshinda ila kwa performance hii hapa Hakuna kocha ,

Nakuwekea hapa chini uone EMERY alivyokuwa hana mifumo Wala first eleven


Narudia Tena Kushinda mechi za awali 78 sio kigezo au sample size


Emery ndiye kocha wa ovyo kupita Arsenal


Wachezaji wa PSG walikiri akiwepo Motta ,Thiago Silva walisema hana mbinu


Mimi naishia hapa nadhani ukweli utakuwa umeupata ,ukikaza fuvu sawa


Hata mwanzo wakati mnashinda ,niliposema ETH sio kocha Ni average nilibishiwa ,Leo kila kitu kipo wazi
Screenshot_20231224-194943_1.jpg
download%20(11).jpg
download%20(9).jpg
download%20(8).jpg
 
Natamani ujue tofauti ya back 3 na back 5.

Ikichezwa back 3 means kuna LWB na RWB hawa wataassist kutrack back na kupeleka mbele mashambulizi mara nyingi wana spid na skills.

Back 5 ni 3 CBs na fullbacks kabisa na siyo wingbacks. Formations za mabeki 5 ni 5 2 1 2, 5 3 2, 5 4 1 n.k

Sasa ni lini Arteta kachezesha 3 CBs na 2 full backs kisha akacheza hizo variations za back 5?

Sasa hivi Pep anacheza back 3. Formation yake ni 3 2 4 1. 3 CBs na 2 CBs ndiyo anawafanya DM, huyu ukisema anachezesha mabeki 5 utakua sahihi.

Sasa lete mechi Arteta aliingiza mabeki 5
Huyo jamaa hajui vitu vingi Sana kuhusu Arsenal

Sample size yake anatumia mechi 78 za mwanzo za Emery na za Arteta


Namwambia kocha mzuri hatumpimi hivo,

Emery alikuwa anashinda mechi Kama ambavyo ETH anashinda ,timu Inapigwa msako ,ikibahatika Basi mnashukuru ,

Tumewahi pigiwa shots 30+ na kina Watford , Fulham Everton Southmpton


Emery na ETH Ni makocha wa timu ndogo tu.

Angalia hapa chini uone EMERY alitumia mifumo yote ndani ya miezi 18 , wachezaji walishindwa kumuelewa

Hakuwahi kuwa na first eleven


Kila nikimuangalia ETH wanafanana vitu vingi Sana na Emery

Angalau ETH ametulia na mfumo mmoja
 
Dah kweli makocha wakali wanaongezeka
Jamaa Mwalimu sana. Namwona AC Milan ama Napoli
Ikichezwa back 3 means kuna LWB na RWB hawa wataassist kutrack back na kupeleka mbele mashambulizi mara nyingi wana spid na skills
Nadhani hapa Umemaliza kabisa kuhusu hii hoja. ARTETA alikuta Lwb/RwB wengi wasokizi mahitaji ya Kucheza Back 3 Miles, Kolasinak, et al. Ila baadae akaja watumia Saka na Bellerin zaidi na kumuongeza Cedric.

Timu za ITALY zenyewe Set up yao huwa 3~5~2 haina nafasi ya AM's ila zinabebwa na DLP, Germany na Ned wanatumia zaidi 3~4~2~1 or 3~4~3 Zenyewe zinatoa nafasi kwa AM's zaidi na Nafasi zinatengenezwa na WB's

Pep umemzungumzia ila anachokifanya sio set Up ni Build Up ya 3~2 kitu ambacho Bielsa amekifanya sana na Bilbao akiwa na Ander na J. Martinez na EPL na Championship kakifanya sana akimtumia Philips na Ben white kama Libero.

UTD inateseka kwa sababu Build Up yake inakuwa na 3~1 na Am's zaidi ya Mmoja kunakuwa na Gape kubwa kati na ushahidi wa karibuni ni goli la KUDUS jana.
Kwa Heshima mkali hii itakuwa Quote ya Mwisho kuijibia hapa wadau wanataka zungumzia Umiliki mpya wa SJR, nitag kwa Jukwaa la Arsenal kama kuna zaidi
 
Nimekupa ushahidi wa Fabregas akiwasiliana na Cagigao kuhusu amuangalie Saliba


Emery hajawahi kusajili mchezaji Arsenal ,na aliowapendekeza hawakuletwa akiwepo Nzonzi ,Pepe


Kwahiyo usiongee uongo


Hata kwa Arteta Kuna wachezaji ni report ya Cagigao akiwepo Partey


Madrid hii ambayo Hadi kina Kepa ,Ceballos ,camavinga wanacheza ndio unauliza ode anacheza wapi


Bro hata ETH ana takwimu nzuri za mwanzo ila performance mbovu

Emery hakuhukumiwa kwa matokeo ,Ni Hadi performance kitu ambacho kwa Arteta , graph ilikuwa inapanda

Ndio maana mm nilimkataa ETH humu humu kwa Mara ya kwanza,mnacheza Vs Arsenal mwaka Jana mnashinda 3-1

Nilisema humu mmeshinda ila kwa performance hii hapa Hakuna kocha ,

Nakuwekea hapa chini uone EMERY alivyokuwa hana mifumo Wala first eleven


Narudia Tena Kushinda mechi za awali 78 sio kigezo au sample size


Emery ndiye kocha wa ovyo kupita Arsenal


Wachezaji wa PSG walikiri akiwepo Motta ,Thiago Silva walisema hana mbinu


Mimi naishia hapa nadhani ukweli utakuwa umeupata ,ukikaza fuvu sawa


Hata mwanzo wakati mnashinda ,niliposema ETH sio kocha Ni average nilibishiwa ,Leo kila kitu kipo wazi
Hujajibu chochote Nilichouliza Ila kwa Heshima Wadau wameomba tuhamishie Mjadala Jukwaa la ARSENAL unitag ukiwa na Majibu.
 
Back
Top Bottom