Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tizama Kauli zako namna zinakinzana. Wewe ndo Umesema ARTETA katumia Mifumo Mitatu tu, Wewe umekuja sema ARTETA katumia Mifumo Miwili tu. KIPI ni KIPI.

Hakuna Skauti yeyote Ulimwenguni anayeweza fanya USAILI Wa Mchezaji. Akishamaliza fanya Utafiti wake huwa anakabidhi ripoti ya Mchezaji kwa Mtendaji wa Michezo na Meneja wa Timu. WEWE unasema SKAUTI WENU KAMSAJILI SALIBA, MARTINELLI & co.

HAMISI kumkataa kwako EMERY haiondoi Ubora wake, Msimu wake wa Kwanza kamaliza na ARSENAL nafasi ya 5, Msimu wa Pili kaiacha timu nafasi ya 8 na ndo nafasi ARTETA kamaliza misimu miwili ilofata, Msimu wa 5 Huu wa ARTETA kombe Yupo nalo Ni Moja tu!

Nimerudia kwambia katika Michezo 78 ya EMERY ARSENAL na Michezo 78 ya ARTETA Niletee takwimu zinazoonyesha kuwa ARTETA alikuwa bora ila unaruka tu nakuja na taarifa zako za kina Daily Mirror. Mwaka Jana GK alokuwa na thamani zaidi ni Ramsdale. Hizi taarifa zisikufumbe macho Jamaa, Leo Mkipewa 30-45 mnabeba.

ARSENAL Haijawahi kuwa na D.O.F Mpaka mwaka 2022. Ila WEWE Ulikuwa unaye DIRECTOR WAKO!
ODE Madrid kacheza sehemu kubwa Castilla, na nikwambie tu Madrid ya sasa hachezi. Unitajie nani anakaa nje mpisha ODE.
Nimekupa ushahidi wa Fabregas akiwasiliana na Cagigao kuhusu amuangalie Saliba


Emery hajawahi kusajili mchezaji Arsenal ,na aliowapendekeza hawakuletwa akiwepo Nzonzi ,Pepe


Kwahiyo usiongee uongo


Hata kwa Arteta Kuna wachezaji ni report ya Cagigao akiwepo Partey


Madrid hii ambayo Hadi kina Kepa ,Ceballos ,camavinga wanacheza ndio unauliza ode anacheza wapi


Bro hata ETH ana takwimu nzuri za mwanzo ila performance mbovu

Emery hakuhukumiwa kwa matokeo ,Ni Hadi performance kitu ambacho kwa Arteta , graph ilikuwa inapanda

Ndio maana mm nilimkataa ETH humu humu kwa Mara ya kwanza,mnacheza Vs Arsenal mwaka Jana mnashinda 3-1

Nilisema humu mmeshinda ila kwa performance hii hapa Hakuna kocha ,

Nakuwekea hapa chini uone EMERY alivyokuwa hana mifumo Wala first eleven


Narudia Tena Kushinda mechi za awali 78 sio kigezo au sample size


Emery ndiye kocha wa ovyo kupita Arsenal


Wachezaji wa PSG walikiri akiwepo Motta ,Thiago Silva walisema hana mbinu


Mimi naishia hapa nadhani ukweli utakuwa umeupata ,ukikaza fuvu sawa


Hata mwanzo wakati mnashinda ,niliposema ETH sio kocha Ni average nilibishiwa ,Leo kila kitu kipo wazi
Screenshot_20231224-194943_1.jpg
download%20(11).jpg
download%20(9).jpg
download%20(8).jpg
 
Natamani ujue tofauti ya back 3 na back 5.

Ikichezwa back 3 means kuna LWB na RWB hawa wataassist kutrack back na kupeleka mbele mashambulizi mara nyingi wana spid na skills.

Back 5 ni 3 CBs na fullbacks kabisa na siyo wingbacks. Formations za mabeki 5 ni 5 2 1 2, 5 3 2, 5 4 1 n.k

Sasa ni lini Arteta kachezesha 3 CBs na 2 full backs kisha akacheza hizo variations za back 5?

Sasa hivi Pep anacheza back 3. Formation yake ni 3 2 4 1. 3 CBs na 2 CBs ndiyo anawafanya DM, huyu ukisema anachezesha mabeki 5 utakua sahihi.

Sasa lete mechi Arteta aliingiza mabeki 5
Huyo jamaa hajui vitu vingi Sana kuhusu Arsenal

Sample size yake anatumia mechi 78 za mwanzo za Emery na za Arteta


Namwambia kocha mzuri hatumpimi hivo,

Emery alikuwa anashinda mechi Kama ambavyo ETH anashinda ,timu Inapigwa msako ,ikibahatika Basi mnashukuru ,

Tumewahi pigiwa shots 30+ na kina Watford , Fulham Everton Southmpton


Emery na ETH Ni makocha wa timu ndogo tu.

Angalia hapa chini uone EMERY alitumia mifumo yote ndani ya miezi 18 , wachezaji walishindwa kumuelewa

Hakuwahi kuwa na first eleven


Kila nikimuangalia ETH wanafanana vitu vingi Sana na Emery

Angalau ETH ametulia na mfumo mmoja
 
Dah kweli makocha wakali wanaongezeka
Jamaa Mwalimu sana. Namwona AC Milan ama Napoli
Ikichezwa back 3 means kuna LWB na RWB hawa wataassist kutrack back na kupeleka mbele mashambulizi mara nyingi wana spid na skills
Nadhani hapa Umemaliza kabisa kuhusu hii hoja. ARTETA alikuta Lwb/RwB wengi wasokizi mahitaji ya Kucheza Back 3 Miles, Kolasinak, et al. Ila baadae akaja watumia Saka na Bellerin zaidi na kumuongeza Cedric.

Timu za ITALY zenyewe Set up yao huwa 3~5~2 haina nafasi ya AM's ila zinabebwa na DLP, Germany na Ned wanatumia zaidi 3~4~2~1 or 3~4~3 Zenyewe zinatoa nafasi kwa AM's zaidi na Nafasi zinatengenezwa na WB's

Pep umemzungumzia ila anachokifanya sio set Up ni Build Up ya 3~2 kitu ambacho Bielsa amekifanya sana na Bilbao akiwa na Ander na J. Martinez na EPL na Championship kakifanya sana akimtumia Philips na Ben white kama Libero.

UTD inateseka kwa sababu Build Up yake inakuwa na 3~1 na Am's zaidi ya Mmoja kunakuwa na Gape kubwa kati na ushahidi wa karibuni ni goli la KUDUS jana.
Kwa Heshima mkali hii itakuwa Quote ya Mwisho kuijibia hapa wadau wanataka zungumzia Umiliki mpya wa SJR, nitag kwa Jukwaa la Arsenal kama kuna zaidi
 
Nimekupa ushahidi wa Fabregas akiwasiliana na Cagigao kuhusu amuangalie Saliba


Emery hajawahi kusajili mchezaji Arsenal ,na aliowapendekeza hawakuletwa akiwepo Nzonzi ,Pepe


Kwahiyo usiongee uongo


Hata kwa Arteta Kuna wachezaji ni report ya Cagigao akiwepo Partey


Madrid hii ambayo Hadi kina Kepa ,Ceballos ,camavinga wanacheza ndio unauliza ode anacheza wapi


Bro hata ETH ana takwimu nzuri za mwanzo ila performance mbovu

Emery hakuhukumiwa kwa matokeo ,Ni Hadi performance kitu ambacho kwa Arteta , graph ilikuwa inapanda

Ndio maana mm nilimkataa ETH humu humu kwa Mara ya kwanza,mnacheza Vs Arsenal mwaka Jana mnashinda 3-1

Nilisema humu mmeshinda ila kwa performance hii hapa Hakuna kocha ,

Nakuwekea hapa chini uone EMERY alivyokuwa hana mifumo Wala first eleven


Narudia Tena Kushinda mechi za awali 78 sio kigezo au sample size


Emery ndiye kocha wa ovyo kupita Arsenal


Wachezaji wa PSG walikiri akiwepo Motta ,Thiago Silva walisema hana mbinu


Mimi naishia hapa nadhani ukweli utakuwa umeupata ,ukikaza fuvu sawa


Hata mwanzo wakati mnashinda ,niliposema ETH sio kocha Ni average nilibishiwa ,Leo kila kitu kipo wazi
Hujajibu chochote Nilichouliza Ila kwa Heshima Wadau wameomba tuhamishie Mjadala Jukwaa la ARSENAL unitag ukiwa na Majibu.
 
Jamaa Mwalimu sana. Namwona AC Milan ama Napoli

Nadhani hapa Umemaliza kabisa kuhusu hii hoja. ARTETA alikuta Lwb/RwB wengi wasokizi mahitaji ya Kucheza Back 3 Miles, Kolasinak, et al. Ila baadae akaja watumia Saka na Bellerin zaidi na kumuongeza Cedric.

Timu za ITALY zenyewe Set up yao huwa 3~5~2 haina nafasi ya AM's ila zinabebwa na DLP, Germany na Ned wanatumia zaidi 3~4~2~1 or 3~4~3 Zenyewe zinatoa nafasi kwa AM's zaidi na Nafasi zinatengenezwa na WB's

Pep umemzungumzia ila anachokifanya sio set Up ni Build Up ya 3~2 kitu ambacho Bielsa amekifanya sana na Bilbao akiwa na Ander na J. Martinez na EPL na Championship kakifanya sana akimtumia Philips na Ben white kama Libero.

UTD inateseka kwa sababu Build Up yake inakuwa na 3~1 na Am's zaidi ya Mmoja kunakuwa na Gape kubwa kati na ushahidi wa karibuni ni goli la KUDUS jana.
Kwa Heshima mkali hii itakuwa Quote ya Mwisho kuijibia hapa wadau wanataka zungumzia Umiliki mpya wa SJR, nitag kwa Jukwaa la Arsenal kama kuna zaidi
Naelewa kuhusu build up ya 3 2 lakini sidhani kama ni lengo la Pep akiweka back 3 na 2 akaweka CBs pia.

Anyway, mimi pia hii ni quote ya mwisho ngoja nifanye maisha mengine
 
Man u wangempa sapoti na muda Ole gunar Kama anayopewa ETH ,Man u ingekuwa mbali
 
Man u wangempa sapoti na muda Ole gunar Kama anayopewa ETH ,Man u ingekuwa mbali
Ishu sio Suala la Muda tu Jamaa. Lazima kuwe na Watu sahihi wa Mpira.
Kuanzia MOYES Mpaka ETH watoa Maamuzi wengi UTD wamekuwa kama Soka la Bongo. Huyu STEWART Hundi zinapita kwao, Unategemea nini na hakuna anayefahamu masuala ya Kimichezo?

ETH Mafanikio yake AJAX ni Muundo, CEO EDWIN, D.O.F MARC na ARSENAL Kabla ya Kumuamini EDU naye alikua moja ya Majina tajwa ya Nafasi Hiyo, Kinarahisisha hata Utendaji kazi Ushahidi Juu ya Hilo tizama timu Ilipo sasa AJAX. PEP kuna wachezaji Ripoti zinapitiwa na TXIKI na SORRIANO anakuja Pitisha tu maana wanazungumza lugha 1.

UTD Hata Iwe na Pep kama Coach wa MD, KLOPP awe Coach wa Wings, Mou awe Wa DF, Kwa Muundo uliopo sasa wa Kina Murtough, Fletcher ambae kazi yake haijulikani, Stewart na Genge lao, mafanikio sio Leo wala kesho. {HAKUNA MWALIMU YEYOTE ANAYEWEZA FAULU}
 
Ishu io Suala la Muda tu Jamaa. Lazima kuwe na Watu sahihi wa Mpira.
Kuanzia MOYES Mpaka ETH watoa Maamuzi wengi UTD wamekuwa kama Soka la Bongo. Huyu STEWART Hundi zinapita kwao, Unategemea nini na hakuna anayefahamu masuala ya Kimichezo?

ETH Mafanikio yake AJAX ni Muundo, CEO EDWIN, D.O.F MARC na ARSENAL Kabla ya Kumuamini EDU naye alikua moja ya Majina tajwa ya Nafasi Hiyo, Kinarahisisha hata Utendaji kazi Ushahidi Juu ya Hilo tizama timu Ilipo sasa AJAX. PEP kuna wachezaji Ripoti zinapitiwa na TXIKI na SORRIANO anakuja Pitisha tu maana wanazungumza lugha 1.

UTD Hata Iwe na Pep kama Coach wa MD, KLOPP awe Coach wa Wings, Mou awe Wa DF, Kwa Muundo uliopo sasa wa Kina Murtough, Fletcher ambae kazi yake haijulikani, Stewart na Genge lao, mafanikio sio Leo wala kesho. {HAKUNA MWALIMU YEYOTE ANAYEWEZA FAULU}
Wewe huna kocha sikiliza unalo ambiwa...

Body ina makosa sawa, ila wamiliki wanamwaga pesa sio poa.

refer,

Antony aka masebene pesa mingi san glazzers wame mwaga ila amna kitu pale

Casimiro huyu babu et mlitoa hela yote ile ( huyu alikua ni wa short time tu et mkatia 70 uko, ni hela zenu sawa ila mlipigwa.

Malacia injury prone afu badoo ajaonesha kitu ila anamatumaini.

Ni mengi sana mazuri ya glazzers kuliko hata ayo mabaya.

Wachezaji wote walio takiwa na jasusi alipewa,,Kama alichaguliwa basi ni mja au wawili tu.

Best sign ya jasusi ni lisandro Martinez sema Hana bahati ili jeraha alilo pata lina mnyima kwa sana posho.

Note: kila timu inapigwa hakuna timu isiyo pigwa na body sijui management, ila kuna namna tu zingine timu zinapigwa kibongo bongo yani,
kama amna bisha uliza chelkenge fc.

I hate red devil's
 
Wewe huna kocha sikiliza unalo ambiwa...

Body ina makosa sawa, ila wamiliki wanamwaga pesa sio poa.

refer,

Antony aka masebene pesa mingi san glazzers wame mwaga ila amna kitu pale

Casimiro huyu babu et mlitoa hela yote ile ( huyu alikua ni wa short time tu et mkatia 70 uko, ni hela zenu sawa ila mlipigwa.

Malacia injury prone afu badoo ajaonesha kitu ila anamatumaini.

Ni mengi sana mazuri ya glazzers kuliko hata ayo mabaya.

Wachezaji wote walio takiwa na jasusi alipewa,,Kama alichaguliwa basi ni mja au wawili tu.

Best sign ya jasusi ni lisandro Martinez sema Hana bahati ili jeraha alilo pata lina mnyima kwa sana posho.

Note: kila timu inapigwa hakuna timu isiyo pigwa na body sijui management, ila kuna namna tu zingine timu zinapigwa kibongo bongo yani,
kama amna bisha uliza chelkenge fc.

I hate red devil's
Mwalimu wako ana mafanikio yapi ndani ya Kipindi cha miaka 5 ambayo Yupo na Nyie?
Ushasema unaichukia UTD, kwa hiyo Unatoa maoni kwa hisia zaidi.

HOWE alikuwa na Project Nzuri Bournemouth lakini Bodi ilimkwamisha akaishusha timu Daraja, Leo bodi yake timu Nyingine inaeleweka kawapeleka mpaka UCL. Arsenal mmeanza ona Njia baada ya Msimu wa 3 wa Mwalimu wenu na kuanza fanya kazi na Director of Football.

Ambacho nadhani hujafatilia ni kuhusu Sajili. ETH hajafika UTD alishatuma aina ya sajili anataka. Martinez umemsema ila ilitokea tu maana yeye alihitajiwa na Arsenal ila akamtafuta ETH kama atamhitaji. Murtough alikwamisha usajili wa Jude, Haaland, Hojlund, Enzo, Alvarez, Diaz, Caicedo, Palacio n.k.

Antony alikuwa amethaminishwa 25m na Skauti ya UTD. Kipindi cha ETH, Murtough kawatafuta Ajax mwenyewe kawaambia hawalipi zaidi ya 60. Edwin akafanya kama kuwa-challenge, waliishia toa 80m+ sababu hakukuwa na Plan B. ETH sajili alitaka ST, LCB, CM na alimtaka KANE kama chaguo la kwanza ila menejimenti ya Kimchongo ya UTD iligoma fanya yote hayo ikaishia fanya sajili za Kupaniki.
 
Mwalimu wako ana mafanikio yapi ndani ya Kipindi cha miaka 5 ambayo Yupo na Nyie?
Ushasema unaichukia UTD, kwa hiyo Unatoa maoni kwa hisia zaidi.

HOWE alikuwa na Project Nzuri Bournemouth lakini Bodi ilimkwamisha akaishusha timu Daraja, Leo bodi yake timu Nyingine inaeleweka kawapeleka mpaka UCL. Arsenal mmeanza ona Njia baada ya Msimu wa 3 wa Mwalimu wenu na kuanza fanya kazi na Director of Football.

Ambacho nadhani hujafatilia ni kuhusu Sajili. ETH hajafika UTD alishatuma aina ya sajili anataka. Martinez umemsema ila ilitokea tu maana yeye alihitajiwa na Arsenal ila akamtafuta ETH kama atamhitaji. Murtough alikwamisha usajili wa Jude, Haaland, Hojlund, Enzo, Alvarez, Diaz, Caicedo, Palacio n.k.

Antony alikuwa amethaminishwa 25m na Skauti ya UTD. Kipindi cha ETH Jamaa kawatafuta Ajax mwenyewe kawaambia hawalipi zaidi ya 60. Edwin akafanya kama kuwa-challenge, waliishia toa 80m+ sababu hakukuwa na Plan B. ETH sajili alitaka ST, LCB, CM na alimtaka KANE kama chaguo la kwanza ila menejimenti ya Kimchongo ya UTD iligoma fanya yote hayo ikaishia fanya sajili za Kupaniki.

So tatizo ni management ya usajili?
 
So tatizo ni management ya usajili?
Hiyo ni Sehemu ya Tatizo. Mashabiki masuala ya Kifedha huwa hayawahusu sana, wanachohitaji ni Mafanikio Uwanjani. Huwezi yapata haya kama Huna watu wanaorahisisha kazi ya Mwalimu Uwanjani na Hawa ni Watoa Maamuzi ya Kimichezo. {Mtizame KLOPP kama wamekuwa sawa tangu aondoke Edwards}

Sajili Nyingi UTD tangu kuondoka Fergie zimekaa kibiashara. Kwenye Post hapo kuna Sajili tulozikosa na wameenda kuwa Wachezaji wazuri sana kwingine, Inamaanisha kwamba UTD wana Scouting Network Nzuri sana lakini watoa Maamuzi Bora ya Kimichezo hawapo! Mwishowe Inalipa Gharama sio na Wachezaji kuwa na Pressure ya Bei ambazo kiuhalisia zinaathiri Mpaka Uchezaji wao.

TATIZO KUBWA NI MUUNDO WA KIUTENDAJI TOKEA JUU.
 
Back
Top Bottom