Hakuna NILIPODANGANYA Wewe umesem kwamba MILISTANT alikuwa ni DIRECTOR OF FOOTBALL nasubiri hiyo sehemu inayoonyesha Hivyo!Mbona bado unadanganya ,Emery alifanya kazi na Edu na hawakuendana kabisa kiamono
Edu kafanya kazi na Emery labda Kama hujui
Sijaicheki, soka la kitabuni?Ulishawahi kuwafuatilia Bologna ya Tiago Motta?
Sijaicheki, soka la kitabuni?
Unawezaje Mhukumu EMERY Kwa Msimu mmoja na Nusu dhidi ya Mtu aliye na Misimu 5!? Kingine umezungumza Kuhusu IDENTITY lakini Umekwepa Hoja yangu Juu pale Kuhusu EMERY kufanya kazi bila Mtendaji wa Michezo.
IDENTITY ni Ipi unaisemea wewe na Misimu karibu Miwili ARTETA Kacheza na Beki watano? Kitu Kimoja kinachomfanya ARTETA Kuyajenga yote hayo ni watu kutokuwa na Mategemeo naye makubwa na kuwa na Uongozi wenye Malengo sawa hasa Kumpa EDU, EMERY sajili zake asilimia kubwa zilikuwa ni Ripoti ya Mkuu wenu wa Scouting na yeye ilikuwa kupitisha tu, Targets zake nyingi hajapata sababu ya kutokuwa na Mtu wa Kumsaidia kama ARTETA na EDU.
SALIBA alikuwa anatakiwa na UTD, BVB, SEVILLA, ROME, hili Dili EMERY alilifanya na Yeye ndo alietaka kuwepo na Kipengele cha yeye kubaki ST. ETIENNE, ARTETA hana say kwenye Hilo.
Mnasema Kuhusu TALENT ID, Mzee kuna mchezaji gani umenitajia hapo amekuja akiwa Unproven? ODE yupo na Miaka 15 Kila timu kubwa ilikuwa inamtaka, MADRID mwisho wa siku ikikuuza haina Uhitaji na wewe na hata Leo ODE hana namba kwenye MD ya Madrid.
KIZURI UMEKUWA NA KAULI NZURI KWAMBA EMERY HAKUWA MBAYA, ILA ARTETA UME-OVERRATE MENGI, EMERY Ni Mwalimu haswa Hakuaminiwa na Kupata Muda wa kutosha ARSENAL na kuwa na watu sahihi.


Chini ya Arteta msimu wake wa mwanzo tumecheza sana back 3. Na sababu ni ile ya kwamba defense yetu ilikua ina sifa ya kua mbovu. Arteta ilibidi aadopt mfumo ambao utamsaidia kua compact kwenye defense.Unawezaje Mhukumu EMERY Kwa Msimu mmoja na Nusu dhidi ya Mtu aliye na Misimu 5!? Kingine umezungumza Kuhusu IDENTITY lakini Umekwepa Hoja yangu Juu pale Kuhusu EMERY kufanya kazi bila Mtendaji wa Michezo.
IDENTITY ni Ipi unaisemea wewe na Misimu karibu Miwili ARTETA Kacheza na Beki watano? Kitu Kimoja kinachomfanya ARTETA Kuyajenga yote hayo ni watu kutokuwa na Mategemeo naye makubwa na kuwa na Uongozi wenye Malengo sawa hasa Kumpa EDU, EMERY sajili zake asilimia kubwa zilikuwa ni Ripoti ya Mkuu wenu wa Scouting na yeye ilikuwa kupitisha tu, Targets zake nyingi hajapata sababu ya kutokuwa na Mtu wa Kumsaidia kama ARTETA na EDU.
SALIBA alikuwa anatakiwa na UTD, BVB, SEVILLA, ROME, hili Dili EMERY alilifanya na Yeye ndo alietaka kuwepo na Kipengele cha yeye kubaki ST. ETIENNE, ARTETA hana say kwenye Hilo.
Mnasema Kuhusu TALENT ID, Mzee kuna mchezaji gani umenitajia hapo amekuja akiwa Unproven? ODE yupo na Miaka 15 Kila timu kubwa ilikuwa inamtaka, MADRID mwisho wa siku ikikuuza haina Uhitaji na wewe na hata Leo ODE hana namba kwenye MD ya Madrid.
KIZURI UMEKUWA NA KAULI NZURI KWAMBA EMERY HAKUWA MBAYA, ILA ARTETA UME-OVERRATE MENGI, EMERY Ni Mwalimu haswa Hakuaminiwa na Kupata Muda wa kutosha ARSENAL na kuwa na watu sahihi.
Ukitaka mafanikio ya Arteta subiri afike umri wa Emery uwapime ,Hakuna NILIPODANGANYA Wewe umesem kwamba MILISTANT alikuwa ni DIRECTOR OF FOOTBALL nasubiri hiyo sehemu inayoonyesha Hivyo!
EMERY Hajawahi kuwa na DOF Arsenal na ARTETA ameanza kuwa na DOF Msimu wake wa 3! EDU Hakupewa Maamzuzi Yote ya Kuwa DOF mpaka msimu 2022, Kabla alikuwa kama Mkurugenzi Masuala ya Ufundi.
Nataka Unitajie Mwalimu wa ARSENAL aliyemsajili SALIBA, MARTINELLI, Ni mwalimu Yupi. Na Ngoja Nikwambie Hakuna Scout anasajili Mchezaji hizo ni ripoti wanaleta tu.
EMERY ndo kamtengeneza Aliemtengeza ALBA, ISCO, ALCACER, PINO na wengine wengi na akiwa na Umri wa ARTETA alikuwa ni Bingwa wa Michuano ya Ulaya.
Unajaza Articles za Magazeti bila Kunambia MAFANIKIO ya Mwalimu wako ni yapi? Nje ya PEP na KLOPP hakuna anayefika mafanikio ya EMERY Kwa walimu wote walobaki. Michezo 78 yake alokuwa kama mwalimu wa ARSENAL na Michezo 78 ya ARTETA, kamzidi ARTETA kila Kitu. Kitu pekee ARTETA anachomzidi ni kuzuia kwa sababu alikuwa anacheza na Mabeki 5, Mfumo wa 3~4 ama 3~5 ni wa kuwa na walinzi 5.
Dah kweli makocha wakali wanaongezekaSio la kitabuni tu Jamaa ni tafsiri halisi ya Mwalimu wa Mpira Yule dogo Zirkzee kampika haswa. Nadhani Bayern Sijui kama wana "Buy Back Clause" Mana anaanza pata hali ya kujiamini, Wana winga Ile ORSOLINI afu UTD ina Antony Mpira Haupo Fair.
Afu Motta kachukua Reject Moja EPL ila ukimwangalia jamaa anapiga Vibuyu kweli kweli Freuler.
Nadhani wana Mwendelezo Mzuri wa sajili za Kiingereza kuna Ferguson Mscot na kuna dogo lao nadhani wamemuuza Brentford ni muda tu Klopp ataruka nae maana ni sajili zake Aaron Hickey!
Eti Emery hakupewa muda ,unajua unachokiongea LakiniUnawezaje Mhukumu EMERY Kwa Msimu mmoja na Nusu dhidi ya Mtu aliye na Misimu 5!? Kingine umezungumza Kuhusu IDENTITY lakini Umekwepa Hoja yangu Juu pale Kuhusu EMERY kufanya kazi bila Mtendaji wa Michezo.
IDENTITY ni Ipi unaisemea wewe na Misimu karibu Miwili ARTETA Kacheza na Beki watano? Kitu Kimoja kinachomfanya ARTETA Kuyajenga yote hayo ni watu kutokuwa na Mategemeo naye makubwa na kuwa na Uongozi wenye Malengo sawa hasa Kumpa EDU, EMERY sajili zake asilimia kubwa zilikuwa ni Ripoti ya Mkuu wenu wa Scouting na yeye ilikuwa kupitisha tu, Targets zake nyingi hajapata sababu ya kutokuwa na Mtu wa Kumsaidia kama ARTETA na EDU.
SALIBA alikuwa anatakiwa na UTD, BVB, SEVILLA, ROME, hili Dili EMERY alilifanya na Yeye ndo alietaka kuwepo na Kipengele cha yeye kubaki ST. ETIENNE, ARTETA hana say kwenye Hilo.
Mnasema Kuhusu TALENT ID, Mzee kuna mchezaji gani umenitajia hapo amekuja akiwa Unproven? ODE yupo na Miaka 15 Kila timu kubwa ilikuwa inamtaka, MADRID mwisho wa siku ikikuuza haina Uhitaji na wewe na hata Leo ODE hana namba kwenye MD ya Madrid.
KIZURI UMEKUWA NA KAULI NZURI KWAMBA EMERY HAKUWA MBAYA, ILA ARTETA UME-OVERRATE MENGI, EMERY Ni Mwalimu haswa Hakuaminiwa na Kupata Muda wa kutosha ARSENAL na kuwa na watu sahihi.
Umewahi kusikia kuhusu FFP?Sir jim kaja muda muafaka january alete hata wachezaji wawili tu wa maana
Saliba unayedai alisajiliwa na Emery wakati uongo
Arsenal ya Arteta Ni ya 2 duniani kwa Most valuable squad
Edu kafanya kazi na Emery labda Kama hujui
Kwanza kubali umedanganya Emery hakuwasajili Saliba, Martinelli,hata Pepe
Nimekupa Hadi aliowasajili Ni Fransis Cagigao
Tizama Kauli zako namna zinakinzana. Wewe ndo Umesema ARTETA katumia Mifumo Mitatu tu, Wewe umekuja sema ARTETA katumia Mifumo Miwili tu. KIPI ni KIPI.Arteta alitumia mfumo wa 3-4-3 kwa sababu wachezaji wale aliowakuta hawakuwa wanaendana na Falsafa yake ,na baada ya hapo aliingia kwenye 4-3-3 mpaka Leo hajawahi kubadilika
Natamani ujue tofauti ya back 3 na back 5.Hakuna NILIPODANGANYA Wewe umesem kwamba MILISTANT alikuwa ni DIRECTOR OF FOOTBALL nasubiri hiyo sehemu inayoonyesha Hivyo!
EMERY Hajawahi kuwa na DOF Arsenal na ARTETA ameanza kuwa na DOF Msimu wake wa 3! EDU Hakupewa Maamzuzi Yote ya Kuwa DOF mpaka msimu 2022, Kabla alikuwa kama Mkurugenzi Masuala ya Ufundi.
Nataka Unitajie Mwalimu wa ARSENAL aliyemsajili SALIBA, MARTINELLI, Ni mwalimu Yupi. Na Ngoja Nikwambie Hakuna Scout anasajili Mchezaji hizo ni ripoti wanaleta tu.
EMERY ndo kamtengeneza Aliemtengeza ALBA, ISCO, ALCACER, PINO na wengine wengi na akiwa na Umri wa ARTETA alikuwa ni Bingwa wa Michuano ya Ulaya.
Unajaza Articles za Magazeti bila Kunambia MAFANIKIO ya Mwalimu wako ni yapi? Nje ya PEP na KLOPP hakuna anayefika mafanikio ya EMERY Kwa walimu wote walobaki. Michezo 78 yake alokuwa kama mwalimu wa ARSENAL na Michezo 78 ya ARTETA, kamzidi ARTETA kila Kitu. Kitu pekee ARTETA anachomzidi ni kuzuia kwa sababu alikuwa anacheza na Mabeki 5, Mfumo wa 3~4 ama 3~5 ni wa kuwa na walinzi 5.
Nimekupa ushahidi wa Fabregas akiwasiliana na Cagigao kuhusu amuangalie SalibaTizama Kauli zako namna zinakinzana. Wewe ndo Umesema ARTETA katumia Mifumo Mitatu tu, Wewe umekuja sema ARTETA katumia Mifumo Miwili tu. KIPI ni KIPI.
Hakuna Skauti yeyote Ulimwenguni anayeweza fanya USAILI Wa Mchezaji. Akishamaliza fanya Utafiti wake huwa anakabidhi ripoti ya Mchezaji kwa Mtendaji wa Michezo na Meneja wa Timu. WEWE unasema SKAUTI WENU KAMSAJILI SALIBA, MARTINELLI & co.
HAMISI kumkataa kwako EMERY haiondoi Ubora wake, Msimu wake wa Kwanza kamaliza na ARSENAL nafasi ya 5, Msimu wa Pili kaiacha timu nafasi ya 8 na ndo nafasi ARTETA kamaliza misimu miwili ilofata, Msimu wa 5 Huu wa ARTETA kombe Yupo nalo Ni Moja tu!
Nimerudia kwambia katika Michezo 78 ya EMERY ARSENAL na Michezo 78 ya ARTETA Niletee takwimu zinazoonyesha kuwa ARTETA alikuwa bora ila unaruka tu nakuja na taarifa zako za kina Daily Mirror. Mwaka Jana GK alokuwa na thamani zaidi ni Ramsdale. Hizi taarifa zisikufumbe macho Jamaa, Leo Mkipewa 30-45 mnabeba.
ARSENAL Haijawahi kuwa na D.O.F Mpaka mwaka 2022. Ila WEWE Ulikuwa unaye DIRECTOR WAKO!
ODE Madrid kacheza sehemu kubwa Castilla, na nikwambie tu Madrid ya sasa hachezi. Unitajie nani anakaa nje mpisha ODE.
Huyo jamaa hajui vitu vingi Sana kuhusu ArsenalNatamani ujue tofauti ya back 3 na back 5.
Ikichezwa back 3 means kuna LWB na RWB hawa wataassist kutrack back na kupeleka mbele mashambulizi mara nyingi wana spid na skills.
Back 5 ni 3 CBs na fullbacks kabisa na siyo wingbacks. Formations za mabeki 5 ni 5 2 1 2, 5 3 2, 5 4 1 n.k
Sasa ni lini Arteta kachezesha 3 CBs na 2 full backs kisha akacheza hizo variations za back 5?
Sasa hivi Pep anacheza back 3. Formation yake ni 3 2 4 1. 3 CBs na 2 CBs ndiyo anawafanya DM, huyu ukisema anachezesha mabeki 5 utakua sahihi.
Sasa lete mechi Arteta aliingiza mabeki 5
Jamaa Mwalimu sana. Namwona AC Milan ama NapoliDah kweli makocha wakali wanaongezeka
Nadhani hapa Umemaliza kabisa kuhusu hii hoja. ARTETA alikuta Lwb/RwB wengi wasokizi mahitaji ya Kucheza Back 3 Miles, Kolasinak, et al. Ila baadae akaja watumia Saka na Bellerin zaidi na kumuongeza Cedric.Ikichezwa back 3 means kuna LWB na RWB hawa wataassist kutrack back na kupeleka mbele mashambulizi mara nyingi wana spid na skills
Hujajibu chochote Nilichouliza Ila kwa Heshima Wadau wameomba tuhamishie Mjadala Jukwaa la ARSENAL unitag ukiwa na Majibu.Nimekupa ushahidi wa Fabregas akiwasiliana na Cagigao kuhusu amuangalie Saliba
Emery hajawahi kusajili mchezaji Arsenal ,na aliowapendekeza hawakuletwa akiwepo Nzonzi ,Pepe
Kwahiyo usiongee uongo
Hata kwa Arteta Kuna wachezaji ni report ya Cagigao akiwepo Partey
Madrid hii ambayo Hadi kina Kepa ,Ceballos ,camavinga wanacheza ndio unauliza ode anacheza wapi
Bro hata ETH ana takwimu nzuri za mwanzo ila performance mbovu
Emery hakuhukumiwa kwa matokeo ,Ni Hadi performance kitu ambacho kwa Arteta , graph ilikuwa inapanda
Ndio maana mm nilimkataa ETH humu humu kwa Mara ya kwanza,mnacheza Vs Arsenal mwaka Jana mnashinda 3-1
Nilisema humu mmeshinda ila kwa performance hii hapa Hakuna kocha ,
Nakuwekea hapa chini uone EMERY alivyokuwa hana mifumo Wala first eleven
Narudia Tena Kushinda mechi za awali 78 sio kigezo au sample size
Emery ndiye kocha wa ovyo kupita Arsenal
Wachezaji wa PSG walikiri akiwepo Motta ,Thiago Silva walisema hana mbinu
Mimi naishia hapa nadhani ukweli utakuwa umeupata ,ukikaza fuvu sawa
Hata mwanzo wakati mnashinda ,niliposema ETH sio kocha Ni average nilibishiwa ,Leo kila kitu kipo wazi