2-0Nyie subirini tu muda wenu ufike mkandwe na livaphumbu.
Msiba inabidi usafirishwe, ila Kauli za wanandugu wanasema ata mkizika huko huko haina shidaWestham vs nyumbu
Nyumbu Leo mnaingia uwanjani Kama underdog, ukibisha kaangalie betting wameweka vipi odd
Wachezaji hawamtaki kocha.Huyu kocha hamna kitu.
Anang'ang'ana na wachezaji wajinga.
.bora angekuwa anafungwa akiwa na kikosi B.
.kikosi A wote wavivu.
Hao walio sub woteee wanatakiwa wasiwepo Manchester![]()
Hata tukikaza utumbo hakuna jipya zaidi ya kichapoTunafuata na aston villa kheee tukaze moyo tu.
Rashford na Bayindir wanastahili kubaki. Rashford uzawa unambeba kukamilisha idadi ya wazawa kwenye kikosi, pia quality yake kama squad player ni nzuri.Hao walio sub woteee wanatakiwa wasiwepo Manchester