Naelewa kuhusu build up ya 3 2 lakini sidhani kama ni lengo la Pep akiweka back 3 na 2 akaweka CBs pia.Jamaa Mwalimu sana. Namwona AC Milan ama Napoli
Nadhani hapa Umemaliza kabisa kuhusu hii hoja. ARTETA alikuta Lwb/RwB wengi wasokizi mahitaji ya Kucheza Back 3 Miles, Kolasinak, et al. Ila baadae akaja watumia Saka na Bellerin zaidi na kumuongeza Cedric.
Timu za ITALY zenyewe Set up yao huwa 3~5~2 haina nafasi ya AM's ila zinabebwa na DLP, Germany na Ned wanatumia zaidi 3~4~2~1 or 3~4~3 Zenyewe zinatoa nafasi kwa AM's zaidi na Nafasi zinatengenezwa na WB's
Pep umemzungumzia ila anachokifanya sio set Up ni Build Up ya 3~2 kitu ambacho Bielsa amekifanya sana na Bilbao akiwa na Ander na J. Martinez na EPL na Championship kakifanya sana akimtumia Philips na Ben white kama Libero.
UTD inateseka kwa sababu Build Up yake inakuwa na 3~1 na Am's zaidi ya Mmoja kunakuwa na Gape kubwa kati na ushahidi wa karibuni ni goli la KUDUS jana.
Kwa Heshima mkali hii itakuwa Quote ya Mwisho kuijibia hapa wadau wanataka zungumzia Umiliki mpya wa SJR, nitag kwa Jukwaa la Arsenal kama kuna zaidi
Anyway, mimi pia hii ni quote ya mwisho ngoja nifanye maisha mengine

pesa mingi san glazzers wame mwaga ila amna kitu pale 