Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nimemaliza ,kama huelewi ,sina msaada zaidi ya hapo
Mbn mmeongea vizuri mmeshindwa kueleweshana mwishoni. Ukiiangalia structure ya arsenal pre arteta ilikuwa hivi,
1. Head of recruitment alikuwa raul sanlehi. Huyu sajili zote kafanya yeye assisted with in house data team, scouting reports na network zake za ma agents. Yaan huyu ndo ana final say ya sajili.
2. CEO, Vinai
3. First team head coach - Unai emery. Huyu alikuwa purely kocha wa nyasini. Na ata ikitokea ana pendekeze mfano zaha, anapeleka kwa no 1. Yeye ndo ataamua asajili au la.

Then baada ya arteta kuja.
Structure mpya iko hivi...
1. Director of football - Edu
2. Head of football operations - Richard garlick
3. 1st team manager - mikel arteta.
 
Ishu sio Suala la Muda tu Jamaa. Lazima kuwe na Watu sahihi wa Mpira.
Kuanzia MOYES Mpaka ETH watoa Maamuzi wengi UTD wamekuwa kama Soka la Bongo. Huyu STEWART Hundi zinapita kwao, Unategemea nini na hakuna anayefahamu masuala ya Kimichezo?

ETH Mafanikio yake AJAX ni Muundo, CEO EDWIN, D.O.F MARC na ARSENAL Kabla ya Kumuamini EDU naye alikua moja ya Majina tajwa ya Nafasi Hiyo, Kinarahisisha hata Utendaji kazi Ushahidi Juu ya Hilo tizama timu Ilipo sasa AJAX. PEP kuna wachezaji Ripoti zinapitiwa na TXIKI na SORRIANO anakuja Pitisha tu maana wanazungumza lugha 1.

UTD Hata Iwe na Pep kama Coach wa MD, KLOPP awe Coach wa Wings, Mou awe Wa DF, Kwa Muundo uliopo sasa wa Kina Murtough, Fletcher ambae kazi yake haijulikani, Stewart na Genge lao, mafanikio sio Leo wala kesho. {HAKUNA MWALIMU YEYOTE ANAYEWEZA FAULU}
Uzuri 25% za yule ineos boss wameamua kumwachia adeal na mambo ya football operations. So huenda mambo yakaenda vizuri mkapata a proper, small circle of people who mean business, and by business, yaani ni watu wa soka.
 
20231225_170749.jpg

We zombie 😂😂😂
 
Game ambayo ni point 3 za bure kwa Villa
Unai last season alipopewa tu timu akatuweka 4+ Villa park tukaja kumuotea 4-2 OT...Sasa naleo nahuu ubovu wetu tutakula 3-0 kiroho safi tunarudi nafasi ya 10 na pwenti zetu 29
 
Game ambayo ni point 3 za bure kwa Villa
Unai last season alipopewa tu timu akatuweka 4+ Villa park tukaja kumuotea 4-2 OT...Sasa naleo nahuu ubovu wetu tutakula 3-0 kiroho safi tunarudi nafasi ya 10 na pwenti zetu 29
Manunu anashinda....nimewaangalia Villa wanakuzwa tu lakini hamna timu ya kutisha kabisa....mkiwasimanga kama mlivyowasimanga Chelkenge siku ile mnashinda kiwepesi kabisa
 
nafikiri habari za kuondoka kwa John Murtough zinaweza kuwa nzuri kama habari za INEOS kuwa na maamuzi ya upande wa masuala ya mpira.

Zama zimebadilika sana, uongozi mzuri wa masuala ya mpira unaamua timu isimame wapi..

Ten Hag alifanya vizuri Ajax sababu aliwekewa msingi mzuri ambao yeye alitakiwa kuufuata tu... Inawezekana hata game plan na first eleven nyingi alisaidiana na technical director kuandaa.

Leo hii Ten Hag anashindwa kwenye kila sajili kila anaotaka wanakuwa sio Bora kama matarajio yake nafikiri board kukubali kumpa baadhi ya mamlaka ya kufanya maamuzi Ten Hag sio sahihi...

team yetu imekosa identify ya kiuchezaji, imekosa identify ya wachezaji tunaowahitaji (hatujui tunamhitaji mchezaji gani) , wrong profile wrong coach

Naona Ten Hag kwenye press anasema hataki cheza kama Ajax anataka cheza United way ... Je Board walikubaliana nae hili?? na je board walijua Ten Hag anaweza cheza hiyo United way? Maana sasa Ten Hag ameshindwa cheza zote sio Ajax way wala United way..

Sir David Brailsford na Jean-Claude Blanc watamhitaji pia Paul Mitchell kuongezea nguvu katika kufanya maamuzi na reshape ya timu, usajili, academy etc...

kwa team yetu kununua wachezaji wa mil100 sio sahihi kwa sasa we need a team kisha ndio tuongezee key players... tuishie mil 60 kutegemeana na potential ya mchezaji...

Kuhusu kocha nafikiri ana shida, ni mwaka wa pili ila identify yake hana, na team inafungwa....mashabiki tusingekuwa na shida kama Ten Hag angecheza mpira mzuri na tufungwe....ila hamna cha msingi kinachoongezeka na kilakitu kinazidi kuwa kibaya....Mc Tominay sababu alifunga two goals amekuwa alicheza 10 na Bruno best creator wa timu hawi hata Mita 18 kutokea goli lilipo na muda mwingine anacheza 7 shocking kutoka kwa Ten Hag...

Nafikiri hatutakuwa na champions League mwakani,....maamuzi juu ya Ten Hag yafanyike kabla msimu haujaisha.
 
Umewahi kusikia kuhusu FFP?
Wakuu mjue wengi wetu tunakosa utamu wa majukwaa ya hizi team zetu pendwa kwa sababu za kijinga ambazo Boss Maxence Melo ameshindwa kuzitatua karibia mwezi wa 7 sasa

Hebu tusaidiane wenyewe kwenye hili, kuna link ya jamii forum ambayo ilikuwa haisumbui nilipewa na raia humu ila nikalogwa Ku update app ndo nikarudi kwenye haya matatizo ya kushindwa kufungua baadhi ya majukwaa na picha

Naombeni hiyo link kwa yoyote yule ambae anaweza kunisaidia ili tuendelee kupigana spana vizuri humu, saiz naingia jukwaa la Nyumbu tu kwingine haiwezekani, ata wale ambao sijawatag ila Kama unajua solution basi usisite kutoa msaada

Castr allypipi lembu arsenal2004 hamis77 El Tiger Mkohoti computerarsenal Aaron Arsenal
 
Back
Top Bottom