Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Jamaa Mwalimu sana. Namwona AC Milan ama Napoli

Nadhani hapa Umemaliza kabisa kuhusu hii hoja. ARTETA alikuta Lwb/RwB wengi wasokizi mahitaji ya Kucheza Back 3 Miles, Kolasinak, et al. Ila baadae akaja watumia Saka na Bellerin zaidi na kumuongeza Cedric.

Timu za ITALY zenyewe Set up yao huwa 3~5~2 haina nafasi ya AM's ila zinabebwa na DLP, Germany na Ned wanatumia zaidi 3~4~2~1 or 3~4~3 Zenyewe zinatoa nafasi kwa AM's zaidi na Nafasi zinatengenezwa na WB's

Pep umemzungumzia ila anachokifanya sio set Up ni Build Up ya 3~2 kitu ambacho Bielsa amekifanya sana na Bilbao akiwa na Ander na J. Martinez na EPL na Championship kakifanya sana akimtumia Philips na Ben white kama Libero.

UTD inateseka kwa sababu Build Up yake inakuwa na 3~1 na Am's zaidi ya Mmoja kunakuwa na Gape kubwa kati na ushahidi wa karibuni ni goli la KUDUS jana.
Kwa Heshima mkali hii itakuwa Quote ya Mwisho kuijibia hapa wadau wanataka zungumzia Umiliki mpya wa SJR, nitag kwa Jukwaa la Arsenal kama kuna zaidi
Naelewa kuhusu build up ya 3 2 lakini sidhani kama ni lengo la Pep akiweka back 3 na 2 akaweka CBs pia.

Anyway, mimi pia hii ni quote ya mwisho ngoja nifanye maisha mengine
 
Man u wangempa sapoti na muda Ole gunar Kama anayopewa ETH ,Man u ingekuwa mbali
 
Man u wangempa sapoti na muda Ole gunar Kama anayopewa ETH ,Man u ingekuwa mbali
Ishu sio Suala la Muda tu Jamaa. Lazima kuwe na Watu sahihi wa Mpira.
Kuanzia MOYES Mpaka ETH watoa Maamuzi wengi UTD wamekuwa kama Soka la Bongo. Huyu STEWART Hundi zinapita kwao, Unategemea nini na hakuna anayefahamu masuala ya Kimichezo?

ETH Mafanikio yake AJAX ni Muundo, CEO EDWIN, D.O.F MARC na ARSENAL Kabla ya Kumuamini EDU naye alikua moja ya Majina tajwa ya Nafasi Hiyo, Kinarahisisha hata Utendaji kazi Ushahidi Juu ya Hilo tizama timu Ilipo sasa AJAX. PEP kuna wachezaji Ripoti zinapitiwa na TXIKI na SORRIANO anakuja Pitisha tu maana wanazungumza lugha 1.

UTD Hata Iwe na Pep kama Coach wa MD, KLOPP awe Coach wa Wings, Mou awe Wa DF, Kwa Muundo uliopo sasa wa Kina Murtough, Fletcher ambae kazi yake haijulikani, Stewart na Genge lao, mafanikio sio Leo wala kesho. {HAKUNA MWALIMU YEYOTE ANAYEWEZA FAULU}
 
Ishu io Suala la Muda tu Jamaa. Lazima kuwe na Watu sahihi wa Mpira.
Kuanzia MOYES Mpaka ETH watoa Maamuzi wengi UTD wamekuwa kama Soka la Bongo. Huyu STEWART Hundi zinapita kwao, Unategemea nini na hakuna anayefahamu masuala ya Kimichezo?

ETH Mafanikio yake AJAX ni Muundo, CEO EDWIN, D.O.F MARC na ARSENAL Kabla ya Kumuamini EDU naye alikua moja ya Majina tajwa ya Nafasi Hiyo, Kinarahisisha hata Utendaji kazi Ushahidi Juu ya Hilo tizama timu Ilipo sasa AJAX. PEP kuna wachezaji Ripoti zinapitiwa na TXIKI na SORRIANO anakuja Pitisha tu maana wanazungumza lugha 1.

UTD Hata Iwe na Pep kama Coach wa MD, KLOPP awe Coach wa Wings, Mou awe Wa DF, Kwa Muundo uliopo sasa wa Kina Murtough, Fletcher ambae kazi yake haijulikani, Stewart na Genge lao, mafanikio sio Leo wala kesho. {HAKUNA MWALIMU YEYOTE ANAYEWEZA FAULU}
Wewe huna kocha sikiliza unalo ambiwa...

Body ina makosa sawa, ila wamiliki wanamwaga pesa sio poa.

refer,

Antony aka masebene pesa mingi san glazzers wame mwaga ila amna kitu pale

Casimiro huyu babu et mlitoa hela yote ile ( huyu alikua ni wa short time tu et mkatia 70 uko, ni hela zenu sawa ila mlipigwa.

Malacia injury prone afu badoo ajaonesha kitu ila anamatumaini.

Ni mengi sana mazuri ya glazzers kuliko hata ayo mabaya.

Wachezaji wote walio takiwa na jasusi alipewa,,Kama alichaguliwa basi ni mja au wawili tu.

Best sign ya jasusi ni lisandro Martinez sema Hana bahati ili jeraha alilo pata lina mnyima kwa sana posho.

Note: kila timu inapigwa hakuna timu isiyo pigwa na body sijui management, ila kuna namna tu zingine timu zinapigwa kibongo bongo yani,
kama amna bisha uliza chelkenge fc.

I hate red devil's
 
Wewe huna kocha sikiliza unalo ambiwa...

Body ina makosa sawa, ila wamiliki wanamwaga pesa sio poa.

refer,

Antony aka masebene pesa mingi san glazzers wame mwaga ila amna kitu pale

Casimiro huyu babu et mlitoa hela yote ile ( huyu alikua ni wa short time tu et mkatia 70 uko, ni hela zenu sawa ila mlipigwa.

Malacia injury prone afu badoo ajaonesha kitu ila anamatumaini.

Ni mengi sana mazuri ya glazzers kuliko hata ayo mabaya.

Wachezaji wote walio takiwa na jasusi alipewa,,Kama alichaguliwa basi ni mja au wawili tu.

Best sign ya jasusi ni lisandro Martinez sema Hana bahati ili jeraha alilo pata lina mnyima kwa sana posho.

Note: kila timu inapigwa hakuna timu isiyo pigwa na body sijui management, ila kuna namna tu zingine timu zinapigwa kibongo bongo yani,
kama amna bisha uliza chelkenge fc.

I hate red devil's
Mwalimu wako ana mafanikio yapi ndani ya Kipindi cha miaka 5 ambayo Yupo na Nyie?
Ushasema unaichukia UTD, kwa hiyo Unatoa maoni kwa hisia zaidi.

HOWE alikuwa na Project Nzuri Bournemouth lakini Bodi ilimkwamisha akaishusha timu Daraja, Leo bodi yake timu Nyingine inaeleweka kawapeleka mpaka UCL. Arsenal mmeanza ona Njia baada ya Msimu wa 3 wa Mwalimu wenu na kuanza fanya kazi na Director of Football.

Ambacho nadhani hujafatilia ni kuhusu Sajili. ETH hajafika UTD alishatuma aina ya sajili anataka. Martinez umemsema ila ilitokea tu maana yeye alihitajiwa na Arsenal ila akamtafuta ETH kama atamhitaji. Murtough alikwamisha usajili wa Jude, Haaland, Hojlund, Enzo, Alvarez, Diaz, Caicedo, Palacio n.k.

Antony alikuwa amethaminishwa 25m na Skauti ya UTD. Kipindi cha ETH, Murtough kawatafuta Ajax mwenyewe kawaambia hawalipi zaidi ya 60. Edwin akafanya kama kuwa-challenge, waliishia toa 80m+ sababu hakukuwa na Plan B. ETH sajili alitaka ST, LCB, CM na alimtaka KANE kama chaguo la kwanza ila menejimenti ya Kimchongo ya UTD iligoma fanya yote hayo ikaishia fanya sajili za Kupaniki.
 
Mwalimu wako ana mafanikio yapi ndani ya Kipindi cha miaka 5 ambayo Yupo na Nyie?
Ushasema unaichukia UTD, kwa hiyo Unatoa maoni kwa hisia zaidi.

HOWE alikuwa na Project Nzuri Bournemouth lakini Bodi ilimkwamisha akaishusha timu Daraja, Leo bodi yake timu Nyingine inaeleweka kawapeleka mpaka UCL. Arsenal mmeanza ona Njia baada ya Msimu wa 3 wa Mwalimu wenu na kuanza fanya kazi na Director of Football.

Ambacho nadhani hujafatilia ni kuhusu Sajili. ETH hajafika UTD alishatuma aina ya sajili anataka. Martinez umemsema ila ilitokea tu maana yeye alihitajiwa na Arsenal ila akamtafuta ETH kama atamhitaji. Murtough alikwamisha usajili wa Jude, Haaland, Hojlund, Enzo, Alvarez, Diaz, Caicedo, Palacio n.k.

Antony alikuwa amethaminishwa 25m na Skauti ya UTD. Kipindi cha ETH Jamaa kawatafuta Ajax mwenyewe kawaambia hawalipi zaidi ya 60. Edwin akafanya kama kuwa-challenge, waliishia toa 80m+ sababu hakukuwa na Plan B. ETH sajili alitaka ST, LCB, CM na alimtaka KANE kama chaguo la kwanza ila menejimenti ya Kimchongo ya UTD iligoma fanya yote hayo ikaishia fanya sajili za Kupaniki.

So tatizo ni management ya usajili?
 
So tatizo ni management ya usajili?
Hiyo ni Sehemu ya Tatizo. Mashabiki masuala ya Kifedha huwa hayawahusu sana, wanachohitaji ni Mafanikio Uwanjani. Huwezi yapata haya kama Huna watu wanaorahisisha kazi ya Mwalimu Uwanjani na Hawa ni Watoa Maamuzi ya Kimichezo. {Mtizame KLOPP kama wamekuwa sawa tangu aondoke Edwards}

Sajili Nyingi UTD tangu kuondoka Fergie zimekaa kibiashara. Kwenye Post hapo kuna Sajili tulozikosa na wameenda kuwa Wachezaji wazuri sana kwingine, Inamaanisha kwamba UTD wana Scouting Network Nzuri sana lakini watoa Maamuzi Bora ya Kimichezo hawapo! Mwishowe Inalipa Gharama sio na Wachezaji kuwa na Pressure ya Bei ambazo kiuhalisia zinaathiri Mpaka Uchezaji wao.

TATIZO KUBWA NI MUUNDO WA KIUTENDAJI TOKEA JUU.
 
Nimemaliza ,kama huelewi ,sina msaada zaidi ya hapo
Mbn mmeongea vizuri mmeshindwa kueleweshana mwishoni. Ukiiangalia structure ya arsenal pre arteta ilikuwa hivi,
1. Head of recruitment alikuwa raul sanlehi. Huyu sajili zote kafanya yeye assisted with in house data team, scouting reports na network zake za ma agents. Yaan huyu ndo ana final say ya sajili.
2. CEO, Vinai
3. First team head coach - Unai emery. Huyu alikuwa purely kocha wa nyasini. Na ata ikitokea ana pendekeze mfano zaha, anapeleka kwa no 1. Yeye ndo ataamua asajili au la.

Then baada ya arteta kuja.
Structure mpya iko hivi...
1. Director of football - Edu
2. Head of football operations - Richard garlick
3. 1st team manager - mikel arteta.
 
Ishu sio Suala la Muda tu Jamaa. Lazima kuwe na Watu sahihi wa Mpira.
Kuanzia MOYES Mpaka ETH watoa Maamuzi wengi UTD wamekuwa kama Soka la Bongo. Huyu STEWART Hundi zinapita kwao, Unategemea nini na hakuna anayefahamu masuala ya Kimichezo?

ETH Mafanikio yake AJAX ni Muundo, CEO EDWIN, D.O.F MARC na ARSENAL Kabla ya Kumuamini EDU naye alikua moja ya Majina tajwa ya Nafasi Hiyo, Kinarahisisha hata Utendaji kazi Ushahidi Juu ya Hilo tizama timu Ilipo sasa AJAX. PEP kuna wachezaji Ripoti zinapitiwa na TXIKI na SORRIANO anakuja Pitisha tu maana wanazungumza lugha 1.

UTD Hata Iwe na Pep kama Coach wa MD, KLOPP awe Coach wa Wings, Mou awe Wa DF, Kwa Muundo uliopo sasa wa Kina Murtough, Fletcher ambae kazi yake haijulikani, Stewart na Genge lao, mafanikio sio Leo wala kesho. {HAKUNA MWALIMU YEYOTE ANAYEWEZA FAULU}
Uzuri 25% za yule ineos boss wameamua kumwachia adeal na mambo ya football operations. So huenda mambo yakaenda vizuri mkapata a proper, small circle of people who mean business, and by business, yaani ni watu wa soka.
 
20231225_170749.jpg

We zombie 😂😂😂
 
Back
Top Bottom