D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,022
Nkunku kafunga, hojlund ajiandae na matusi ya nguoni pamoja na washabiki wa timu hii
Amemuendekeza Rashford.
Erick 7hag "wewe fala nitakupiga na jiwe"
Una Chuki na EMERY, nambie ARTETA lini kashawahi kuwa na Mfumo mmoja kwa kipindi cha Misimu 3 ya kwanza.
ARTETA ndo Huyu alikuwa anaitwa BUSTETA kwa kucheza na Mabeki 5, na alikuwa anamtumia SAKA kama Wingback na alikuwa anataka Muuza mpaka Klopp alikuwa Moja ya watu walomtaka.
Huu Ni uongo mkubwa
Ulishawahi kuwafuatilia Bologna ya Tiago Motta?Ilifikia kipindi ilibidi niangalie utaifa wa yule kocha wa Wolves. Wanacheza mpira mzuri kuliko baadhi ya timu ambazo zipo juu yao.
Kama Burnley tu
Una Chuki na EMERY, nambie ARTETA lini kashawahi kuwa na Mfumo mmoja kwa kipindi cha Misimu 3 ya kwanza.
ARTETA ndo Huyu alikuwa anaitwa BUSTETA kwa kucheza na Mabeki 5, na alikuwa anamtumia SAKA kama Wingback na alikuwa anataka Muuza mpaka Klopp alikuwa Moja ya watu walomtaka.
Hamisi Mbona UNAONGOPA ndugu yangu?? ARSENAL ya WENGER ilikataaga Nafasi ya Mkurugenzi wa Michezo "DOF" na WENGER alipendekezewa Jina la GAZIDIS akamkataa MICHAEL ZORC, na Hamjawahi kuwa na Wachezaji hao wazuri unaosema. SVEN alikuwa ni "HEAD OF SCOUTING" Arsenal wewe unatuambia ni DIRECTOR OF FOOTBALL" Wa ARSENAL ipi Hiyo?
Yani EMERY NI POOR Kwenye TALENT ID! Naweza ingia Imani hili neno unapenda litumia lakini Labda unalielewa Tofauti. EMERY ndo Mwalimu aliemsajili SALIBA, LENO , TIERNEY, CEBALLOS, MARTINELLI, ambao alikuwa anaanza tengeneza timu. Amemtoa SAKA, SMITH ROWE academy. Nitajie Jina moja mpo nalo kwenye KIKOSI Chenu cha kwanza ARTETA amemtoa ACADEMY, Kingine nitajie Mchezaji ARTETA kamsajili hana Jina kamfanya kuwa WORLD CLASS.
Najua Wengi wenu Mliitelekeza ARSENAL, Nikwambie tu Sajili ya PEPE ni ya Bodi yenu sababu za Kibiashara ila EMERY alimtaka ZAHA. Kuuzwa kwa SAKA ilikuwa ishu ya BODI na masuala ya mkataba.
Mimi ni shabiki wa Arsenal ila nakuunga mkono kwenye mambo mengi uliyoandika hapa.Una Chuki na EMERY, nambie ARTETA lini kashawahi kuwa na Mfumo mmoja kwa kipindi cha Misimu 3 ya kwanza.
ARTETA ndo Huyu alikuwa anaitwa BUSTETA kwa kucheza na Mabeki 5, na alikuwa anamtumia SAKA kama Wingback na alikuwa anataka Muuza mpaka Klopp alikuwa Moja ya watu walomtaka.
Hamisi Mbona UNAONGOPA ndugu yangu?? ARSENAL ya WENGER ilikataaga Nafasi ya Mkurugenzi wa Michezo "DOF" na WENGER alipendekezewa Jina la GAZIDIS akamkataa MICHAEL ZORC, na Hamjawahi kuwa na Wachezaji hao wazuri unaosema. SVEN alikuwa ni "HEAD OF SCOUTING" Arsenal wewe unatuambia ni DIRECTOR OF FOOTBALL" Wa ARSENAL ipi Hiyo?
Yani EMERY NI POOR Kwenye TALENT ID! Naweza ingia Imani hili neno unapenda litumia lakini Labda unalielewa Tofauti. EMERY ndo Mwalimu aliemsajili SALIBA, LENO , TIERNEY, CEBALLOS, MARTINELLI, ambao alikuwa anaanza tengeneza timu. Amemtoa SAKA, SMITH ROWE academy. Nitajie Jina moja mpo nalo kwenye KIKOSI Chenu cha kwanza ARTETA amemtoa ACADEMY, Kingine nitajie Mchezaji ARTETA kamsajili hana Jina kamfanya kuwa WORLD CLASS.
Najua Wengi wenu Mliitelekeza ARSENAL, Nikwambie tu Sajili ya PEPE ni ya Bodi yenu sababu za Kibiashara ila EMERY alimtaka ZAHA. Kuuzwa kwa SAKA ilikuwa ishu ya BODI na masuala ya mkataba.
Una Chuki na EMERY, nambie ARTETA lini kashawahi kuwa na Mfumo mmoja kwa kipindi cha Misimu 3 ya kwanza.
ARTETA ndo Huyu alikuwa anaitwa BUSTETA kwa kucheza na Mabeki 5, na alikuwa anamtumia SAKA kama Wingback na alikuwa anataka Muuza mpaka Klopp alikuwa Moja ya watu walomtaka.
Hamisi Mbona UNAONGOPA ndugu yangu?? ARSENAL ya WENGER ilikataaga Nafasi ya Mkurugenzi wa Michezo "DOF" na WENGER alipendekezewa Jina la GAZIDIS akamkataa MICHAEL ZORC, na Hamjawahi kuwa na Wachezaji hao wazuri unaosema. SVEN alikuwa ni "HEAD OF SCOUTING" Arsenal wewe unatuambia ni DIRECTOR OF FOOTBALL" Wa ARSENAL ipi Hiyo?
Yani EMERY NI POOR Kwenye TALENT ID! Naweza ingia Imani hili neno unapenda litumia lakini Labda unalielewa Tofauti. EMERY ndo Mwalimu aliemsajili SALIBA, LENO , TIERNEY, CEBALLOS, MARTINELLI, ambao alikuwa anaanza tengeneza timu. Amemtoa SAKA, SMITH ROWE academy. Nitajie Jina moja mpo nalo kwenye KIKOSI Chenu cha kwanza ARTETA amemtoa ACADEMY, Kingine nitajie Mchezaji ARTETA kamsajili hana Jina kamfanya kuwa WORLD CLASS.
Najua Wengi wenu Mliitelekeza ARSENAL, Nikwambie tu Sajili ya PEPE ni ya Bodi yenu sababu za Kibiashara ila EMERY alimtaka ZAHA. Kuuzwa kwa SAKA ilikuwa ishu ya BODI na masuala ya mkataba.


Mambo mengi 99% kaongea Ni uongoMimi ni shabiki wa Arsenal ila nakuunga mkono kwenye mambo mengi uliyoandika hapa.
Mbona bado unadanganya ,Emery alifanya kazi na Edu na hawakuendana kabisa kiamonoTimu Haiezi fanya Poa kama Ina Muundo Wa Uongozi Upo usoeleweka Juu, EMERY ARSENAL na wanakwambia ni Mwalimu mbovu kuwahi tokea, Alihitaji msaidizi wakamnyima ARTETA ana Mwaka wa 5 na Kombe 1 sasa sijui Ndo maana ya Mafanikio kwao ama la.
Walimu wa zamani walikuwa wanaamini Mtendaji Mkuu anatosha na ulikuwa ukipata Mtendaji Mzuri ndo Umeula. Mourinho Moja ya sajili Bora anajinasibu akiwa Chelsea ni PETER KENYON toka UTD, huyu jamaa FERGIE Ilimuuma sana ila akaenda na GILL na wakawa na Maelewano mazuri sana. WENGER mtu wake alikuwa IVAN GAZIDIS.
MAJUKUMU Yote alikuwa anaamua Mwalimu na Ndo maana EPL wana MANAGERS, hata ARTETA Kuja ARSENAL Hakuwa MANAGER alianza kama HEAD COACH.
ARTETA aliaminiwa akapewa EDU, Lakini walishindwa Mpa EMERY mtu wake wa kazi Monchi, leo wanakwambia ALIFELI Arsenal!
Niliwaambia NASUBIRI Takwimu za KUFELI Kwake Tukiwalinganisha na ARTETA na Bado NAZISUBIRI.
Asee Sir Jim on House![]()
Ndiyo Club imeshapost kwenye website yakeIs this confirmed
Confirmed.Is this confirmed
Chini ya Emery Arsenal iliwasajili Denis, Sokratis, Ceballos, Stephan, Matteo, Torreira hawa wote siyo World Class na hawakuweza kuja kua nafikiri labda Matteo anaweza toka kwenye hili kapu.
Kumbuka Emery kilichomsumbua Arsenal ni kutokua na identity. Alifanya sajili 12 ila bado ilikua haitoi picha missing piece ni nani. Nitakupa mfano, Arteta wakati anamsajili Partey missing piece was AM, mashabiki tulijua AM akija timu itaclickyi k
Unawezaje Mhukumu EMERY Kwa Msimu mmoja na Nusu dhidi ya Mtu aliye na Misimu 5!? Kingine umezungumza Kuhusu IDENTITY lakini Umekwepa Hoja yangu Juu pale Kuhusu EMERY kufanya kazi bila Mtendaji wa Michezo.Kunavitu huwezi kuoversee
Chini ya Emery Xhaka akaonekana hafai.
Mchezaji aliyekua anaongoza kupiga pasi ligi ya Uingereza ghafla akawa hafikishi pasi 300+
Chini ya Emery Arsenal iliwasajili Denis, Sokratis, Ceballos, Stephan, Matteo, Torreira hawa wote siyo World Class na hawakuweza kuja kua nafikiri labda Matteo anaweza toka kwenye hili kapu.
Kumbuka Emery kilichomsumbua Arsenal ni kutokua na identity. Alifanya sajili 12 ila bado ilikua haitoi picha missing piece ni nani. Nitakupa mfano, Arteta wakati anamsajili Partey missing piece was AM, mashabiki tulijua AM akija timu itaclick.
Arteta alichofanya, akamrudisha Odegaard kwa permanent deal na kumuacha awe AM. Career ya Odegaard imepata sura mpya baada ya kuja Arsenal, nitafutie mchezaji wa Madrid ambaye alitolewa kwa mkopo na akaja kucheza miongoni mwa ligi 5 bora na akawa tegemeo. Hakimi siyo kwa PSG.
Sajili za Arteta ambazo zimestimulate careers ni ya Magalhaes, Tomiyasu, Ramsdale, White. Wengine hapo hawakua wakiitwa timu za taifa kabla Arteta hajawanoa. Martinelli na Saka same na hawakusajiliwa na Arteta.
Emery alimsajili Saliba lakini aliyemuangalia na kusema huyu aende kwa mkopo kisha arudi ni Arteta. Ramsdale kipa aliyeshuka daraja yupo in a world radar thanks to Arteta.
Chini ya Arteta watoto wafuatao wamejumuishwa kwenye kikosi cha wakubwa au wameanza kabisa Walters, Sagoe na Duberry. Patino kapelekwa kwa mkopo championship ili akirudi apimwe upya. Alimsajili Marquinhos, akamsajili beki Nuno na kiungo Lokonga.
Defense mbovu kabisa iliyowahi semwa haifundishiki Arteta anaanza nayo kazi inakua ni ya tatu kwa ubora. Hapo Emery katoka kulaumu defense vibaya mno.
Baada ya Wenger hakuna kocha aliyekuja ambaye alikua mbaya isipokua hatukua na kocha aliyeweza kukuza togetherness na winning spirit. Hichi ndicho Emery alishindwa ila sidhani kama unaweza sema Emery ni mbovu