Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 29,623
- 52,848
Asee Sir Jim on House![]()
Is this confirmed
Asee Sir Jim on House![]()
Ndiyo Club imeshapost kwenye website yakeIs this confirmed
Confirmed.Is this confirmed
Chini ya Emery Arsenal iliwasajili Denis, Sokratis, Ceballos, Stephan, Matteo, Torreira hawa wote siyo World Class na hawakuweza kuja kua nafikiri labda Matteo anaweza toka kwenye hili kapu.
Kumbuka Emery kilichomsumbua Arsenal ni kutokua na identity. Alifanya sajili 12 ila bado ilikua haitoi picha missing piece ni nani. Nitakupa mfano, Arteta wakati anamsajili Partey missing piece was AM, mashabiki tulijua AM akija timu itaclickyi k
Unawezaje Mhukumu EMERY Kwa Msimu mmoja na Nusu dhidi ya Mtu aliye na Misimu 5!? Kingine umezungumza Kuhusu IDENTITY lakini Umekwepa Hoja yangu Juu pale Kuhusu EMERY kufanya kazi bila Mtendaji wa Michezo.Kunavitu huwezi kuoversee
Chini ya Emery Xhaka akaonekana hafai.
Mchezaji aliyekua anaongoza kupiga pasi ligi ya Uingereza ghafla akawa hafikishi pasi 300+
Chini ya Emery Arsenal iliwasajili Denis, Sokratis, Ceballos, Stephan, Matteo, Torreira hawa wote siyo World Class na hawakuweza kuja kua nafikiri labda Matteo anaweza toka kwenye hili kapu.
Kumbuka Emery kilichomsumbua Arsenal ni kutokua na identity. Alifanya sajili 12 ila bado ilikua haitoi picha missing piece ni nani. Nitakupa mfano, Arteta wakati anamsajili Partey missing piece was AM, mashabiki tulijua AM akija timu itaclick.
Arteta alichofanya, akamrudisha Odegaard kwa permanent deal na kumuacha awe AM. Career ya Odegaard imepata sura mpya baada ya kuja Arsenal, nitafutie mchezaji wa Madrid ambaye alitolewa kwa mkopo na akaja kucheza miongoni mwa ligi 5 bora na akawa tegemeo. Hakimi siyo kwa PSG.
Sajili za Arteta ambazo zimestimulate careers ni ya Magalhaes, Tomiyasu, Ramsdale, White. Wengine hapo hawakua wakiitwa timu za taifa kabla Arteta hajawanoa. Martinelli na Saka same na hawakusajiliwa na Arteta.
Emery alimsajili Saliba lakini aliyemuangalia na kusema huyu aende kwa mkopo kisha arudi ni Arteta. Ramsdale kipa aliyeshuka daraja yupo in a world radar thanks to Arteta.
Chini ya Arteta watoto wafuatao wamejumuishwa kwenye kikosi cha wakubwa au wameanza kabisa Walters, Sagoe na Duberry. Patino kapelekwa kwa mkopo championship ili akirudi apimwe upya. Alimsajili Marquinhos, akamsajili beki Nuno na kiungo Lokonga.
Defense mbovu kabisa iliyowahi semwa haifundishiki Arteta anaanza nayo kazi inakua ni ya tatu kwa ubora. Hapo Emery katoka kulaumu defense vibaya mno.
Baada ya Wenger hakuna kocha aliyekuja ambaye alikua mbaya isipokua hatukua na kocha aliyeweza kukuza togetherness na winning spirit. Hichi ndicho Emery alishindwa ila sidhani kama unaweza sema Emery ni mbovu
Hakuna NILIPODANGANYA Wewe umesem kwamba MILISTANT alikuwa ni DIRECTOR OF FOOTBALL nasubiri hiyo sehemu inayoonyesha Hivyo!Mbona bado unadanganya ,Emery alifanya kazi na Edu na hawakuendana kabisa kiamono
Edu kafanya kazi na Emery labda Kama hujui
Sijaicheki, soka la kitabuni?Ulishawahi kuwafuatilia Bologna ya Tiago Motta?
Sijaicheki, soka la kitabuni?
Unawezaje Mhukumu EMERY Kwa Msimu mmoja na Nusu dhidi ya Mtu aliye na Misimu 5!? Kingine umezungumza Kuhusu IDENTITY lakini Umekwepa Hoja yangu Juu pale Kuhusu EMERY kufanya kazi bila Mtendaji wa Michezo.
IDENTITY ni Ipi unaisemea wewe na Misimu karibu Miwili ARTETA Kacheza na Beki watano? Kitu Kimoja kinachomfanya ARTETA Kuyajenga yote hayo ni watu kutokuwa na Mategemeo naye makubwa na kuwa na Uongozi wenye Malengo sawa hasa Kumpa EDU, EMERY sajili zake asilimia kubwa zilikuwa ni Ripoti ya Mkuu wenu wa Scouting na yeye ilikuwa kupitisha tu, Targets zake nyingi hajapata sababu ya kutokuwa na Mtu wa Kumsaidia kama ARTETA na EDU.
SALIBA alikuwa anatakiwa na UTD, BVB, SEVILLA, ROME, hili Dili EMERY alilifanya na Yeye ndo alietaka kuwepo na Kipengele cha yeye kubaki ST. ETIENNE, ARTETA hana say kwenye Hilo.
Mnasema Kuhusu TALENT ID, Mzee kuna mchezaji gani umenitajia hapo amekuja akiwa Unproven? ODE yupo na Miaka 15 Kila timu kubwa ilikuwa inamtaka, MADRID mwisho wa siku ikikuuza haina Uhitaji na wewe na hata Leo ODE hana namba kwenye MD ya Madrid.
KIZURI UMEKUWA NA KAULI NZURI KWAMBA EMERY HAKUWA MBAYA, ILA ARTETA UME-OVERRATE MENGI, EMERY Ni Mwalimu haswa Hakuaminiwa na Kupata Muda wa kutosha ARSENAL na kuwa na watu sahihi.


Chini ya Arteta msimu wake wa mwanzo tumecheza sana back 3. Na sababu ni ile ya kwamba defense yetu ilikua ina sifa ya kua mbovu. Arteta ilibidi aadopt mfumo ambao utamsaidia kua compact kwenye defense.Unawezaje Mhukumu EMERY Kwa Msimu mmoja na Nusu dhidi ya Mtu aliye na Misimu 5!? Kingine umezungumza Kuhusu IDENTITY lakini Umekwepa Hoja yangu Juu pale Kuhusu EMERY kufanya kazi bila Mtendaji wa Michezo.
IDENTITY ni Ipi unaisemea wewe na Misimu karibu Miwili ARTETA Kacheza na Beki watano? Kitu Kimoja kinachomfanya ARTETA Kuyajenga yote hayo ni watu kutokuwa na Mategemeo naye makubwa na kuwa na Uongozi wenye Malengo sawa hasa Kumpa EDU, EMERY sajili zake asilimia kubwa zilikuwa ni Ripoti ya Mkuu wenu wa Scouting na yeye ilikuwa kupitisha tu, Targets zake nyingi hajapata sababu ya kutokuwa na Mtu wa Kumsaidia kama ARTETA na EDU.
SALIBA alikuwa anatakiwa na UTD, BVB, SEVILLA, ROME, hili Dili EMERY alilifanya na Yeye ndo alietaka kuwepo na Kipengele cha yeye kubaki ST. ETIENNE, ARTETA hana say kwenye Hilo.
Mnasema Kuhusu TALENT ID, Mzee kuna mchezaji gani umenitajia hapo amekuja akiwa Unproven? ODE yupo na Miaka 15 Kila timu kubwa ilikuwa inamtaka, MADRID mwisho wa siku ikikuuza haina Uhitaji na wewe na hata Leo ODE hana namba kwenye MD ya Madrid.
KIZURI UMEKUWA NA KAULI NZURI KWAMBA EMERY HAKUWA MBAYA, ILA ARTETA UME-OVERRATE MENGI, EMERY Ni Mwalimu haswa Hakuaminiwa na Kupata Muda wa kutosha ARSENAL na kuwa na watu sahihi.
Ukitaka mafanikio ya Arteta subiri afike umri wa Emery uwapime ,Hakuna NILIPODANGANYA Wewe umesem kwamba MILISTANT alikuwa ni DIRECTOR OF FOOTBALL nasubiri hiyo sehemu inayoonyesha Hivyo!
EMERY Hajawahi kuwa na DOF Arsenal na ARTETA ameanza kuwa na DOF Msimu wake wa 3! EDU Hakupewa Maamzuzi Yote ya Kuwa DOF mpaka msimu 2022, Kabla alikuwa kama Mkurugenzi Masuala ya Ufundi.
Nataka Unitajie Mwalimu wa ARSENAL aliyemsajili SALIBA, MARTINELLI, Ni mwalimu Yupi. Na Ngoja Nikwambie Hakuna Scout anasajili Mchezaji hizo ni ripoti wanaleta tu.
EMERY ndo kamtengeneza Aliemtengeza ALBA, ISCO, ALCACER, PINO na wengine wengi na akiwa na Umri wa ARTETA alikuwa ni Bingwa wa Michuano ya Ulaya.
Unajaza Articles za Magazeti bila Kunambia MAFANIKIO ya Mwalimu wako ni yapi? Nje ya PEP na KLOPP hakuna anayefika mafanikio ya EMERY Kwa walimu wote walobaki. Michezo 78 yake alokuwa kama mwalimu wa ARSENAL na Michezo 78 ya ARTETA, kamzidi ARTETA kila Kitu. Kitu pekee ARTETA anachomzidi ni kuzuia kwa sababu alikuwa anacheza na Mabeki 5, Mfumo wa 3~4 ama 3~5 ni wa kuwa na walinzi 5.
Dah kweli makocha wakali wanaongezekaSio la kitabuni tu Jamaa ni tafsiri halisi ya Mwalimu wa Mpira Yule dogo Zirkzee kampika haswa. Nadhani Bayern Sijui kama wana "Buy Back Clause" Mana anaanza pata hali ya kujiamini, Wana winga Ile ORSOLINI afu UTD ina Antony Mpira Haupo Fair.
Afu Motta kachukua Reject Moja EPL ila ukimwangalia jamaa anapiga Vibuyu kweli kweli Freuler.
Nadhani wana Mwendelezo Mzuri wa sajili za Kiingereza kuna Ferguson Mscot na kuna dogo lao nadhani wamemuuza Brentford ni muda tu Klopp ataruka nae maana ni sajili zake Aaron Hickey!
Eti Emery hakupewa muda ,unajua unachokiongea LakiniUnawezaje Mhukumu EMERY Kwa Msimu mmoja na Nusu dhidi ya Mtu aliye na Misimu 5!? Kingine umezungumza Kuhusu IDENTITY lakini Umekwepa Hoja yangu Juu pale Kuhusu EMERY kufanya kazi bila Mtendaji wa Michezo.
IDENTITY ni Ipi unaisemea wewe na Misimu karibu Miwili ARTETA Kacheza na Beki watano? Kitu Kimoja kinachomfanya ARTETA Kuyajenga yote hayo ni watu kutokuwa na Mategemeo naye makubwa na kuwa na Uongozi wenye Malengo sawa hasa Kumpa EDU, EMERY sajili zake asilimia kubwa zilikuwa ni Ripoti ya Mkuu wenu wa Scouting na yeye ilikuwa kupitisha tu, Targets zake nyingi hajapata sababu ya kutokuwa na Mtu wa Kumsaidia kama ARTETA na EDU.
SALIBA alikuwa anatakiwa na UTD, BVB, SEVILLA, ROME, hili Dili EMERY alilifanya na Yeye ndo alietaka kuwepo na Kipengele cha yeye kubaki ST. ETIENNE, ARTETA hana say kwenye Hilo.
Mnasema Kuhusu TALENT ID, Mzee kuna mchezaji gani umenitajia hapo amekuja akiwa Unproven? ODE yupo na Miaka 15 Kila timu kubwa ilikuwa inamtaka, MADRID mwisho wa siku ikikuuza haina Uhitaji na wewe na hata Leo ODE hana namba kwenye MD ya Madrid.
KIZURI UMEKUWA NA KAULI NZURI KWAMBA EMERY HAKUWA MBAYA, ILA ARTETA UME-OVERRATE MENGI, EMERY Ni Mwalimu haswa Hakuaminiwa na Kupata Muda wa kutosha ARSENAL na kuwa na watu sahihi.
Umewahi kusikia kuhusu FFP?Sir jim kaja muda muafaka january alete hata wachezaji wawili tu wa maana
Saliba unayedai alisajiliwa na Emery wakati uongo
Arsenal ya Arteta Ni ya 2 duniani kwa Most valuable squad
Edu kafanya kazi na Emery labda Kama hujui
Kwanza kubali umedanganya Emery hakuwasajili Saliba, Martinelli,hata Pepe
Nimekupa Hadi aliowasajili Ni Fransis Cagigao
Tizama Kauli zako namna zinakinzana. Wewe ndo Umesema ARTETA katumia Mifumo Mitatu tu, Wewe umekuja sema ARTETA katumia Mifumo Miwili tu. KIPI ni KIPI.Arteta alitumia mfumo wa 3-4-3 kwa sababu wachezaji wale aliowakuta hawakuwa wanaendana na Falsafa yake ,na baada ya hapo aliingia kwenye 4-3-3 mpaka Leo hajawahi kubadilika
Natamani ujue tofauti ya back 3 na back 5.Hakuna NILIPODANGANYA Wewe umesem kwamba MILISTANT alikuwa ni DIRECTOR OF FOOTBALL nasubiri hiyo sehemu inayoonyesha Hivyo!
EMERY Hajawahi kuwa na DOF Arsenal na ARTETA ameanza kuwa na DOF Msimu wake wa 3! EDU Hakupewa Maamzuzi Yote ya Kuwa DOF mpaka msimu 2022, Kabla alikuwa kama Mkurugenzi Masuala ya Ufundi.
Nataka Unitajie Mwalimu wa ARSENAL aliyemsajili SALIBA, MARTINELLI, Ni mwalimu Yupi. Na Ngoja Nikwambie Hakuna Scout anasajili Mchezaji hizo ni ripoti wanaleta tu.
EMERY ndo kamtengeneza Aliemtengeza ALBA, ISCO, ALCACER, PINO na wengine wengi na akiwa na Umri wa ARTETA alikuwa ni Bingwa wa Michuano ya Ulaya.
Unajaza Articles za Magazeti bila Kunambia MAFANIKIO ya Mwalimu wako ni yapi? Nje ya PEP na KLOPP hakuna anayefika mafanikio ya EMERY Kwa walimu wote walobaki. Michezo 78 yake alokuwa kama mwalimu wa ARSENAL na Michezo 78 ya ARTETA, kamzidi ARTETA kila Kitu. Kitu pekee ARTETA anachomzidi ni kuzuia kwa sababu alikuwa anacheza na Mabeki 5, Mfumo wa 3~4 ama 3~5 ni wa kuwa na walinzi 5.