Ifike mahali viongozi wa hii timu watambue kwamba kuna wachezaji wengi sana ambao hawastahili hata kukaa benchi achilia mbali kuvaa jezi ya United....
Mchezaji kama hujilund sijui hujilimdu anafanya Nini pale united?
Eti winga kama Anthony ndio unategemea akupe matokeo kwenye game kubwa si utani huu.. Mchezaji kama Anthony ni wakuingia dk ya 88 wakati timu ikiwa inaongoza, kwanza timu serious huyu angekuwa anacheza mechi za EFL tu basi
Mchezaji kama hujilund sijui hujilimdu anafanya Nini pale united?
Eti winga kama Anthony ndio unategemea akupe matokeo kwenye game kubwa si utani huu.. Mchezaji kama Anthony ni wakuingia dk ya 88 wakati timu ikiwa inaongoza, kwanza timu serious huyu angekuwa anacheza mechi za EFL tu basi