Inaupiga mwingi sanaKwa mnao angalia game vipi timu inacheza vizuri au butua butua?
Wananichania sana mikeka yangu Hawa jamaa🤨🤨🤨... Allypipi ananiponza mi nikiona katabiri najua kwli naweka...pambafu sana hawaSiku hizi mnagongwa kimya kimya!
Huyu kocha hamna kitu.ILA MAN U NA TEN HAG DAAH
Imetumwa kutoka kwa SM-A047F yangu kwa kutumia programu ya simu ya JamiiForums