Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Daah
 

Attachments

  • Screenshot_20231221_155459_Instagram.jpg
    Screenshot_20231221_155459_Instagram.jpg
    29.6 KB · Views: 12
EXCLUSIVE

Kocha mkuu wa klabu ya Manchester united Eric Ten Hag ameuambia uongozi wa juu katika klabu hiyo kuwa mchezaji Sofyan Amrabat haendani na falsafa Zake, Amrabat yupo kwa mkopo klabuni hapo akitokea klabu ya ACF Fiorentina.


Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Binafsi niliopenda aina ya uchezaji wa pogba huyu mkaka kama sio bangi angekuwa na heshma, kwa sasa haheshimiki kabsa.

Ni kama amepotea ila kama kuna mwl angeweza kumu hundle huyu kiungo anajua mpira.....

pogba anajua mpira, tena kwenye assist this guy is incredible, kama houjlund angecheza na pogba angepiga bao nyingi tu. Natarajia mainoo kufanya kazi aliyoiacha pogba
 
Binafsi niliopenda aina ya uchezaji wa pogba huyu mkaka kama sio bangi angekuwa na heshma, kwa sasa haheshimiki kabsa.

Ni kama amepotea ila kama kuna mwl angeweza kumu hundle huyu kiungo anajua mpira.....

pogba anajua mpira, tena kwenye assist this guy is incredible, kama houjlund angecheza na pogba angepiga bao nyingi tu. Natarajia mainoo kufanya kazi aliyoiacha pogba
 
EXCLUSIVE

Kocha mkuu wa klabu ya Manchester united Eric Ten Hag ameuambia uongozi wa juu katika klabu hiyo kuwa mchezaji Sofyan Amrabat haendani na falsafa Zake, Amrabat yupo kwa mkopo klabuni hapo akitokea klabu ya ACF Fiorentina.

Ni Nani aliyependekeza amrabat aje hapo?
 
Back
Top Bottom