Forgotten
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,630
- 11,096
Feminists washenzi sana.usiku wa jana wale wahuni wa el cholo wamelala na viatu,
View attachment 2847664
Feminists washenzi sana.usiku wa jana wale wahuni wa el cholo wamelala na viatu,
View attachment 2847664




Binafsi niliopenda aina ya uchezaji wa pogba huyu mkaka kama sio bangi angekuwa na heshma, kwa sasa haheshimiki kabsa.
Binafsi niliopenda aina ya uchezaji wa pogba huyu mkaka kama sio bangi angekuwa na heshma, kwa sasa haheshimiki kabsa.
Ni kama amepotea ila kama kuna mwl angeweza kumu hundle huyu kiungo anajua mpira.....
pogba anajua mpira, tena kwenye assist this guy is incredible, kama houjlund angecheza na pogba angepiga bao nyingi tu. Natarajia mainoo kufanya kazi aliyoiacha pogba





Huyu jamaa anatokea taifa gani?Willy kambwala
Nyie subirini tu muda wenu ufike mkandwe na livaphumbu.Westham vs nyumbu
Nyumbu Leo mnaingia uwanjani Kama underdog, ukibisha kaangalie betting wameweka vipi odd