xYz07
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 4,077
- 5,920
How the mighty has fallenKwa hali yetu, draw kwa Liverfool siyo mbaya. GGMU.


EtH has managed to lower the standard of Manchester United fans hadi kutoa sare na scouser cunt tunaona si mbaya.
How the mighty has fallenKwa hali yetu, draw kwa Liverfool siyo mbaya. GGMU.


Wamefanya vyema kabisa.Minyumbu leo nimewakubali![]()
Sijajua board wanaangalia mpira gani.... so far tumekuwa ovyo kweli.... Timu yetu wachezaji hawasurvive sababu ya mfumo mbovu wa uchezaji....ila badala tukomae kujenga structure nzuri tunazidi kudidimiaSheffield United inayotumia uwanja wa OLD TRAFFORD
Nipo na afya njema Mwenyezi Mungu anasaidia....ni majukumu tu yanabana....pia toka bwana Jassim afeli na bid yake nikaona nioujguze speed na hii timu.Muda mrefu hujaonekana, natumai waendelea vyema kiafya na kifikra.
Yes nipo,
bado sijapata starehe ya kuniweka mbali na manchester united.
Japokuwa naumia nafsini kwa jinsi tunavyocheza mechi zetu dhidi ya timu pinzani ila sina budi kuifuatilia hii timu.
Ujinga huu ninaoushuhudia nakumbuka walikuwa wanafanyiwa ARSENAL miaka minne iliopita, now liverpool na man city wote wanakhofu wanapocheza na THE GUNNERS.
Football heritage
Natamani scott mctominay apate majeruhi
Mimi naamini Man U ni timu kubwa lakini si Man U ya sasa,mimi ni shabiki wa Man U lakini kwa game ya jana dhidi ya Liver aliye kwenye ubora tena nyumbani kwake ikiwa tumetoka kufungwa na Bournemouth 3-0 tena OT jana nlitegemea tungefungwa tu. Si sawa kushangilia draw ila kwa mimi kwa matokeo ya jana nmeridhika kabisaManyumbu hatuwapendi ila asanteni sana kwa kazi nzuri mliyofanya.
Tunawaombea muingie top four. UEFA bila nyumbu is boring!
Ila hii mentality ya kushangilia droo sio nzuri kwa timu kubwa kama nyumbu!
Kutakuwa kuna mgomo baridi pale. Jana wamecheza makinda.Mpira una maajabu sana,yaani unafungwa na Bournamouth OT,kisha unamdindia Liverpool Anfield!!kama naona Mikeka ya watu ilivyochanika jana
Wachezaji wengi ni majeruhi hivyo ilikuwa ni lazima wacheze makinda janaKutakuwa kuna mgomo baridi pale. Jana wamecheza makinda.
Liverpool wenyewe wachumba tuMpira una maajabu sana,yaani unafungwa na Bournamouth OT,kisha unamdindia Liverpool Anfield!!kama naona Mikeka ya watu ilivyochanika jana
Na dadakoNyie humu UEFA mmepangwa na nani?![]()
Mumeo anatambua kuwa unapata homa kisa nyumbu ?Yaani napata homa