United imebakia jina tu na status, timu hakuna anayeiogopa, sasa hivi timu yoyote kwenye zile top six(totenham,Arsenal,Man city na Liverpool) ikipata hata matokeo ya sare tu dhidi united inajiona kama imepoteza mechi... Kudroo dhidi united is regarded as failure, yaani mashabiki wa timu zingine tunaona ni Bora timu yetu itoke dro na timu kama Aston villa au new castle lakini sio united.
Kuna muda Huwa naiangalia hii timu yenu kisha nakumbuka hivi hii timu ndio ilikuwa inatusumbua kipindi kile cha SAF mpaka kila mtu akawa anaichukia...?? Naishia kusikitika tu
Binafsi siku hizi nimejikuta nawaonea huruma na wakati zamani united ndio timu niliyokuwa naichukia sana hapa chini ya jua.