Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manyumbu hatuwapendi ila asanteni sana kwa kazi nzuri mliyofanya.

Tunawaombea muingie top four. UEFA bila nyumbu is boring!

Ila hii mentality ya kushangilia droo sio nzuri kwa timu kubwa kama nyumbu!
 
Manyumbu hatuwapendi ila asanteni sana kwa kazi nzuri mliyofanya.

Tunawaombea muingie top four. UEFA bila nyumbu is boring!

Ila hii mentality ya kushangilia droo sio nzuri kwa timu kubwa kama nyumbu!
Mimi naamini Man U ni timu kubwa lakini si Man U ya sasa,mimi ni shabiki wa Man U lakini kwa game ya jana dhidi ya Liver aliye kwenye ubora tena nyumbani kwake ikiwa tumetoka kufungwa na Bournemouth 3-0 tena OT jana nlitegemea tungefungwa tu. Si sawa kushangilia draw ila kwa mimi kwa matokeo ya jana nmeridhika kabisa
 
Mpira una maajabu sana,yaani unafungwa na Bournamouth OT,kisha unamdindia Liverpool Anfield!!kama naona Mikeka ya watu ilivyochanika jana
 
[emoji837] Ten Hag on Kobbie Mainoo: "When you're good enough, you're old enough. And Kobbie proves that".

"He has some calmness and composure. His biggest qualities is his scanning but he is good physically. He is young, will adjust to the game".
Huyu dogo mtunzeni ana potential sana
 
usiku wa jana wale wahuni wa el cholo wamelala na viatu,
1703042291782.png
 
usiku wa jana wale wahuni wa el cholo wamelala na viatu,
View attachment 2847664
Juzi ulimzungumzia DIEGO RICO, LB wa Getafe. Kila ukiangalia Game za Hawa jamaa Umwone MASON unakutana na Jamaa anatoa Mechi kweli kweli!
Nawazaga sana alishindwaje EPL, Jamaa msimu huu amekuwa mmoja kama sio Best LB kwenye La Liga.

Moja ya Maamuzi naweza sapoti Utawala unaokuja ni kama watafanya juu chini Huyu Dogo acheze tena UTD, Hii ni Sajili Mpya ya thamani ya zaidi ya 100m. Ni moja ya Maana halisi ya Generational. Blanc kazoea Kashfa akiweza isafisha ya Huyu Bwana atakuwa ameokoa Pesa Mingi sana za UTD
 
Juzi ulimzungumzia DIEGO RICO, LB wa Getafe. Kila ukiangalia Game za Hawa jamaa Umwone MASON unakutana na Jamaa anatoa Mechi kweli kweli!
Nawazaga sana alishindwaje EPL, Jamaa msimu huu amekuwa mmoja kama sio Best LB kwenye La Liga.

Moja ya Maamuzi naweza sapoti Utawala unaokuja ni kama watafanya juu chini Huyu Dogo acheze tena UTD, Hii ni Sajili Mpya ya thamani ya zaidi ya 100m. Ni moja ya Maana halisi ya Generational. Blanc kazoea Kashfa akiweza isafisha ya Huyu Bwana atakuwa ameokoa Pesa Mingi sana za UTD
Mkuu unaandikia left brain maana sikuelewi, pointi unayo ila kuikamata ndio kazi
 
Back
Top Bottom