asie mtu ana Mungu....Habari kubwa mno. Mason Greenwood yupo huru. Aondolewe mashtaka yote dhidi yake.View attachment 2503806
Game za saa tano zimekuwa nyingi sana..ila tunaziangalia maana ni burudani tu.Walau siku hizi mtu unapoteza usingizi lakini unapata ushindi,,,,
Sio kipindi kile tulikuwa tumejikatia tamaa !!!!
Wazungu hawatabiriki, unaweza ukashangaa United inamtemaasie mtu ana Mungu....
Hongera kwake sana...nafikiri msilu ujao atasaidia timu. Kwa masiku huu haiwezekan hata kidogo.
Afadhali yaniHabari kubwa mno. Mason Greenwood yupo huru. Aondolewe mashtaka yote dhidi yake.View attachment 2503806
Inawezekana.Wazungu hawatabiriki, unaweza ukashangaa United inamtema
Kwa hali ya United, anahitajika sana pale mbele
Atahitaji kusaidiwa kisaikolojia, pia inategemea fans na jamii inampokeaje. Wakimpokea positive anagain kwa haraka sana. Yule dogo anakipaji kikubwa sana.Dah greenwood yupo huru je atakuwa na ubora wake ule ule?
Timu impokeaa tu mdogo wetu aanze mazoezi haraka sana kwa miezi 6 msimu ujao tunamuhitaji nadhani atakua serious na mpira vibaya mno sasa hivi.Habari kubwa mno. Mason Greenwood yupo huru. Aondolewe mashtaka yote dhidi yake.View attachment 2503806
Mkataba wake uliopo sasa ni mpaka 2025. Na klabu ina option ya kuongeza mwaka mmojaTimu impokeaa tu mdogo wetu aanze mazoezi haraka sana kwa miezi 6 msimu ujao tunamuhitaji nadhani atakua serious na mpira vibaya mno sasa hivi.
Kipaji kikubwa sana.Atahitaji kusaidiwa kisaikolojia, pia inategemea fans na jamii inampokeaje. Wakimpokea positive anagain kwa haraka sana. Yule dogo anakipaji kikubwa sana.
Saul Goodman ndo alikuwa lawyer wake nini?Habari kubwa mno. Mason Greenwood yupo huru. Aondolewe mashtaka yote dhidi yake.View attachment 2503806
criminal lawyer wa ukweliSaul Goodman ndo alikuwa lawyer wake nini?
You better call Saul..Saul Goodman ndo alikuwa lawyer wake nini?
Timu itampokea tu kwasababu hana kesi hawana sababu ya kuvunja mkataba ambao itabidi pesa iwatoke.Kipaji kikubwa sana.
Timu impokee iache ujinga..aanze mazoezi ya kiakili na mwili mara moja.
Ule mguu unalijua goli sana
😂😂😂 Saul mtu wa dili.Saul Goodman ndo alikuwa lawyer wake nini?
Wakili Msomi atakuwa amecheza na Law of Evidence tu, shughuli ikaisha mapemaSaul Goodman ndo alikuwa lawyer wake nini?