Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Marcel Sabitzer: “I’m a very bad loser. Even in training, I can’t lose. I have that mentality over the years, I hate to lose.”

kauli za kibabe kama ETH vile kazi kazi sasa .

#TrustTheProcessETH
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |View attachment 2504323View attachment 2504321View attachment 2504324View attachment 2504322
IMG_20230203_021100_794.jpg
 
Antony ni mtu hatari sana kwa upinzani... unaweza usione kama ni shabiki hoyahoya... Greenwood kama akirudi atengenezwe kucheza namba 9(false 9)
Hakuna haja ya kutumia pesa kusajili namba 9 kama magoli yanafungwa sahivi... man utd wasajili de jong au progressive midfield yoyote... wasajili beki namba 2... wasajili na LCB backup ya Lisandro... wasajili golikipa
 
Hakuna haja ya kutumia pesa kusajili namba 9 kama magoli yanafungwa sahivi... man utd wasajili de jong au progressive midfield yoyote... wasajili beki namba 2... wasajili na LCB backup ya Lisandro... wasajili golikipa
Naona wanataka kumsajiri msambuliaji wa sporting Lisbon Didier kavumbagu
 
Antony ni mtu hatari sana kwa upinzani... unaweza usione kama ni shabiki hoyahoya... Greenwood kama akirudi atengenezwe kucheza namba 9(false 9)
Greenwood kam atamalizana na united sancho na antony namba hawana tena yule dogo ni hatari anatumia miguu yote yuko agressive san mnyumbulifu anapower anarud kumsaidia bek wakat tunashambuliwa dogo anakipaj san
 
Back
Top Bottom