Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Antony ni mtu hatari sana kwa upinzani... unaweza usione kama ni shabiki hoyahoya... Greenwood kama akirudi atengenezwe kucheza namba 9(false 9)
Hakuna haja ya kutumia pesa kusajili namba 9 kama magoli yanafungwa sahivi... man utd wasajili de jong au progressive midfield yoyote... wasajili beki namba 2... wasajili na LCB backup ya Lisandro... wasajili golikipa
 
Hakuna haja ya kutumia pesa kusajili namba 9 kama magoli yanafungwa sahivi... man utd wasajili de jong au progressive midfield yoyote... wasajili beki namba 2... wasajili na LCB backup ya Lisandro... wasajili golikipa
Naona wanataka kumsajiri msambuliaji wa sporting Lisbon Didier kavumbagu
 
Antony ni mtu hatari sana kwa upinzani... unaweza usione kama ni shabiki hoyahoya... Greenwood kama akirudi atengenezwe kucheza namba 9(false 9)
Greenwood kam atamalizana na united sancho na antony namba hawana tena yule dogo ni hatari anatumia miguu yote yuko agressive san mnyumbulifu anapower anarud kumsaidia bek wakat tunashambuliwa dogo anakipaj san
 
"Mwamba huyu hapa! Ukimuona tu unajua leo kazi tunayo."

20230203_142327.jpg
 
The Glazer family is still hesitating between a complete sale and accepting a minority stake. Some members believe the club's value could skyrocket if Erik ten Hag brings lasting success on the pitch.


[ESPN]
#TrustTheProcessETH
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230203_150835_225.jpg
 
Back
Top Bottom