Tuzo ya vichochoroni hiyo
Pokea Ukweli hamuna timu ya kubeba kombe lolote Newcastle lazima wawafumueKunywa maji halafu relax. Timu yako inayocheza mpira mzuri wametuliza mbupu wanaangalia wanaume kwenye TV. Timu yako ilishindwa kupata goli hata la kuotea dhidi ya Newcastle.
Narudia tena, kunywa maji (mengi) halafu relax. Huu mchezo hauhitaji hasira.
asie mtu ana Mungu....Habari kubwa mno. Mason Greenwood yupo huru. Aondolewe mashtaka yote dhidi yake.View attachment 2503806
Game za saa tano zimekuwa nyingi sana..ila tunaziangalia maana ni burudani tu.Walau siku hizi mtu unapoteza usingizi lakini unapata ushindi,,,,
Sio kipindi kile tulikuwa tumejikatia tamaa !!!!
Wazungu hawatabiriki, unaweza ukashangaa United inamtemaasie mtu ana Mungu....
Hongera kwake sana...nafikiri msilu ujao atasaidia timu. Kwa masiku huu haiwezekan hata kidogo.
Afadhali yaniHabari kubwa mno. Mason Greenwood yupo huru. Aondolewe mashtaka yote dhidi yake.View attachment 2503806
Inawezekana.Wazungu hawatabiriki, unaweza ukashangaa United inamtema
Kwa hali ya United, anahitajika sana pale mbele

Atahitaji kusaidiwa kisaikolojia, pia inategemea fans na jamii inampokeaje. Wakimpokea positive anagain kwa haraka sana. Yule dogo anakipaji kikubwa sana.Dah greenwood yupo huru je atakuwa na ubora wake ule ule?
Timu impokeaa tu mdogo wetu aanze mazoezi haraka sana kwa miezi 6 msimu ujao tunamuhitaji nadhani atakua serious na mpira vibaya mno sasa hivi.Habari kubwa mno. Mason Greenwood yupo huru. Aondolewe mashtaka yote dhidi yake.View attachment 2503806
Mkataba wake uliopo sasa ni mpaka 2025. Na klabu ina option ya kuongeza mwaka mmojaTimu impokeaa tu mdogo wetu aanze mazoezi haraka sana kwa miezi 6 msimu ujao tunamuhitaji nadhani atakua serious na mpira vibaya mno sasa hivi.

Kipaji kikubwa sana.Atahitaji kusaidiwa kisaikolojia, pia inategemea fans na jamii inampokeaje. Wakimpokea positive anagain kwa haraka sana. Yule dogo anakipaji kikubwa sana.
Saul Goodman ndo alikuwa lawyer wake niniHabari kubwa mno. Mason Greenwood yupo huru. Aondolewe mashtaka yote dhidi yake.View attachment 2503806

?