Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Timu impokeaa tu mdogo wetu aanze mazoezi haraka sana kwa miezi 6 msimu ujao tunamuhitaji nadhani atakua serious na mpira vibaya mno sasa hivi.
Mkataba wake uliopo sasa ni mpaka 2025. Na klabu ina option ya kuongeza mwaka mmoja

Tukijifanya ni wazee wa maadili tunapoteza £100 milioni kirahisi sana

By the way, mfumo wa sheria umeamua wasiendelee na kesi, sisi ni nani tupinge
 
Kipaji kikubwa sana.

Timu impokee iache ujinga..aanze mazoezi ya kiakili na mwili mara moja.

Ule mguu unalijua goli sana
Timu itampokea tu kwasababu hana kesi hawana sababu ya kuvunja mkataba ambao itabidi pesa iwatoke.

Shida ni wale jamaa wanaokaa jukwaani 😂 akigusa mpira utasikia tu "booooo" dogo itabidi ajikaze, muhimu performance tu watu watasahau.
 
Mbona huyu mwamba alisajiliwa kwenye second coming pamoja na mashtaka ya ubakaji

Maisha lazima yaendelee
Screenshot_2023-02-02-20-15-14-015_com.android.chrome.jpg
 
Statement from #mufc: ‘Manchester United notes the decision of the Crown Prosecution Service that all charges against Mason Greenwood have been dropped. The club will now conduct its own process before determining next steps.‘ Club won’t make any further comment.

Greenwood will not return to training or play for #mufc as club conducts their investigation.
 
Statement from #mufc: ‘Manchester United notes the decision of the Crown Prosecution Service that all charges against Mason Greenwood have been dropped. The club will now conduct its own process before determining next steps.‘ Club won’t make any further comment.

Greenwood will not return to training or play for #mufc as club conducts their investigation.
Hawa man u nao vp tena.. kesi ishafutwa investigation ya nn tena
 
Safi sana GREENWOOD karudi....ngonj niingie YouTube nijikumbushe magoli yake.


Lkn nasikia ETH among ya top target ni CHIESA wa Juventus
 
Back
Top Bottom