We're the famous Man United and we a going to Wembley
Updated 2022/23 Squad List



Kaangalie game za akiwa Academy pia na game yake akiwa first team dhidi ya Tranmere Rovers alipiga penati na mguu wa kuliaHaya Kumekucha![]()





Hawa jamaa sidhan kama wanataka kuiachia hii clubThe Glazer family is still hesitating between a complete sale and accepting a minority stake. Some members believe the club's value could skyrocket if Erik ten Hag brings lasting success on the pitch.
[ESPN]
#TrustTheProcessETH
#GlazerOUT
#GGMU
man utd |View attachment 2504852
Miaka 30Mwaka wa sita mbona mdogo, liverpool kakaa miaka 20
Dogo ajifue peke yake kwanza ili awe fitiAfadhali yani
Akirudi dogo ushindani wa namba utakuwa mkali kama bangi za Kingston JamaicaAntony awe anaanzia benchi tu sasa kama dogo anarudi
Yaani tuuze kitu cha kukopa?Huyu mwisho wa msimu auzwe
Nilikuwa sijui kama yupo kwa mkopo 😁Yaani tuuze kitu cha kukopa?
Target yao nazani wanasubiri tutwae Carabao ili wapandishe Dau washaona uelekeo wa Kombe hawawezi achia kirahisi.Hawa jamaa sidhan kama wanataka kuiachia hii club