Fainali itachezwa mwezi gani?Asubuhi njema MUFC, Alhamis imeanza vizuri.
Imekuuma sanaa hahaha.Ukweli mchungu
Kwa mpira wenu wa papatupapatu hamuwezi mfunga Newcastle
Mtakasirika ila ujumbe umefika
Chukia tu
Bado hamuna timu ya kuifunga Newcastle fainali
Mwaka wa 6 bila kikombe Loading........


mwaka wa 10 huu Arsenyani bila kushiriki Uefa, mwaka wa 20 bila kombe la Epl. Kunywa maji halafu relax. Timu yako inayocheza mpira mzuri wametuliza mbupu wanaangalia wanaume kwenye TV. Timu yako ilishindwa kupata goli hata la kuotea dhidi ya Newcastle.Ukweli mchungu
Kwa mpira wenu wa papatupapatu hamuwezi mfunga Newcastle
Mtakasirika ila ujumbe umefika
Ni mchezaji wakawaida Sana ila mnajuaga kuwapamba wachezaji wenu Hata wenye mentality za u average
Interesting! Fred alikimbia sana mpaka kufika pale ni kama alinusa goal before.Pasi ya Bruno to rashyy then fred goal,,,, ..
Unaweza kwenda nayo bank ukaweka dhamana ya kupewa mkopo ! Vile vitu wanapiga kina modric
Wembley here we are
#GGMU
Kwan Nyie mlishinda ngapi Vs Newcastle?Kunywa maji halafu relax. Timu yako inayocheza mpira mzuri wametuliza mbupu wanaangalia wanaume kwenye TV. Timu yako ilishindwa kupata goli hata la kuotea dhidi ya Newcastle.
Narudia tena, kunywa maji (mengi) halafu relax. Huu mchezo hauhitaji hasira.