Yule bwana magwaya akipelekwa kwenye team yoyote atakuwa liabilityAya kosa la Ronaldo lipo wap maana mlimwandama sana
Maguaya team captain
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani sioni namba 6 kama yupo umo ndani
Kakutana na mandongaTEN HUGS kayakanyaga ameomba lift mtumbwi wa vibwengo
Ako kabruno ata usikaongelee na uzur wote wamecheza Bruno kawa mzito sana mara elfu Eriksen anajitaidi...Sasa hao wachezaji wanne sjui watatu unaona wanatosha?Hamjasajili, au uchaguzi mbaya wa wachezaji wa kusajili,ilikuwa hamna maana ya kuleta Eriksen wakati mna BRUNO kwanini asikomae kutafuta DM kwingine hata kama De jong amewachomolea, Ten Hugs na yeye ana tatizo tu hapo Man U anaonekana mtu wa akisema jambo hataki ushauri.
Halafu mwanetu Captain Maguire mnamuonea sana,halafu mwana sio muongeaji ila wana mtegea sana,ila yy anafanya kazi yake.Huu msimu kuna kushuka daraja, kwa kiungo cha Mctominay na beki ya Maguire kule nyuma, hakuna mahali team itaenda hii
Vibwembo wameingia choo cha kike leo... wananyooshwa hatari.Tim la dunia linacheza.
Brighton wamepanda mtumbwi wa vibwengo, watajuta.